The Emils
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 568
- 124
- Thread starter
- #61
Sababu ya kufukuzwa=Ameenda kinyume na ILANI, SERA pamoja na Maazimio ya CDM..kama mtu akienda kinyume na ilani ya chama chake mojakwamoja kwenye kampeni zilizopita ulikuwa unadanganya wapiga kura wako..mfano kipindi cha kampeni, Shibuda angesimama na KUSEMA "NATAKA POSHO ZIONGEZWE KWA WABUNGE" je wewe Ben Ungempa kura yako?Hebu tuendeleze mjadala kama wachangiaji huru.ni kwa nini Shibuda afukuzwe? mtindo gani utumike kumfukuza? Je kuna madhara yoyote politically kwa wananchi na chama chake?Na je,asipofukuzwa kuna madhara yoyote kwa chama na wafuasi wake?Je,njia ya kumfukuza kupitia matamshi ya viongozi au kamati kuu tu inatosha kuonyesha dhamira ya dhati ya uwajibikaji kwa wapiga kura na matumizi mazima ya Demokrasia huru kupitia mfumo wa vyama vingi na mawazo huru?
Asipofukuzwa kuna madhara mengi sana mfano mimi mpaka sasa sina imani na shibuda hata kidogo.
Mtindo wa kumfukuza=Apewe barua inayosema yeye sio mwaminifu kwa chama chake then barua imtake arudishe kadi ya chama halafu ndio mwisho wa mchezo huo.