GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 309
mbona hamuulizi yale yaliyojiri kule mbeya kwenye mkutano kwa magamba? lol kulikuwa na wale wanaojiita wapiganaji ndani ya CCM waliwasha moto wa ajabu.
Mkuu unawajua Magwanda, ingekuwa hayo wametenda wao ungesikia thread zote wamejaza wao humu, ila wengine hawataki kuwasikia. Hawa jamaa wako wabinafsi sana kuanzia viongozi+wanachama+wapenzi