MwanaCBE
JF-Expert Member
- Sep 23, 2009
- 1,771
- 804
CCM ndo huwaomba manyang'au wajiuzuru, CHADEMA huwa inawatimua na mfano mzuri ni Kafulila na wenzake...Nyie CDM hamna ubavu wa kumfukuza Shibuda; maana mlipomchukua mlifikiri mmefanikiwa; lakini sasa akiwa ndani au nje ya CDM atawamaliza maana mmemeza ndoano. Hahaha! Tusubiri maana ndoa sasa imekuwa ndoano.