GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 309
Afadhali CDM wabinafsi na tarifa zao..lakini yangekuwa magamba ungesikia waropokaji kama nape anasema lake, mukama kivyake yani hewa tu hawa majaa..ila CDM mpaka watoe taarifa ujue ipo sawa kwa yeyote atakaeisema hata mtoto mdogo atatoa tarifa hiyohiyo
Mbona shibuda ametoa taarifa tofauti mnataka kumfukuza kwa ubinafsi wenu ? acheni ukondoooo Magwanda