MT KILIMANJARO
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 4,215
- 761
Hivi JK ni engineer wa nini vile?
Jk ni engineer wa ndege ndio mana mda wote yuko angani akifanya utafiti.
Hivi JK ni engineer wa nini vile?
Tanzania kuna wanasayansi? wameshindwa hata kutengeneza kiwembe? Tanzania kuna wahandisi? barabara zote zinatengenezwa na wachina? wanasayansi gani na wahandisi gani unaowazungumzia wewe mbweha?
Mkuu wewe kweli ni muhandisi au kishoka?
Hivi ni kwa nini kwanini CHADEMA hakuna Kiongozi wala Mwanachama aliyesomea Uhandisi, Hisabati au Sayansi? Wote ni aidha Sheria, Upadri au sasa hivi wanataka kuleta mwingine kasomea sanaa!
Kuna nini kinawachofukuza au kuwaogopesha , wa na wanachama Wahandisi au sio Wahandisi inakusaidia nn?
Hao waandisi kwenye chama hadi serikali ya ccm imewasaidia nn??
Km siasa inafanyika muhimbili, kcmc, Bugando na keingineko basi ni muhimu kupata wanasayansi. Km siasa inapima majengo marefu na barabara basi muhimu kupata wahandisi. Ila sikuhukumu kwani hata yesu alislitiwa na mwanafunzi wake Yuda iskariot, licha wewe kuisalit chadema. Uelewa wako ndio mdogo kwa sababu mlipomteuwa kuwa waziri mkuu hamkujua kasoma sanaa ila sasa ndio mnajua kasoma sanaa. POLE.
Mkuu hoja ya jamaa inamashiko. Hawa wanasiasa ndio watakuwa mawaziri wa ujenzi, waziri wa afya, waziri wa fedha nk. Sasa kama hatutakuwa na mawaziri waliosomea masuala haya ni viepesi kudanganywa na wataalam (wahandisi, wachumi na madokta).Km siasa inafanyika muhimbili, kcmc, Bugando na keingineko basi ni muhimu kupata wanasayansi. Km siasa inapima majengo marefu na barabara basi muhimu kupata wahandisi. Ila sikuhukumu kwani hata yesu alislitiwa na mwanafunzi wake Yuda iskariot, licha wewe kuisalit chadema. Uelewa wako ndio mdogo kwa sababu mlipomteuwa kuwa waziri mkuu hamkujua kasoma sanaa ila sasa ndio mnajua kasoma sanaa. POLE.
Unagombea nafasi gani? Jamaa ana maanisha viongozi wa juu ambao Rais na mawaziri a,bao watasimamia sekta hizi.Acha kupost pumba jf.mimi ni.muhandisi wa umeme na nipo chadema
Tafuta jingine
hapo hukutenda haki au hukuielewa kabisa mada .yeye ameuliza kwa nini hakuna kiongozi mwana sayansi ,sio hakuna mwanachama mwanasayansi hivyo ni vitu viwili tofauti
Historia inatujuza, sio lazima waziri awe amesomea fani flani ndio aweze kufanya vizuri kwenye hiyo wizara.Mkuu hoja ya jamaa inamashiko. Hawa wanasiasa ndio watakuwa mawaziri wa ujenzi, waziri wa afya, waziri wa fedha nk. Sasa kama hatutakuwa na mawaziri waliosomea masuala haya ni viepesi kudanganywa na wataalam (wahandisi, wachumi na madokta).