CHADEMA Hakuna Mhandisi wala Mwanasayansi!

CHADEMA Hakuna Mhandisi wala Mwanasayansi!

Hivi ni kwa nini kwanini CHADEMA hakuna Kiongozi wala Mwanachama aliyesomea Uhandisi, Hisabati au Sayansi? Wote ni aidha Sheria, Upadri au sasa hivi wanataka kuleta mwingine kasomea sanaa!

Kuna nini kinawachofukuza au kuwaogopesha Wanasayansi/Wahandisi au Wanahisabati huko CHADEMA? Hebu wajaribuni hawa jamaa labda mtatoboa!

dk mbassa mbunge wa biharamulo aliyemaliza muda wake ni daktari wa kutibu
 
Hivi ni kwa nini kwanini CHADEMA hakuna Kiongozi wala Mwanachama aliyesomea Uhandisi, Hisabati au Sayansi? Wote ni aidha Sheria, Upadri au sasa hivi wanataka kuleta mwingine kasomea sanaa!

Kuna nini kinawachofukuza au kuwaogopesha Wanasayansi/Wahandisi au Wanahisabati huko CHADEMA? Hebu wajaribuni hawa jamaa labda mtatoboa!

Cha ajabu wewe na wanaoshangilia postively hii thread sio wahandisi wala wanasayansi.
 
Hivi ni kwa nini kwanini CHADEMA hakuna Kiongozi wala Mwanachama aliyesomea Uhandisi, Hisabati au Sayansi? Wote ni aidha Sheria, Upadri au sasa hivi wanataka kuleta mwingine kasomea sanaa!

Kuna nini kinawachofukuza au kuwaogopesha Wanasayansi/Wahandisi au Wanahisabati huko CHADEMA? Hebu wajaribuni hawa jamaa labda mtatoboa!

kaka mimi ni mwandisi na 70% ya tuliomaliza coet wako chadema sijui inamaanisha nini kaka ngoja ..................wengine wako professional register na ERB na other washakuwa registered as consultant engineer
 
Mleta post hiyo research umeifanyia wapi?Mfano mdogo ni hapa Geita katibu wa CDM wilaya Ndg Luhega ni Geologist pia diwani wa kata ya Kalangalala Ndg Peter Donald huyu ni Civil Engeneer
Acha mwjungu fanya utafiti kwwnza kaka.
 
nyie ndio mnaorudisha nyuma maendeleo ya nchi!!!yaani unataka wanasayansi walio soma kwa kodi zetu waache kufanya tafiti ,kufundisha na kutoa huduma waje kwenye siasa?uwezo wako wa kufikiria umeishia hapo kweli?ukiona mwana sayansi kaacha taaluma yake kaenda majukwaani kuhubiri siasa ujue sayansi imemshinda.sayansi ya sasa inaushindani sana watu wanashindana kugundua na kupablish paper ukiona kaingia kwenye siasa ujue eneo hilo kafeli (kichwa chepesi)
 
Wapo sana anza na huyu
Philbert Ngatunga huyu ni Katibu kanda ya kusini na ni BSc Computer and Telecommunication Engineering
 
Mhandisi wa nini kwani umeambiwa chadema ni chama cha mafundi TZ
 
Hivi ni kwa nini kwanini CHADEMA hakuna Kiongozi wala Mwanachama aliyesomea Uhandisi, Hisabati au Sayansi? Wote ni aidha Sheria, Upadri au sasa hivi wanataka kuleta mwingine kasomea sanaa!

Kuna nini kinawachofukuza au kuwaogopesha Wanasayansi/Wahandisi au Wanahisabati huko CHADEMA? Hebu wajaribuni hawa jamaa labda mtatoboa!

Mwana Sayansi siku zote anatumia bongo kutafakari hoja! huwezi mdanganyadanganya bure bure!!!
 
Hivi ni kwa nini kwanini CHADEMA hakuna Kiongozi wala Mwanachama aliyesomea Uhandisi, Hisabati au Sayansi? Wote ni aidha Sheria, Upadri au sasa hivi wanataka kuleta mwingine kasomea sanaa!

Kuna nini kinawachofukuza au kuwaogopesha Wanasayansi/Wahandisi au Wanahisabati huko CHADEMA? Hebu wajaribuni hawa jamaa labda mtatoboa!

Sayansi na siasa wapi na wapi. Lini ktk siasa kukawa na ku- integrate au ku- deferentiate namba? Lini kukawepo na kukariri elements na valencies? Ndio maana wanapokwendapo wale waliozoea mambo ya tatration ya madawa wanajihisi bado wapo ktk maabara na kutaka wakariri matokeo yake wanakosa cha kukariri wanakariri urefu wa barabara zinazojengwa. Wameleta kero kweli ktk wizara ya ujenzi. kila wiki mainjinia wetu lazima wapeleke taarifa yenye kujaa tarakimu ili waziri apate la kukariri. Mr tarakimu.

Mimi ni mstaafu mwanasayansi WA sayansi ya meteorojia (Meteorology) kwa sasa ni Mwenyekiti wa kata wa CDM na Katibu wa wazee WA Jimbo. Upo.
 
Hivi ni kwa nini kwanini CHADEMA hakuna Kiongozi wala Mwanachama aliyesomea Uhandisi, Hisabati au Sayansi? Wote ni aidha Sheria, Upadri au sasa hivi wanataka kuleta mwingine kasomea sanaa!

Kuna nini kinawachofukuza au kuwaogopesha Wanasayansi/Wahandisi au Wanahisabati huko CHADEMA? Hebu wajaribuni hawa jamaa labda mtatoboa!

Unaandika lakini?😄😄😄😄😄😄
 
Back
Top Bottom