CHADEMA Hakuna Mhandisi wala Mwanasayansi!

CHADEMA Hakuna Mhandisi wala Mwanasayansi!

Kwa hizi masters na phd za google mkuu??!! Msomi ni yule mwenye kutumia taaluma yake kwa kuleta maendeleo chanya kwa watu wake...Lema ni kiboko ya CCM ameifuta rangi ya kijani kwanzia njiapanda mpaka Namanga...!!?

Fact imekaa vizuri mkuu hongera
 
Km siasa inafanyika muhimbili, kcmc, Bugando na keingineko basi ni muhimu kupata wanasayansi. Km siasa inapima majengo marefu na barabara basi muhimu kupata wahandisi. Ila sikuhukumu kwani hata yesu alislitiwa na mwanafunzi wake Yuda iskariot, licha wewe kuisalit chadema. Uelewa wako ndio mdogo kwa sababu mlipomteuwa kuwa waziri mkuu hamkujua kasoma sanaa ila sasa ndio mnajua kasoma sanaa. POLE.

Hah hah hah ha-ha haha
 
Hivi ni kwa nini kwanini CHADEMA hakuna Kiongozi wala Mwanachama aliyesomea Uhandisi, Hisabati au Sayansi? Wote ni aidha Sheria, Upadri au sasa hivi wanataka kuleta mwingine kasomea sanaa!

Kuna nini kinawachofukuza au kuwaogopesha Wanasayansi/Wahandisi au Wanahisabati huko CHADEMA? Hebu wajaribuni hawa jamaa labda mtatoboa!
Umeambiwa CHADEMA NI MAABARA yenye kuhitaji hao profesionals.Hebu nitajie hao unaowaita mapadri au wanasheria kwani isije ikawa una majina ya watu wawili au watatu ndo unatumia kama hoja ya kuwakilisha mamilioni ya watu.Did u conduct a research,if yes what was the methodology and sample size.Huku JF kuna usemi ...No research No right to speak.

 
Mimi ni mhandisi mke wangu mwanasayansi baba yangu mtaalam wa hesabu mama yangu mtaalam wa anga tupo wote chadema. Unasemaje, na tumetoboa ushahidi tar 25 oct2015.
 
Hivi ni kwa nini kwanini CHADEMA hakuna Kiongozi wala Mwanachama aliyesomea Uhandisi, Hisabati au Sayansi? Wote ni aidha Sheria, Upadri au sasa hivi wanataka kuleta mwingine kasomea sanaa!

Kuna nini kinawachofukuza au kuwaogopesha Wanasayansi/Wahandisi au Wanahisabati huko CHADEMA? Hebu wajaribuni hawa jamaa labda mtatoboa!
1
wapo wengi tuu ila kwa kuwa elimu yao hawajabahatisha hawaoni haja ya kutangaza. Hivi nikuulize WEWE UNAFIKIRI STELA MANYANYA NI MHANDISI?. Msomi ambae kasoma bahati mbaya, hajiamini kwenye fani yake, kaungaunga, Ndio huwa wanajitangaza kwa fani zao ila ukimpeka kwenye fani anajiumauma. Lakini ujue chama cha siasa sio kampuni ya ujenzi.
 
unawajua wanachama wote Wa chadema au unaropoka tu

hapo hukutenda haki au hukuielewa kabisa mada .yeye ameuliza kwa nini hakuna kiongozi mwana sayansi ,sio hakuna mwanachama mwanasayansi hivyo ni vitu viwili tofauti
 
Mhandisi Nada Narry, Mshindi kura za maoni Hanang,
 
Hivi ni kwa nini kwanini CHADEMA hakuna Kiongozi wala Mwanachama aliyesomea Uhandisi, Hisabati au Sayansi? Wote ni aidha Sheria, Upadri au sasa hivi wanataka kuleta mwingine kasomea sanaa!

Kuna nini kinawachofukuza au kuwaogopesha Wanasayansi/Wahandisi au Wanahisabati huko CHADEMA? Hebu wajaribuni hawa jamaa labda mtatoboa!

Mhandisi Nada Narry mshindi kura za maoni, Hanang.
 
Adam Zella wa Mbeya vijijini naye ni mhandisi, kalaga bao
 
David Djumbe mgombea wa ubunge jimbo singida .....ni mhandisi wa electrical engineer,naamini wako wengi sana sema kujua wako wapi ndio inakuwa tatizo
 
Sio Kweli, Chadema ina magwiji wa sayansi na madaktari bingwa wengi tu. Take your time utawaona na kuwaelewa. Ni mpango mkakati tu.


Hivi ni kwa nini kwanini CHADEMA hakuna Kiongozi wala Mwanachama aliyesomea Uhandisi, Hisabati au Sayansi? Wote ni aidha Sheria, Upadri au sasa hivi wanataka kuleta mwingine kasomea sanaa!

Kuna nini kinawachofukuza au kuwaogopesha Wanasayansi/Wahandisi au Wanahisabati huko CHADEMA? Hebu wajaribuni hawa jamaa labda mtatoboa!
 
Jibu fupi tu tukiingia magogoni vyuo vya umma vyote ni vyetu sasa unataka wanasayansi wa sayari ipi hatupapatik tukichukua dola
 
Wahandisi na wanasayansi wa nini kwenye siasa, chadema haina wachumia tumbo
 
ni bora usiwe na wahandisi ndani ya chama!! maaana tuna wahandisi wanasaini majengo feki na barabara ovyo!!! wahandisi njaaa!!! wachumia tumbo.
 
Hivi ni kwa nini kwanini CHADEMA hakuna Kiongozi wala Mwanachama aliyesomea Uhandisi, Hisabati au Sayansi? Wote ni aidha Sheria, Upadri au sasa hivi wanataka kuleta mwingine kasomea sanaa!

Kuna nini kinawachofukuza au kuwaogopesha Wanasayansi/Wahandisi au Wanahisabati huko CHADEMA? Hebu wajaribuni hawa jamaa labda mtatoboa!

Huko ccm penye wahandisi na wanasayansi mbona nchi nusu karne bado iko hoi?
Hakuna ubongo, kuna uharo wa bata humo kichwani.
 
Back
Top Bottom