bemg
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 2,799
- 644
Wahandisi wapo wamejaa tele na hawana makeke kama unavyotaka wawe.Wanapambana zaidi ktk taaluma zao na wanaipa support tu chadema ktk kuiondoa ccm
Hivi ni kwa nini kwanini CHADEMA hakuna Kiongozi wala Mwanachama aliyesomea Uhandisi, Hisabati au Sayansi? Wote ni aidha Sheria, Upadri au sasa hivi wanataka kuleta mwingine kasomea sanaa!
Kuna nini kinawachofukuza au kuwaogopesha Wanasayansi/Wahandisi au Wanahisabati huko CHADEMA? Hebu wajaribuni hawa jamaa labda mtatoboa!