CHADEMA Hakuna Mhandisi wala Mwanasayansi!

CHADEMA Hakuna Mhandisi wala Mwanasayansi!

Wahandisi wapo wamejaa tele na hawana makeke kama unavyotaka wawe.Wanapambana zaidi ktk taaluma zao na wanaipa support tu chadema ktk kuiondoa ccm

Hivi ni kwa nini kwanini CHADEMA hakuna Kiongozi wala Mwanachama aliyesomea Uhandisi, Hisabati au Sayansi? Wote ni aidha Sheria, Upadri au sasa hivi wanataka kuleta mwingine kasomea sanaa!

Kuna nini kinawachofukuza au kuwaogopesha Wanasayansi/Wahandisi au Wanahisabati huko CHADEMA? Hebu wajaribuni hawa jamaa labda mtatoboa!
 
Hivi ni kwa nini kwanini CHADEMA hakuna Kiongozi wala Mwanachama aliyesomea Uhandisi, Hisabati au Sayansi? Wote ni aidha Sheria, Upadri au sasa hivi wanataka kuleta mwingine kasomea sanaa!

Kuna nini kinawachofukuza au kuwaogopesha Wanasayansi/Wahandisi au Wanahisabati huko CHADEMA? Hebu wajaribuni hawa jamaa labda mtatoboa!

Serikali iliyopo madarakani ina kila aina ya wasomi unaowataka sasa tembelea sehemu ambazo elimu hizo ulizozitaja kama zimeweza kusaidia wananchi kwa kile walichokisomea utaishia kutoa machoz na kuilaani ccm.
 
Yule profesa wa CCM anayeita mil.10 fedha ya mboga ana faida gani?
Wapo wasomi weny PHD lakini mchango wao wa mawazo kwa ndg zao tu ni 00% je kwa taifa itakuwaje?

Siasa haichagui msomi au mtu mweny elimu ya kawaida....tunaangalia uwezo wa mtu wa kufikiri, kutatua matatizo na kuishi vyema na jamii yote
 
Yule MWANATHAYANTHI wenu wa Physics ikawaaje hata tano bora hakuwepo,?!
 
Chadema hatuhitaji ma profesa kama maghembe
Dr kama jk
Profesa kama maji marefu....
 
Hivi ni kwa nini kwanini CHADEMA hakuna Kiongozi wala Mwanachama aliyesomea Uhandisi, Hisabati au Sayansi? Wote ni aidha Sheria, Upadri au sasa hivi wanataka kuleta mwingine kasomea sanaa!

Kuna nini kinawachofukuza au kuwaogopesha Wanasayansi/Wahandisi au Wanahisabati huko CHADEMA? Hebu wajaribuni hawa jamaa labda mtatoboa!

Ulitaka kujaza post tu
 
Hivi ni kwa nini kwanini CHADEMA hakuna Kiongozi wala Mwanachama aliyesomea Uhandisi, Hisabati au Sayansi? Wote ni aidha Sheria, Upadri au sasa hivi wanataka kuleta mwingine kasomea sanaa!

Kuna nini kinawachofukuza au kuwaogopesha Wanasayansi/Wahandisi au Wanahisabati huko CHADEMA? Hebu wajaribuni hawa jamaa labda mtatoboa!

Hao wa ccm waliosomea hayo makitu wamesaidia nini hii nchi tuanze na professor wa hela za mboga, na wengine ma pro pro zaidi ya umasikini sana sana wamekuwa mafisadi chenge.n.k
 
1437814783533.jpg 1437814783533.jpg wizi mtupu na unafiki wa hali ya juu kuwahi tokea karne hii ya sayansi na teknolojia.
 

Attachments

  • 1437814820652.jpg
    1437814820652.jpg
    86.5 KB · Views: 272
Walio somea hisabati na sayansi huko ugambani wanamsaada gani na nchi kama majizi na watetezi wa wezi
 
Wewe maengineer hawana njaa,,, wengi wanaamini kwenye fact maana wao wamesomea ukweli na sio uongo kwa hiyo wengi siasa haziwahusu na sidhani kama wanapigaga kura,, ila safari hii kura za wale wote waliosomea fact zitaenda kwa MAGUFULI maana bila shaka baraza lake litakuwa na watu wa fact akina muhongo, nk..
 
mpinga shetani
Ningekuwa naweza ningeweka kwenye mizani maisha ya Mbowe wa elimu ya darasa la tatu na wewe mwenye elimu kubwa nione mizani itaelemea wapi

Mafanikio kwenye maisha na katika kile unafanya hayawi defined tu na viwango vya elimu...

Wengi elimu imewasaidia ujuzi tu wa kuiba kwa kalamu na maandishi mengi yenye ulaghai ndani yake
Mbona rahisi tu? Mbowe karithi mali ya babake, kafungua disco na danguro dar. Sasa anatumia ujinga wenu kuwa bungeni. Mimi nafanya kazi halali, simdanganyi mbweha yeyote kuwa nitamkomboa. Sijamuua Chacha Wangwe, sizini na Mukya Dubai...... Ukimaliza kunifananisha na Huyo mchaga. Unifananishe pia na Idd Amin. Yeye pia hakuwa na elimu ila alifurahia maisha kama Mbowe na kilaza kama wewe bado ungemsifu tu. Hovyo
 
Back
Top Bottom