Kambaku
JF-Expert Member
- Nov 12, 2011
- 8,710
- 32,483
CHADEMA na CCM waache kujiozesha kwa wakenya, wakomalie nchi yao
tupo hatua laki moja nyuma ya wakenya, tusimame wenyewe, sio kujiwekesha kwenye kila kitu kinachokamata media attention
CCM na CHADEMA hawahitaji siasa za kenya kuongoza Tanzania, wanahitaji uwezo na utashi
upuuzi mwingine humu JF unakera sana
Umeongea 'pwenti' sana kwenye bandiko lako ila hapo kwenye red naomba nikubishie kwa nguvu zangu zote Sir!