CHADEMA Haiko na Raila, please...

CHADEMA Haiko na Raila, please...

Haikatazwi individual kuwa na msimamo wake katika hili.........hoja yangu ni MaCCM kutaka hoja ya YERICKO kuwa ya kichama na si ya binafsi....Raila huyuhuyu alipokuja Tanzania akiwa Waziri wa Moi alikataa katakata kukutana na wapinzani akidai yeye yuko katika serikali na amekuja kama mgeni wa serikali......na ndipo alipoanzisha rasmi urafiki na Magufuli......sasa leo iweje ahusishwe na CHADEMA?

Kwahiyo wale waimbaji wa CHADEMA na zile fuso mbili za CHADEMA tulizotaarifiwa kwa kupitia vyombo vya habari kwamba zilienda kusaidia kampeni za Odinga ulikuwa ni uzushi?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Chadema ni Kama mude wa ambiance ukipanda dau unabuy lowasa kafika dau acha awale
 
Hii barua ya kutengeneza tu. Tangu mwanzo mliandika wenyewe CHADEMA(RAILA) vs CCM(UHURU) yamewafika shingoni sasa, haya ogeleeni tuone kama mtafika ng'anmbo

nyumbu wengi washasahu hilo
 
Back
Top Bottom