Hii barua ya kutengeneza tu. Tangu mwanzo mliandika wenyewe CHADEMA(RAILA) vs CCM(UHURU) yamewafika shingoni sasa, haya ogeleeni tuone kama mtafika ng'anmbo
Ni kweli imetengenezwa na chama cha ORANGE DEMOCRATIC MOVEMENT chini ya RAILA ODINGA.
Hii barua ya kutengeneza tu. Tangu mwanzo mliandika wenyewe CHADEMA(RAILA) vs CCM(UHURU) yamewafika shingoni sasa, haya ogeleeni tuone kama mtafika ng'anmbo
Umeongea 'pwenti' sana kwenye bandiko lako ila hapo kwenye red naomba nikubishie kwa nguvu zangu zote Sir!
Naona kuna upotoshaji mkubwa sana wa baadhi ya members humu JF........THIS IS FOR THE RECORD!
![]()
Umelewa asubuhi bila kunywa pombe wala madawa ya kulewa, sasa basi ni nini?
Inauma lakini ndo ukweli, Raila kushindwa kwake katika mazingira ambayo Chadema wamepeleka msaada wote mpaka wa magari, mkakati na misaada mingine kibao....kama alivyoshindwa Raila kipigo cha mbwa mwizi kinaisubiri Chadema 2015!! Nadhani mmejifunza karata za kisiasa si vile unavyojisikia bali ni ukweli wa uwanjani.....
RA naye kakimbia Tanzania Kenya kaangukia kwa Raila.....naamini sasa anaumwa....uhurumkafanya kweli,,,...wa kenya wamekataa kuamuliwa mambo yao na nchi za magharibi na ndivyo watanzania watakavyo waadhibu vibaraka wa magharibi hapa nyumbani.....
Magufuli alienda au hakuenda?...halafu barua yenyewe ina utata;...
Na: George Njogopa na Beatrice Moses
CHAMA cha Orange Democratic Movement (ODM) cha Kenya, kimezungumzia uamuzi wake wa kumwalika Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli kwenye moja ya mikutano yake ya kampeni nchini humo, uliozua mjadala mkubwa nchini.
Desemba 7 mwaka huu, chama hicho cha upinzani nchini Kenya kilimwalika Dk Magufuli kwenye mkutano wake wa kampeni uliofanyika kwenye Uwanja vya Kasarani ambako pamoja na mambo mengine, alimpigia debe Raila Odinga ili achaguliwe kuwa Rais wa Kenya katika Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika Machi mwakani.
Hatua hiyo ya Dk Magufuli ilizua mjadala mkubwa, huku Chadema kikidai kuwa ni makosa kwa nchi moja kuingilia siasa za nchi nyingine na kumtaka waziri huyo aeleze kama alitumwa na Serikali au la.
Chadema pia kilimtaka Rais Jakaya Kikwete atolee kauli hatua hiyo ya waziri wake, vinginevyo nchi itakuwa na uhusiano mbaya na Kenya, endapo Raila hatachaguliwa kuwa Rais. Akizungumza na gazeti hili jana, Katibu Mkuu wa ODM, Profesa Peter Anyang'Nyong' alisema hakuna haja ya Watanzania kumzonga Waziri Magufuli, kwani ujio wake Kenya, ulitokana na mwaliko wa Odinga.
..........
Mkuu wangu Safari_ni_Safari,
Ni Wana-CHADEMA wenzako ndio walioleta hapa habari za ushoga uliopo kati ya CHADEMA na ODM! Au unataka kuniambia hukuiona ile thread ya Yericko Nyerere?! Au leo hii Odinga mnamkana baada ya kuona karata zake haziendi vizuri?!