CHADEMA Haiko na Raila, please...

CHADEMA Haiko na Raila, please...

Hii barua ya kutengeneza tu. Tangu mwanzo mliandika wenyewe CHADEMA(RAILA) vs CCM(UHURU) yamewafika shingoni sasa, haya ogeleeni tuone kama mtafika ng'anmbo

Ni kweli imetengenezwa na chama cha ORANGE DEMOCRATIC MOVEMENT chini ya RAILA ODINGA.
 
Umeongea 'pwenti' sana kwenye bandiko lako ila hapo kwenye red naomba nikubishie kwa nguvu zangu zote Sir!

nimekusoma mkuu, ungeniuliza tu, hizo hatua ni za mtu, tembo, mende, tandu au mjusi??
 
jamani watanzania waacheni wakenya wakanyagane wenyewe kisiasa.mbona wao wana'mute mambo sisi yakitufikia shingoni?media zao zinatangaza mambo yao 2 sisi kimbelembele cha nini?mwishowe watatuoa
 
Naona kuna upotoshaji mkubwa sana wa baadhi ya members humu JF........THIS IS FOR THE RECORD!

attachment.php

Haya maneno ingekuwa vyema kama ungemwambia Chadema mwenzako Yericko.
 
Mkuu wangu Safari_ni_Safari,
Ni Wana-CHADEMA wenzako ndio walioleta hapa habari za ushoga uliopo kati ya CHADEMA na ODM! Au unataka kuniambia hukuiona ile thread ya Yericko Nyerere?! Au leo hii Odinga mnamkana baada ya kuona karata zake haziendi vizuri?!
 
Atongole kwa hyo wenye uwe mkubwa ndo wezi/mafisadi?We una posho ucjal,lakn nAfkr kuwa huu ujinga kam wako na ccm unafaida ndo mana.
 
Eti memkana kweupe, kweli rafik mzazi wako,mwengine yeyote atakusaliti.
 
Inauma lakini ndo ukweli, Raila kushindwa kwake katika mazingira ambayo Chadema wamepeleka msaada wote mpaka wa magari, mkakati na misaada mingine kibao....kama alivyoshindwa Raila kipigo cha mbwa mwizi kinaisubiri Chadema 2015!! Nadhani mmejifunza karata za kisiasa si vile unavyojisikia bali ni ukweli wa uwanjani.....

RA naye kakimbia Tanzania Kenya kaangukia kwa Raila.....naamini sasa anaumwa....uhurumkafanya kweli,,,...wa kenya wamekataa kuamuliwa mambo yao na nchi za magharibi na ndivyo watanzania watakavyo waadhibu vibaraka wa magharibi hapa nyumbani.....
 
Umelewa asubuhi bila kunywa pombe wala madawa ya kulewa, sasa basi ni nini?
 
Unapingana na Mbowe na Dr Slaa wewe lazima utakuwa masalia.
 
Umelewa asubuhi bila kunywa pombe wala madawa ya kulewa, sasa basi ni nini?

Amewahi leo Lumumba pale.. Sio kosa lake.. Ni sawa na dereva mwenye heshima zake ukampe daladala aendeshe.. Atakuwa chizi... Ndo sawa na kuwa Lumumba pale..
 
Inauma lakini ndo ukweli, Raila kushindwa kwake katika mazingira ambayo Chadema wamepeleka msaada wote mpaka wa magari, mkakati na misaada mingine kibao....kama alivyoshindwa Raila kipigo cha mbwa mwizi kinaisubiri Chadema 2015!! Nadhani mmejifunza karata za kisiasa si vile unavyojisikia bali ni ukweli wa uwanjani.....

RA naye kakimbia Tanzania Kenya kaangukia kwa Raila.....naamini sasa anaumwa....uhurumkafanya kweli,,,...wa kenya wamekataa kuamuliwa mambo yao na nchi za magharibi na ndivyo watanzania watakavyo waadhibu vibaraka wa magharibi hapa nyumbani.....

Hivi si ni muda wa Kwenda Kazini? kwa staili hii ni lazima Tuwe masikini milele, kama muda wakujiandaa na kazi bado mtu unakaa kuandika Porojo ni hatali sana kwa Taifa, au ndo Ulikuwa shift ya Usiku huko Lumumba?
 
Na: George Njogopa na Beatrice Moses

CHAMA cha Orange Democratic Movement (ODM) cha Kenya, kimezungumzia uamuzi wake wa kumwalika Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli kwenye moja ya mikutano yake ya kampeni nchini humo, uliozua mjadala mkubwa nchini.


Desemba 7 mwaka huu, chama hicho cha upinzani nchini Kenya kilimwalika Dk Magufuli kwenye mkutano wake wa kampeni uliofanyika kwenye Uwanja vya Kasarani ambako pamoja na mambo mengine, alimpigia debe Raila Odinga ili achaguliwe kuwa Rais wa Kenya katika Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika Machi mwakani.


Hatua hiyo ya Dk Magufuli ilizua mjadala mkubwa, huku Chadema kikidai kuwa ni makosa kwa nchi moja kuingilia siasa za nchi nyingine na kumtaka waziri huyo aeleze kama alitumwa na Serikali au la.


Chadema pia kilimtaka Rais Jakaya Kikwete atolee kauli hatua hiyo ya waziri wake,
vinginevyo nchi itakuwa na uhusiano mbaya na Kenya, endapo Raila hatachaguliwa kuwa Rais. Akizungumza na gazeti hili jana, Katibu Mkuu wa ODM, Profesa Peter Anyang'Nyong' alisema hakuna haja ya Watanzania kumzonga Waziri Magufuli, kwani ujio wake Kenya, ulitokana na mwaliko wa Odinga.

..........

attachment.php
attachment.php
attachment.php

 
Mkuu wangu Safari_ni_Safari,
Ni Wana-CHADEMA wenzako ndio walioleta hapa habari za ushoga uliopo kati ya CHADEMA na ODM! Au unataka kuniambia hukuiona ile thread ya Yericko Nyerere?! Au leo hii Odinga mnamkana baada ya kuona karata zake haziendi vizuri?!

Haikatazwi individual kuwa na msimamo wake katika hili.........hoja yangu ni MaCCM kutaka hoja ya YERICKO kuwa ya kichama na si ya binafsi....Raila huyuhuyu alipokuja Tanzania akiwa Waziri wa Moi alikataa katakata kukutana na wapinzani akidai yeye yuko katika serikali na amekuja kama mgeni wa serikali......na ndipo alipoanzisha rasmi urafiki na Magufuli......sasa leo iweje ahusishwe na CHADEMA?
 
Back
Top Bottom