Taratibu mkuu, kuwa na upande hakuaanza leo hata historia inaonyesha kabisa. Kwa sasa hivi, katika jumuiya ya Afrika ya Mashariki kunahaja ya kujua raisi wa nchi jirani ni nani na misimamo yake katika mambo fulani fulani. Hukumbuki Nduli Idd Amini Dada walivyokorofishana na JKN mpaka kupelekea vita. Kwa maana hiyo nchi ni muhimu sana kuwa karibu nazo. Kuhusu Magufuli, kuna mmoja alichangia kwamba ni classmate wa Raila, sina uhakika sana. Ila yawezekana CCm wakawa kotekote kwa ajili kutega upepo kwa njia mbalimbali. Lakini kwa Uhuru Kenyatta naona ni wazi kabisa.Magamba ujingaujinga tu, hivi kenya chni ya uhuru itaisaidia vp ccm kuiletea maendeleo tz au kubadili hali za maisha za watz? Au atasaidia vp masisiemu kushinda 2014-2015? Tutaona si nilimskia magufuli kaalikwa na odinga kpndi fulani inamaana magufuli si masisiemu syo?
....Hili la kuuziwa vifaa vya kupigia kura na vifaa vya mtandao na RA una ukweli wowote?
WanaJF,
Kutokana na uchaguzi mkuu wa Kenya unavyoendelea, mengi yamekuwa yakisemwa kwa kuhusisha wagombeaji wa uraisi na vyama vya siasa hapa Tanzania. Baadhi wamesema kwamba CDM ipo nyuma ya Raila Odinga na CCM ipo nyuma ya Uhuru Kenyatta. Kulingana na uchanguzi unavyokwenda sasa hivi, kama kweli CCM ipo nyuma ya Uhuru Kenyatta na akaendelea kuongoza kama ilivyo sasa na kushinda uchaguzi huo.
Basi CCM itaonekana ni Dume la Afrika.
Kwani nchi nyingi duniani zinainterest sana na uchaguzi hasa kwa kujua kwamba mgombea aliyekuwa na nguvu uchaguzi uliopita ndo anapambana tena.
Labda likuoe wewe!..
M 23!! Wewe upo Chama gani mkubwa?kama ccm ni dume we mleta mada ni jike endelezeni starehe masika hii
Labda likuoe wewe!..
Hivi kile ki thread cha kipuuzi cha Yericko Nyerere kimeishia wapi?
Yericko Nyerere kaikimbia JF aibu imemshika alikua anajiita Freinds of Raila! Ameona Raila anapotea!
Kwenye facebook na Radio za kenya friends of Raila Odinga wametangaza wazi kwamba bosi wao ameshinda nafasi ya Urais baada ya wao kujumlisha kura za nchi nzima za vituo vyote. Hii ndo habari mpya ya mchana huu. Hongera kwa Chadema waliomsapoti Odinga.
![]()
By xxxxx![]()
![]()
Mzee Jommo Kenyatta ambaye anadaiwa kupalilia ukabila nchini humo kwa kuwabeba Wakikuyu aliwahi kunukuliwa akisema "Jaluo Jinga Jeusi haiwezi ongoza Kenya"
Na hicho ndicho kinachomcost Odinga. KILA LA HERI KENYA.
Magari ya M4C yaliyokwenda kumsaidia ODINGA hayajarudi? Hii dhambi ya kuwasakizia wengine kuwa wanaeneza ukabila ndiyo itakayowatafuna hata hawa wachagga wetu, subirini tu 2015 na sera yao ya umajimbo kmbe inatumika tu kama kufuniko, lengo hasa ni kutaka kuutukuza ukaskazini, kwishne Odinga bado Ninyi. Hayo magari yenu sijui mtayapitishia wapi?