CHADEMA flip flopping at its best! Jisomee mwenyewe uone

Lissu toka miaka ya tisini ndiye aliyefanya barrick igeuze baadhi ya vitendo vyake vya unyonyaji Tanzania, hata katika ripoti zao utaona wamemtaja by name kuwa he is a pin in their asses! Huyu ndiye mtetezi wa wanyonge, kumbuka sakata la Bulyankulu. Huyu ndiye aliyeingiza Tanzania kwenye ramani ya wanaharakati wa kimataifa wa masuala ya madini. Yeye na Rugemeleza Nshala. Hawa wawili ndio wamelifanya shirika la LEAT kuwa upande wa kuwatetea wananchi. Ukitaka kujua mchango wa Lissu kwa taifa waulize wachimbaji wadogo wa madini nchini. Wamachinga wawezi kumjua na wakaa ofisini kama wewe hamwezi kumjua lakini nenda maeneo ya migodi kwenye migogoro, his name is household. Nenda Nyamongo, Mererani. He is their man. He is also my man. I love him, find his documentary film- I am sure it is available on line, you will agree that he is also your man. Hata kama ni mwanaume mwenzio.


Asha

Bulyankulu kama sikosei alileta Mrema. Mimi sibishi nini Lissu kafanya dada Asha, mimi shida yangu ilikuwa records, nashukuru umeelezea records zake kuhusu madini.

Inaonyesha unapempenda Lissu sababu unampenda. I will try to find his documentary and see what inside. But at this particular moment we just agree that Lissu is another attorney, who specialized on contracts. Also we just agreed that Lissu is an intern in politics, and he will get better if he will start listen before he respond.

Again, i dont under estimate the guy, i salute him on several things concern Mikataba. However he shows lack of experience in political forum, and this is normal for any intern in politics. He will need adviser who will tell him what to talk, and when to talk and what to say. It take a while to be a good experiancial politician, it take nothing to stand on the podiums and say your opinions.
 
Bulyankulu kama sikosei alileta Mrema. Mimi sibishi nini Lissu kafanya dada Asha, mimi shida yangu ilikuwa records, nashukuru umeelezea records zake kuhusu madini.

Inaonyesha unapempenda Lissu sababu unampenda. I will try to find his documentary and see what inside. But at this particular moment we just agree that Lissu is another attorney, who specialized on contracts. Also we just agreed that Lissu is an intern in politics, and he will get better if he will start listen before he respond.

Again, i dont under estimate the guy, i salute him on several things concern Mikataba. However he shows lack of experience in political forum, and this is normal for any intern in politics. He will need adviser who will tell him what to talk, and when to talk and what to say. It take a while to be a good experiancial politician, it take nothing to stand on the podiums and say your opinions.

Mrema alidakia hoja ya Bulyankulu toka kwa kina Lissu kama mwanasiasa kwa kuwa wao walikuwa wanaharakati hawakuweza kuifanya iwe kisiasa. Na ndio maana wakawa naye. Ushahidi wa mrema ulitoka kwao. Lissu is a radical lawyer, activist cum politician. Aligombea ubunge kwao Singida sikumbuki ni jimbo gani akiwa na miaka kati ya 18 au 19 tu.

Ukweli ni kwamba katika hili yuko kama yule aliyesema dunia ni duara wakati dunia nzima iliamini dunia ni kama meza. Alinyongwa! Lakini leo dunia inaimba alichokisema. Sikubaliani na approach ya Chacha Wangwe, lakini miezi mitatu ijayo mtakuja kusema Tundu Lissu alikuwa sahihi. Fedha za walipa kodi zimetumika bure katika hii kitchen party commitee( I am told this is the sentence he used at mjadala na the so called wasomi).

Yes, i love the guy. I don't love you because you have no record in this country yet you blast my beloved one whose love is to the country and to the people rather than mafisadi.

I will always love him

Asha
 
Yes, i love the guy. I don't love you because you have no record in this country yet you blast my beloved one whose love is to the country and to the people rather than mafisadi.

I will always love him


Asha

Like I said somewhere in this forum not long ago: at end of the day, women will always be women!
 
Mrema alidakia hoja ya Bulyankulu toka kwa kina Lissu kama mwanasiasa kwa kuwa wao walikuwa wanaharakati hawakuweza kuifanya iwe kisiasa. Na ndio maana wakawa naye. Ushahidi wa mrema ulitoka kwao. Lissu is a radical lawyer, activist cum politician. Aligombea ubunge kwao Singida sikumbuki ni jimbo gani akiwa na miaka kati ya 18 au 19 tu.

Ukweli ni kwamba katika hili yuko kama yule aliyesema dunia ni duara wakati dunia nzima iliamini dunia ni kama meza. Alinyongwa! Lakini leo dunia inaimba alichokisema. Sikubaliani na approach ya Chacha Wangwe, lakini miezi mitatu ijayo mtakuja kusema Tundu Lissu alikuwa sahihi. Fedha za walipa kodi zimetumika bure katika hii kitchen party commitee( I am told this is the sentence he used at mjadala na the so called wasomi).

Yes, i love the guy. I don't love you because you have no record in this country yet you blast my beloved one whose love is to the country and to the people rather than mafisadi.

I will always love him

Asha

I actual search his records, again the guy is just a lawyer and activist. He have a good record in mining sector, and that what i was asking for, "just his records"

On the other side, he is imatured in politics, he have his own hatred politics movement. Honest i listen him two or three times, and from my point of view he seems to stuck in 1960's rebellion politics, which doesn't have chance in 21 century. Sasa kutoitambua kamati ya madini kutawasaidia nini wachimbaji wadogo wadogo? He seems to adopt Al Sharpton tacticts, which will not move him even single step forwad.

So, what does he want? JK to adopt his policy about what need to be done? I guess he is in deep sleep if he think CCM will ever do anything that upinzani suggest. He need to shishi and let the kamati do the job.
 
(1) una uhakika mbowe hajawahi kula rushwa ??

Hilo la kuwa na uhakika mimi sina uwezo wa kulitambua.Ila ninachojua Mbowe alikataa Rushwa ya CCM kutaka wajiunge nao.Hata wakuu wako unaowapigia Debe hapa ingawa hawakujui wanalitambua hilo
(2)hivi demokrasia gani tena zaidi ya hii iliyopo sasa tanzania uliyokuwa unataka wewe ?? au demokrasia ina maana nyingine siku hizi ??

Demokrasia gani iliyoko kwani unaridhika nayo sana? Kungekua na Demokrasia ya kweli kama wabunge wa CCM wakishirikiana na Spika wasingekubali kukalishwa Chini na Lowasa na kuzima hoja au kukataa kujadili hoja zenye maslahi kwa Taifa.

Kama wabunge wanaweza kufungwa midomo wasiseme utasemaje kuna Demokrasia? Tutegemee nini kwa mwananchi wa kawaida kama Mwanafunzi,mkulima,mmachinga ,mwandishi wa habari nk.
atakapojaribu kupaaaza sauti yake kudai haki yake?
(3)huo ni uwongo mkubwa, mengi akitaka kuingia ccm wazi wazi anashindwa ? usiniambie tanzania nzima shujaa ndiye mbowe, if so count me a non-tanzanian !
Acha kuchanganya mambo kijana,yaani hadi Mengi unataka kumuingiza tena huku ndani?Nani kamataja Mengi,Hata hivyo kama Mengi ataingia au atakua CCM hakuna shida kama atakua na msimamo wake wenye maslahi kwa taifa maanake naona wewe unatanguliza chama mbele.Nani kakuambia Shujaa ni mbowe peke yake,Mbowe ni mmojawapo wa mashujaa hasa kipindi hiki tunachofanya mapambano ya kuikomboa Tanzania kiuchumi na kisiasa kutoka kwa wakoloni weusi(4)je do you give me the same credit kwa maalim seif sharif hamad, mrema, lipumba, mbatia, mtikila na wengineo ambao ni wapinzani na wanakemea mambo ya ccm ? au kwako wewe unachokiona ni MBOWE tu ??
Nilijibu kwa kutumia Mbowe kwa sababu wewe ndio ulianza kumjadili Mbowe.Ningefanana na wewe kama ningekua nahama Mada,wewe ulimtaja Mbowe kwa nini mimi ningeanza kumtaja Mtikila au Mrema?Sijawa chizi kiasi hicho ingawa wewe kwako ni sawa.By,the way hata Mtikila ni Shujaa kwa namna yake,hata chama chako kinamjua.Ni mara ngapi amefungua kesi za kikataba ambazo watanzania wengi hawajawezakufanya hivyo?Au wewe wale mafisadi wanaowanyonya wananchi na unawatetea ndio unawaona mashujaa?Acha ubinafsi kijna na jaribu kutetea maslahi ya Taifa.
(5)shujaa tokea lini akatakaa kunukuliwa/kukosolewa ? mbowe sio shujaa na hana hiyo punje ya ushujaa hata kidogo !

Hayo ni mawazo yako,wala sikutegemea na sijawahi kutegemea wewe kukiri hayo kwani akili zako zilivyokaa kila mtu anajua.Hat kama ungekiri watu wangeshtuka sana hapa jamvini.Ndio maana haya maswali uliyoweka hapa umepewa shukrani kwa sababu hukutegemewa kuuliza maswali kama haya ambayo ni ya kawaida kabisa.Hizo ni dharau we bwana mdogo
(6)kama unasema chama tawala (CCM) kimepindisha demokrasia na sasa mbowe ndiye amekuza demokrasia, huoni kwamba hilo ni jambo la kushukuriwa kwa chama tawala CHAMA CHA MAPINDUZI CCM, kwa kumpa fursa ya yeye kujieleza na kuinspaya watu anachoamini ?

Si kwa sababu CCM walilazimika kumuachia uhuru wa kujieleza kutokana na kwamba Mbowe ni mtu mwenye msimamao na amabye CCm walimshinndwa.Hapo ndipo ninapomtaja kama shujaa.Kwani ni wangapi walishindwa mitego ya ccCm na leo wako huko bila utashi wao?je,hii pia haiwezi kumwongezea Mbowe credit ya ushujaaa?

Je,CCM kwenye uchaguzi si walilazimika kumruhusu mbowe kutumia Bendera ya Taifa kama kwenye helkopta yake?Bendera ambayao kila mwananchi ana haki ya kuitumia baadhi ya watu wanataka kuimonopolize and yet unasema Demokrasia ilikuwepo.

au kama serikali iliyo chini ya CHAMA CHA MAPINDUZI CCM ingeamua kukandamiza demokrasia kama ulivyosema unadhani mbowe angeweza kukuza hiyo demokrasia kama ulivyosema
??

Demokrasia gani CCM waliweka,si walilazimika kutokana na changamoto za mabeberu.Kuprove hilo leo hii CCM wanajaribu kwa kila namna kuua upinzani.Wangekua wanaupenda upinzani leo hii wasingejaribu kuua jambo amabalo hawatafanikiwa.Wanatumia watu wasio na uchungu na taifa hili kupondea hoja zitakalolisogeza taifa letu mbele.Leo hii magazeti mengi yanatumika na CCM kufanya spinning,mfano mmojawapo ni hapa kijiweni.watu kama wewe mnakuja hapa kuchafua hoja za msingi kama ulivyoleta hiyo mada kiudaku udaku hapo juu ili kupoteza mwelekeo wa hiki kijiwe.

Yaani unakua tayari kufanywa kituko hapa kijiweni kumwaga upupu wako hapa.Huko CCM tunajua huu uhuru au fursa ya wewe kutoa mawazo hawakupi ndio maana leo hii unapwewa uhuru huo hapa JF unautumia desperately unaongeaga upuuzi hata kwenye hoja serious.

Mmedumazana akili mno ndio maana bado mnachagua kiongozi kwa kupiga kura za ndio au hapanautaratibu wa kikomunisti.kijana ndio maaana hapo juu ulikua unaniuliza namaanisha Demokrasia ipi,kwako naona demkrasia ni msamiati hata kama unaijua labda unaijua kwa sababu ulisikia ikisemwa na watu au waalimu wako wa uraia jambo ambalo hukulifanyia kazi ukaliacha kinadharia (theoretically)hivyo hivyo.Ndiyo maana huwezi kuhoji jambo lolte kwa wakuu wako hadi leo hii ndio maana unajifunza kuongea hapa jamvini.Ndio maana hii nchi imefikia huku ilikofikia.

Pole sana,jiunge na vyama vya upinzani katika mazingira haya haya ya kisiasa yaliyopo nchini leo hii ukatoe hoja zako za msingi na kuikosoa serikali hii kandamizii li na wewe nikuite shujaa kama utathubutu.
 
Kijana hata mimi naona umejitahidi kweli maanake si kawaida yako.

Mzee ES inaelekea ulimpa kijana shule.Naona anaanza taratibu A,B,C,D ,E.....

Kwi kwi kwi kwi!
 
I actual search his records, again the guy is just a lawyer and activist. He have a good record in mining sector, and that what i was asking for, "just his records"

On the other side, he is imatured in politics, he have his own hatred politics movement. Honest i listen him two or three times, and from my point of view he seems to stuck in 1960's rebellion politics, which doesn't have chance in 21 century. Sasa kutoitambua kamati ya madini kutawasaidia nini wachimbaji wadogo wadogo? He seems to adopt Al Sharpton tacticts, which will not move him even single step forwad.

So, what does he want? JK to adopt his policy about what need to be done? I guess he is in deep sleep if he think CCM will ever do anything that upinzani suggest. He need to shishi and let the kamati do the job.


Huyu ni Tundu Lissu wakati huoooooooo. Halafu unasema hajafanya kitu, soma kwa makini-kumbe Bomani naye alihusika kwenye masuala ya madini huko nyuma...

Night was falling on Eastern Africa and Melania Baesi still had not heard from her sons. The two had left that morning to work at an increasingly turbulent gold field where the family had a small pit mine.

A week before, armed police had evicted tens of thousands of peasants from the area. They wanted to clear the way for Kahama Mining, a Canadian-owned company that had been granted mining rights to the site.

Most of the miners fled from the police. But some, like her sons Jonathan and Ernest, returned to work the shafts. It was clear that police threats alone would not scare them away from the Bulyanhulu gold fields.

On August 7, 1996, Kahama's bulldozer sputtered to life and rolled onto the Bulyanhulu gold fields.

It began pushing sand and rubble into the mines.

That evening Melania Baesi was waiting for news of her sons. At 10 p.m., her friend Mafuru Butondo burst into Baesi's home. He could hardly get out the words.

Jonathan and Ernest were dead, he told her. They had been buried alive, he said, along with his own brother and as many as ten others.

This is the first time Baesi's story has been told outside Africa. It tells of the summer when a Vancouver-based company with support from the Canadian government took possession of a billion-dollar gold find in East Africa.

It is not an easy story to tell. People like Butondo say they have faced police intimidation whenever they spoke out.

"As a result, we shut our mouths," he said. "Our loved ones rotted under the rubble that was pushed into the pits by the Caterpillar."

Police took away Baesi's only photographs of her sons.

But human rights lawyer Tundu Lissu has struggled to ensure not all stories from that summer are lost—stories about tens of thousands of peasants evicted from their homes; stories of mothers, fathers, daughters and sons who fear the worst about their loved ones. As many as 52 were allegedly buried alive deep in the shafts of their small mines.

The Company’s Story

Both the company that now owns the mine and the Canadian government say the story is a fabrication. They say the miners were illegal squatters, their evictions were peaceful and there were no burials. They pile up an impressive stack of boxes, three-inch binders and videotaped evidence to support their version of events.

The stakes are high. Between ten and fourteen million ounces of gold lie under that disputed ground. Barrick Gold—which acquired Sutton Resources and thus the mine in 1999—is not responsible for whatever happened in 1996. But as the current owners of the site, the company has inherited the story.

Barrick is a powerful, well-connected multinational. George Bush Senior and Brian Mulroney have sat on its board of directors, which also includes some of U of T's largest private donors. Barrick's founder and chairman Peter Munk gave $6.4 million to build the impressive Munk Centre. Joseph Rotman, who has sat on Barrick's board since inception, gave $15 million to U of T's School of Management—now also named after him. He also sits on U of T's Governing Council, its top decision-making body, while Marshall Cohen sits on Barrick's board and chairs York University's Board of Governors.

The change in the mine's ownership, and the six years that have passed, have not quelled the dispute. The evidence that has surfaced since—ranging from a firestorm of memos and reports to disputed photographs and videos which may show the dead bodies of exhumed peasant miners—has inspired human rights lawyer Tundu Lissu to lead a growing number who say an independent inquiry is the only way to put this matter to rest.

The Gold Rush


Mustafa Taslima was one of the lucky ones. Or at least he should have been. He owned two small gold mines at Bulyanhulu, which provided him with steady income in a country where half the inhabitants still live in desperate poverty. But in the summer of 1996 Taslima's two sons, Ibrahim and Hamdani, were allegedly buried alive in the mines where they worked. They are, at the very least, missing.

Taslima and his fellow small-scale miners were likely overjoyed when they came upon the gold. Tanzania is the fourth-poorest country in the world. Forty per cent of its children under five are malnourished—seven per cent classified as "wasting"—and nearly one in 10 children dies at birth. Average life expectancy is 50 years, a full 27 years below the developed world's average.

If there were people in need of a lucky break, they were here. And in 1976, they got it—when small-scale miners struck gold at Bulyanhulu. Peasants slowly streamed to the area until 1990, when a central bank decision to buy their gold no-questions-asked triggered a gold rush. Just three years later, small-scale miners were selling $40 million dollars of gold to the central bank each year.

Government policy said the miners should be "encouraged and supported with proper tools and markets for their products." The Small-Scale Miners Association petitioned the government for title to the Bulyanhulu mines in October, 1993.

But the official sanction was not to last. The government was under intense pressure from the International Monetary Fund (IMF). In 1994, the international lending agency withheld hundreds of millions in loans until its demands for market reforms were met. These included dramatically opening the largely peasant-run mining sector to foreign investment and ownership.

It was around this time that a mining company supported by the Canadian government also decided to pursue what lay under the ground in Bulyanhulu.

Problems with the locals

Vancouver-based Sutton Resources had an inside track with the Tanzanian government. CEO James Sinclair was a friend of the president of Tanzania and several senior ministers, as was his daughter.

In September 1994 the Tanzanian government granted a mining licence to Kahama Mining, which Sutton owned.

The company wasted no time, preparing to explore the property to determine the value of what lay underground.

They encountered problems from the local population at every turn.

"Under normal circumstances, illegal entrants or occupants of an exploration site tend to drift away or leave the area upon the arrival of the legal owners, but in our case there appears to be some type of organized resistance," said Bill Bali, Kahama's resident director, in a spring 1995 memo.

Shortly after this memo was issued, a surveyor for Kahama found out how strong these feelings were. He encountered small-scale miner Buchwadi Mbelwa while driving through Bulyanhulu in a company truck.

"[On] this vehicle should have been written 'Hostile Mining Corporation,' not Kahama Mining Corporation," Mbelwa said. "We are not going to leave this place at all. Nobody is going to leave this place for the white man."

On the same day, Kahama was trying to remove the locals' water pumps to force out the miners, who needed the pumps to keep their mines dry. The situation exploded at a meeting between the company and the miners.

"If the company wants the miners to move out peacefully, it will be better if the miners are given a reasonable time," said one local official.

Mbelwa put his point more bluntly. "This corporation is giving pump owners a week to leave.... Who the hell do they think they are? Do they think they are the government?"

Mbelwa then threw a punch at one of Kahama's workers.

To the courts

Kahama started to negotiate with the Miners' Committee, chosen by the miners in a Tanzanian government-supervised election and affiliated with regional and national small-scale miners' organizations.

In one meeting, a village elder expressed his frustration: "How come KMCL [Kahama] has asked us to vacate? We will not leave, even if the police are called to disperse us. We will kill and be killed, so that the government realizes that this is our right."

Kahama was worried.

"If we can assume that this village chairman represents people's views, then we can say that this is somewhat a feeling of a good percentage of [the village of] Kakola," a company employee reported in a memo on March 26.

The troubles at Bulyanhulu immediately attracted the attention of the highest levels of power in Tanzania. Regional politicians, bureaucrats, even the president and prime minister of Tanzania talked about the eviction of the miners with the Canadian High Commission and top officials from Kahama and Sutton Resources.

By mid-June, the Miners' Committee was ready to deal. They would accept $5.6 million US in compensation for the mines. They pleaded that they did not want to become "refugees in our own country." Kahama declared that compensation was the government's problem. Four days later, they sued the Miners' Committee.

Late that summer, both sides travelled to Tabora to make their presentations to the High Court.

They then waited for a ruling from presiding High Court Justice Mchome.

They weren't the only ones waiting. Sutton's chairman, millionaire James Sinclair, was also growing concerned about the string of setbacks. As the husband of Sutton's largest single investor—with 18 per cent of the shares owned by his wife—Sinclair had a big interest in the outcome of the case.

But it was about more than just money. From the start of his career, Sinclair has had a deep interest in the gold industry and in Africa. He has written several books on the gold market and mining; he was friends with the president of Tanzania. He also ran Service Assistance International, a charity operating in Tanzania, which is now run by his daughter, Marlene. Sinclair, a devotee of Indian guru Shri Sathya Sai Baba, places high value on personal virtue and morality. He is the model of a capitalist idealist.

Sinclair saw Sutton's stock price steadily decline. His opinion—as later revealed in documents filed with the BC Securities Commission—was that Sutton was in over its head and needed to partner with a company with African experience.

* * *

The Canadian government's High Commissioner to Tanzania had confidence in the Tanzanian courts. In a September memo to Sutton president Michael Kenyon, she counselled him to trust the courts, noting that Tanzania "does have an independent judiciary."

On September 29, Justice Mchome proved her correct.

"When this case was filed, I thought it a simple case of the defendants [the small-scale miners] being sued for contravening the Mining Act and tampering with the plaintiff's [Kahama's] rights under the Act," he stated in the ruling. "But when the Written Statement of Defence and Counter Claim was filed, I discovered that this suit was more than that."

Major issues were at stake.

"I found no provision made for compensation and/or resettlement of the indigenous people," he ruled. In his view, the issue was one of "constitutional basic rights and duties," and needed to be referred to a special three-judge panel under the Basic Rights and Duties Enforcement Act of 1994.

In what is perhaps the most consequential part of this story, that panel did not meet in 1995. Nor did it meet in 1996, when the evictions occurred. In fact, to this day it has neither been constituted nor ruled on the matter.

But at the time, the ruling did halt plans to remove the miners. There was also an election going on. It was now a constitutional matter—and the stakes were rising. By October 1995, drilling at Bulyanhulu produced a new, higher reserve estimate of 2.49 million ounces of gold underground, worth more than $750 million.


The investor rebellion

The potential profits were getting bigger, and also getting further away. With no prospect of evicting the miners, the stock continuing its slide southward, James Sinclair threw down the gauntlet.

On December 11, as Sutton's stock fell to one of its lowest levels, Barbara Sinclair called a meeting of the board to demand their resignation and the appointment of a new board hand-picked by Sinclair. Instead, the board voted down her proposal and immediately stripped Mr. Sinclair of his chairmanship.

Sinclair was not to be thwarted. He founded the Sutton Action Group to unseat the board.

"Under the stewardship of current management, there has been a precipitous decline in Sutton's share price from US $40.75 at March 29, 1994 to approximately US $12.00 today," he noted on March 8,1996.

With the dissident investors, Sinclair attacked the entire approach of Sutton's management. An information circular, filed with the BC Securities Commission, was sent to all investors, accusing the board of being out of their depth at Bulyanhulu. He cited the well-documented "political problems" at the site and alleged "Sutton's managers have built no relationship on the ground with local personnel at the site of Bulyanhulu, a critical step in the development of any business in Africa."

The core of his argument was that his experience and partnership with a company who knew the area better would save Sutton—its stock was valued primarily for the unmined gold beneath Bulyanhulu.

But Sinclair's rivals on Sutton's board didn't want a partner. They wanted to issue several million dollars in new stock to finance construction. On April 11, 1996, the battle came to a head.

Forty-six per cent of shareholders voted with Mr. Sinclair to remove Sutton's board. Under British Columbia's securities legislation, 75 per cent of shareholder approval is required to unseat a company's board of directors.

Sinclair vowed to fight on at the company's annual general meeting on July 30. The revolt put pressure on Sutton's management. With Sinclair planning another challenge, and with nearly half of the shareholders opposed to their leadership, management had to prove they were in control of the situation.

Sutton's president was supplied with two pages of detailed questions about Bulyanhulu and whether the internal conflict at Sutton Resources affected how the company proceeded with the evictions. He declined to comment

The Canadian government steps in

While James Sinclair lobbied Sutton's shareholders, the Canadian government threw its weight behind Sutton's management to convince the Tanzanian government to remove the miners.

Boxes of heavily censored correspondence of the Canadian High Commissioner, obtained by Probe International under Access to Information legislation, tell of the intense lobbying efforts to remove the miners. They show a government that wanted a peaceful solution to the problem, but was desperate to ensure investor confidence in the mines.

"Sutton [censored words] is ready to go to stock market [censored words] but cannot / not do so in absence of Tanz govt action to remove 7,000/10,000/ illegal miners…" said a report to the Department of Foreign Affairs and International Trade in December 1995.

The demands of the stock market were delayed by the court. The Canadian High Commission reported back to Ottawa, "Sutton has appealed to High Court for panel hearing. We do not / not believe that judicial action on injunction need impede action by govt to resolve situ[ation]."

The Canadian government and Sutton launched a series of meetings in early 1996 to urge the Tanzanian government to evict the miners. The court ruling defining the matter as a constitutional issue did not seem to be of concern in the correspondence of the Canadian High Commission that has been obtained by reporters.

In mid-May 1996, the Canadian High Commission wrote to the Canadian government to tell them the evictions would soon occur. "Although rumoured to happen many times in the past, it appears that Tanzanian Government will be clearing mining site of illegal miners beginning 20 of May." Sutton's subsequent actions seem to indicate that the Canadian government had been persuasive.

On May 22, Kahama dropped its appeal of the High Court ruling that recognized the case as a constitutional one. On May 31, Sutton Resources issued $23 million in special warrants (stocks) to finance the Bulyanhulu mine. Despite Sinclair's advice to find a partner with more experience, management had decided to go it alone.

* * *


The evictions were delayed twice again while the Canadian government worked to "underline Canada's preference for a peaceful solution, and to ensure that the miners do not simply vacate one mine site for another," according to the Assistant High Commissioner.

Tanzanian public opinion also needed to be softened. The High Commission published a special supplement in the Tanzanian press in early July, and the High Commissioner appeared in a half-hour TV interview.

"In short, with this full court press, the decision makers will be fully aware of how important this mining sector, Cdn participation, and rule of law is to their economy," the Canadian High Commission wrote in a June 28 memo to Ottawa.

Reporters on this story were unable to obtain clarification from the then-High Commissioner as to why the government seemed prepared to see the evictions progress without the constitutional panel having convened. Attempts to contact the former High Commissioner were not successful.

Evicted

By July 31, 1996, the eviction process was set to begin. A day after Sutton's shareholders filed into a Vancouver conference room for the company's annual general meeting, tens of thousands of Africans were about to be evicted from their homes.

At 1 p.m. on July 31, the voice of the Minister of Water, Energy and Minerals can be heard around the country. His Radio Tanzania speech decrees the small-scale miners have one month to evacuate the Bulyanhulu area.

A few hours later, Major General Tumaniel Kiwelu, Shinyanga Regional Commissioner, arrives at Kakola village, where many of the small-scale miners live. He is joined by armed police, many in riot gear.

He tells the miners they have 24 hours to leave the area, reportedly saying that he only wants to see "birds, lizards, insects and snakes" in the area by morning. Now two different sets of instructions have been given to the miners.

By daybreak, tens of thousands of peasants are fleeing a land they have been fighting to hold for years. But some stay to square off with Kahama and the police.

Mallim Kadau, the Miners' Committee chairman, quickly gathers several others and speeds back to Tabora, back to the High Court. They hope this time the ruling of the court will be respected by Tanzanian officials.

On August 2, Justice Mchome grants their request for an ex parte injunction—a temporary emergency ruling granted in the absence of one of the parties. Mchome rules that no evictions may occur until the parties can meet before him in court. "Democrasy (sic) Good Governance, the Rule of Law, and Respect for Human Rights require the executive wing not to interfere in matters that are still pending in court," he stated in the ruling. "Natural justice requires that even a poor peasant at least be consulted before a decision affecting his life is made."

Amnesty International holds that the ruling is a legitimate "temporary relief." In a memo Amnesty sent to the government of Tanzania in 1998 on the subject of the evictions, AI declared "the whole point of an ex parte injunction is to restrain an action likely to happen before the court has a chance to judge on the merits of the case after listening to both sides."

Overjoyed at the ruling, up to 3,000 miners triumphantly return to the mines. Spontaneous celebrations, dancing and singing break out, with colourful flags and banners hoisted into the air.

Once again, the Tanzanian courts have sided with the miners. But once again, the ruling will be defied.

Major General Kiwelu is served with the injunction. When asked why he isn't obeying it, a witness later says he responded, "I am not an employee of the court, and so do not have to follow the court's orders."

Why the court was ignored, and at whose instructions, remain central questions in this case.


The Kahama memorandum

In the face of the court's ruling, the evictions continue. The Kahama bulldozer is sent in on August 7 to prevent miners from returning by filling the mining shafts (also called pits). The High Commission and Barrick later maintained the process was entirely peaceful. Reports in the Tanzanian press, however, describe mass confusion, looting, robbery and bloodshed as people rushed to collect their few possessions and flee the police.

A Kahama memorandum to top Sutton board members dated August 12, 1996 documents the eviction process from Kahama Mining's point of view.

"We hired one miner as an 'Inspector' to check each active shaft to make sure that there were no miners left in them."

Kulwa John was paid the equivalent of $4 US in Tanzanian shillings to inspect five shafts on August 7, according to a receipt in Barrick's files. This was the day of many of the alleged burials.

How many pits were filled in on each day is not apparent from the Kahama memo.

"There were a number of active pits which the miners were slow to get out of," says the Kahama memo. "[The miners] also started telling us there were men in other shafts when there were not."

The memo indicates two more inspectors were hired on August 8 and they "started checking each pit ahead of the D6 [Bulldozer]." It also notes, "Neither the police or Paul Mwajombe, the Madini [Ministry of Mines] rep, were going to go down."

In addition to filling the shafts, the bulldozer was "to start reducing [the market] Dabora #3 to kindling." By August 9 they had "demolished Dabora #3 so the miners had no place to hide."

The memo describes how General Kiwelu "wanted us to go faster" and work into the night, but Kahama management refused for safety reasons and instead attempted to rent another bulldozer to speed the process. On August 10, Kiwelu "advised the RPC that he had another week to finish the job."

The whole of Bulyanhulu contained approximately 500 shafts or pits.

By August 12 they moved on to the area around Dabora #2 (a market), noting, "We are concentrating on filling only active pits on [one of the mining areas named] Reef 2, and destroying local shacks in Dabora #2 while waiting for the pits to be declared clear.

"The Chairman for the CCM party, Bugarama Ward, came to us on Friday to object to our burying people.

"We took him to Reef No. 1 where he had the opportunity to talk to the Regional Police Commissioner, the Madini Rep and our inspectors and to observe for himself." The Chairman reported to the CCM party that no burials took place.

* * *

The Tanzanian media reported confusion and incidents of violence during the mass evictions.

"The Regional Commissioner's [Kiwelu's] harsh statements triggered fear, panic and despair among the miners," Shinyanga Region Miners' Association spokesperson Zephania Luzama told Tanzania's Guardian newspaper. "It was interfering with the independence and integrity of the judiciary, and the notice was so short that the packing was unlikely to be smoothly accomplished."

On August 7, Canada's diplomats transmitted the news of the evictions to Ottawa. "The news on Bulyanhulu is all good. The 10-20,000 illegal miners are gone from the property."

A number of sources, including the Tanzanian media, report that the police at the site were taking bribes in gold from the miners, who wished to continue mining. Kahama's August 12 memo on the shaft-filling process says that "the RPC says he trusts his officers, but we have seen very strong evidence that the rank and file have colluded with the miners." The assistant commissioner of mines, S. Mohamed, agreed.

The Tanzanian Guardian suggests that the way in which the evictions were carried out led to panic. "A survey made by the Guardian at the Bulyanhulu mines showed that the atmosphere fuelled disorder…The eviction 'fever' was accompanied by widespread acts of banditry. Six robbers trying to invade a house in Kakola village were caught by villagers and burned to death." Barrick acknowledges some robbers were burned to death, but disputes that the evictions triggered the violence and looting.

The police were also called to the scene to investigate. A videotape created by Kahama employee O.C. Lopa and obtained by Tundu Lissu documents their investigations.

In one portion of the video, villagers who claim their friends were buried point to mines that have been levelled by bulldozers. They point out decaying body parts around the area, and implore the officers to investigate. The officers look, take notes, and move on. They make no move to dig into the mines to see if there are bodies, though some miners are shown attempting to do so on their own.

The official police report says, "Finally, the exercise of unearthing the shafts is a costly exercise since the pits are over to (sic) metres in depth and it is estimated that 500,000 [Tanzanian shillings] would be required to unearth a filled pit/shaft and which will involve an entire day's work. Also, the operation of unearthing the shafts may prove to be ineffective."

The United Democratic Party travelled to Bulyanhulu shortly after the allegations surfaced. They found many people willing to testify.

UDP leader John Cheyo arrived with the Commission of Inquiry on December 17, 1996. One of the miners told Cheyo, "Using a KMC [Kahama] bulldozer, our government destroyed 4 wards, which had between them 6,400 homesteads; and filled in and flattened some 500 gold mine pits, burying more than 52 miners who were working underground."

The aftermath

You will not find small-scale miners at the Bulyanhulu gold mine today. But you will find a massive commercial mining operation set to pull in major rewards for Kahama, Barrick and international investors.

Barrick's potential life of mine gross revenue at Bulyanhulu could be as high as $3 billion, given the current price of gold. With total proven reserves of 10 million ounces, with a cash cost each ounce of $130 to $166 US according to Barrick's 2000 report, but higher according to information subsequently supplied by Barrick, the potential profits are indeed rich. Barrick has also made hundreds of millions US worth of capital and infrastructure investments in the area.

Evictions from Bulyanhulu opened the door to ample opportunities for other Canadian mining companies. In a December 10 1996 report to DFAIT, after the eviction of the small-scale miners, the Canadian High Commissioner wrote: "…in most cases there is a will on the part of the Tanzanian government to facilitate solutions [to the problems of foreign mining companies with peasant miners] regardless of legal or resource constraints. The new mining legislation should deal with current problems" (emphasis ours).

Despite Mchome's ruling that even simple peasants need to be compensated, no provision was ever made for the resettlement of the indigenous people. In a June 21, 1995 meeting with the Tanzanian Prime Minister, the Canadian High Commissioner did indicate miners could be relocated using funds from the Canadian International Development Agency (CIDA). But CIDA never had a project or provided funds in Tanzania in the region mentioned, according CIDA spokesperson Domenique Hetu.

To date, the Tanzanian government has compensated only 56 of the miners.

Even Kahama Mining stated in its own report to the World Bank's Multilateral Investment Guarantee Agency that "…after the cessation of artisanal mining in Bulyanhulu in August 1996, the income of the majority of people declined significantly…"

The IMF, which suspended funding in 1994, returned it in 1996 and has been loaning hundreds of millions US to the country every year since then.

Mining Watch Canada's Joan Kuyek said what is most striking is that tens if not hundreds of thousands of peasants were displaced "to make way for a Canadian mining company to use up the gold resource within 20 years, to hire no more than 600 Tanzanians, and to return to the government of Tanzania a pittance compared to what they were making from small-scale mining."

Barrick clarified that the Bulyanhulu gold mine employs around 1,000 people and has created more than 7,500 "indirect jobs," and that more workers were also employed during mine construction.

For its part, the Canadian government believes the case is closed. Based on their understanding of the situation and their policy, "we do not seek to come up with any further action at this point," said DFAIT spokesperson André Lemay.

"We're not saying that we're not going to change our position. We're just simply saying that if further information is brought to our attention, we will consider that information, see whether or not we must or should in fact modify our approach. If that is the case, then we will take the appropriate action at that point."

* * *

Barrick does not apologize for the evictions. When asked where the small-scale miners were supposed to go, Barrick's legal counsel Kent Thomson replied, "Bearing in mind that you've got a highly migrant population, and bearing in mind that this site is surrounded by a number of other sites, including the Bulyanhulu South site, operated by Ashanti Goldfields and not Sutton Resources, who exactly was deprived of their livelihoods?

"If you've got a highly transient, highly migrant population which is able to walk onto a site which is one kilometre south of Bulyanhulu, and they are able to do so shortly after the government's removal order, why do you say they were deprived of their livelihood?"

Barrick representatives preferred to focus on August 7 and 8, for which the company has documented the process of filling in the shafts and the peaceful departure of the locals.

"We've got photographs, we've got videotape, we've got any number of contemporaneous documents dated on the very day this is happening, not two weeks after the fact, not four years after the fact, and not six years after the fact, as some of these witness statements now are. What they indicate beyond a doubt is that the way people left this site was in a peaceful, systematic fashion. There is just not one shred of contemporaneous evidence of people being beaten up or forced physically off the site."

Barrick states that prior to any shaft-filling, every shaft was inspected while the police and Ministry of Mines supervised the process.

"If someone is found inside, that person is brought to the surface immediately. The person is taken to the police officer, who photographs the person. The person is documented and the person is then told to leave the area. When they verified that the shaft was empty, and only when they verified that the shaft was empty, they would take the bulldozer and fill the shaft in."

In short, Barrick contends that the reports of burials were concocted after the fact by the Miners' Committee, specifically by Mallim Kadau, the committee chairman. Barrick's position is that those like Tundu Lissu who have put these claims forward are motivated by political opportunism. Lissu ran as an opposition candidate in the 1996 parliamentary elections. He had no connection to Bulyanhulu at the time. Furthermore, both Barrick and the Canadian High Commission accuse the Miners' Committee of attempting to extort money both from the small-scale miners and from Kahama.

Certainly there must have been many disputes over such a valuable resource as a gold mine, even within the miners' community. Mine workers appear to have had less representation on the committee, but the committee also used some funds to build a local school and fund a soccer team.

Impartiality

Since August 1996, numerous investigations have taken place. The World Bank, the Tanzanian police, Barrick Gold, the United Democratic Party of Tanzania, the Lawyers' Environmental Action Team (LEAT) and others have probed the mystery of Bulyanhulu. They have all come up with different results, emphasizing various pieces of evidence to refute or support the claims of burials and chaotic evictions.

The contradiction between the competing claims seems sufficient to warrant an independent investigation. United Nations Principles on the Effective Prevention and Investigation of Extra-Legal, Arbitrary or Summary Executions state that an independent commission of inquiry should be established when there are complaints about existing investigations or when there are questions of impartiality.

All of the parties that have conducted investigations have a financial or political interest in the outcome. On this point, the UN rules are clear, stating: "Members of such a commission shall be chosen for their recognised impartiality, competence and independence as individuals. In particular, they shall be independent of any institution, agency or person that may be the subject of the inquiry."

* * *

It seems clear that the Tanzanian government is not interested in a new investigation into the matter. In January 1997, the newly elected president of Tanzania, Benjamin Mkapa, stated that "those who are spreading the rumours should be dealt with according to the law," reported the Tanzanian newspaper Majira. On November 23, 2001 LEAT president Rugemeleza Nshala and the National Chairman of the Tanzanian Labour Party, Augustine Mrema, were taken from their homes and threatened with charges of sedition. Tundu Lissu, who was out of the country at the time, had his house searched by police and a warrant issued for his arrest.

Researchers continue to face intimidation. In late March, 2002, an international team of journalists, lawyers and researchers attempted to visit Bulyanhulu and were barred from doing so by armed police. The group included one of the authors of this story.

Barrick says LEAT and other NGOs have a political agenda on the side of the anti-globalization movement.

But a growing number of organizations are calling for an independent inquiry, including Amnesty International, the Council of Canadians, Mining Watch Canada, the New Democratic Party, Friends of the Earth, the Center for International and Environmental Law, and Rights and Democracy.

John Cheyo, leader of the United Democratic Party of Tanzania, whose party commissioned the only investigation that comes close to matching UN principles, is still calling for an independent commission of inquiry, and stands by the findings of the report submitted on January 19, 1997.

The world cannot account for the whereabouts of the people named as missing in the UDP report and by Tundu Lissu. To their families, their loss is incalculable, and they are only part of the human cost of the Bulyanhulu affair. The nameless tens of thousands who were evicted from Bulyanhulu are currently scattered across the United Republic of Tanzania, all but 56 still without compensation.

The feelings of the UDP and many peasants are summed up in a heartfelt plea in their report:

"We know the Canadian people. The sons and daughters of Canada are peace loving people. They are committed advocates of human rights. Their boys and girls are now engaged in the protection of human rights and the protection of people's lives against destruction out there in Zaire (Congo) and Burundi…I cannot therefore believe that the Canadian people can bless the actions and atrocities committed to the poor Sukuma peasants…all over Shinyanga the orphaned and the widowed are weeping in bereavement, but they receive no comfort because none is forthcoming."


Tanzania Facts

POPULATION AND LANGUAGE

While Swahili and English are the official languages, the people of Tanzania speak various dialects according to their location and background.

While most of the population of Tanzania lives in the countryside, 3 million live in Dar Es Salaam, which is also home to most government offices, although the official capital is Dodoma.

SOCIAL AND POLITICAL CONDITIONS

Tanzania is the fourth-poorest country on earth. Access to medicine is limited and more than 40 per cent of the population is classified as malnourished.

Fifty-one per cent of the population lives on less than $1 US per day. Accessing fresh water often requires a half-hour trek. Most schools lack basics like books, desks, teachers and classrooms.

Despite the adoption of a constitutional parliamentary system in 1961, Tanzania operated on a one-party state as of 1977. From that time until 1992, all parties except Chama Cha Mapinduzi (CCM) were outlawed. Currently, numerous political parties exist, but none challenge the power and influence of the CCM.

ECONOMIC CONDITIONS

Tanzania is heavily dependent on foriegn aid. In 1986, the International Monetary Fund (IMF) negotiated a Structural Adjustment Fund, in 1990, followed by the Economic and Social Action Program (ESAP). Since then, Tanzania has been subjected to privatization, the elimination of many import restrictions and the "liberalization" of the banking sector and foreign exchange markets.

Due to apparent slow implementation of policy reforms, including lack of progress in liberalizing the gold sector and inadequate mobilization of domestic resources, IMF credit was withheld in January 1994. The funding only returned in 1996.

Today, Tanzania's total external debt is $6.4 billion US. It spends 40 per cent of its GDP on interest payments on external debt.

TANZANIA AND GOLD

Africa hosts approximately 40 per cent of the world's gold reserves. There are more than 100 gold exploration corporations presently operating in Tanzania. Since 1994 the government has granted more than 1,000 prospecting licenses to foreign exploration companies.

The area around Lake Victoria is home to numerous gold fields, including Bulyanhulu and several other fields owned by Canadian companies. In May of 2002, several miners were burried alive in a goldfield near Bulyanhulu, operated by a South African gold company.

As early as 1976, peasant or "artisanal" miners were digging rudimentary shafts and pits in Bulyanhulu to mine gold.

There are at least 10 million ounces of gold on the Bulyanhulu claim. According to Barrick's recent statements to the media, the cost of extracting that gold is $130 US per ounce. With current prices of $300 per ounce, that means the profit on the mine could be more than $1 billion.

What was the Canadian government’s role?

Based on my knowledge of the way this department works, we are not the CIA, we are not other governments, we are Canada, and we have our own way of doing things and we've always resolved, and continue to do so, according to the Canadian way."

—André Lemay, Department of Foreign Affairs and International Trade (DFAIT).


Pierre Trudeau pioneered the phrase, and the style of diplomacy it was supposed to represent. To do things the Canadian way meant to promote trade and human rights at the same time; peace through economic growth, economic growth through peace.

But documents on the Bulyanhulu matter have surfaced which have many asking if the Canadian way is policy or just public relations. Can trade and human rights go hand in hand?

The Canadian government was clearly concerned about both. Although heavily censored, declassified correspondence of the Canadian High Commissioner in Tanzania obtained under Access to Information legislation shows Canada's deep involvement in the Bulyanhulu file.

On one hand, numerous memos show the Canadian High Commissioner working to "underline her preference for a peaceful solution." She works to ensure the evictions proceed as smoothly as possible, and later informs DFAIT that "the news on Bulyanhulu is all good." The miners are gone and "the government showed courage and as a result there was no violence."

As she works towards a careful solution at Bulyanhulu, she is also working hard to promote the Canadian company which has mining rights to the area. In one memo to the president of Tanzania, she notes the "Vancouver, Calgary and Toronto stock exchanges have become the leading sources of exploration capital in the resource sector…. It will be important, therefore, that outstanding problems relating to title and to illegal activities be quickly removed."

"Illegal activities" refers to the day-to-day activities of the local residents, small-scale peasant miners, numbering in the tens of thousands, who had been working at the gold mines since they discovered the gold in 1976.

She continues to promote trade shortly after the miners were evicted, passing a recommendation to "buy Sutton stock now" on the advice of a London investment house to a Tanzanian official (whose name the censor has deleted).

Lemay speculated on why the Canadian High Commission would give a stock tip. "Our key people in our missions are in a position to say, 'Yes, we want as many people to register in the Canadian stock markets as possible,' as any stock market world-wide would want to do…What we're trying to get, is we're trying to get as many clients as possible."

But others think the desire to "get as many clients as possible" is blinding the government to more fundamental issues.

"The allegations of the deaths somewhat are the most sensational part of the story, but they're not the most disturbing, quite frankly," says Joan Kuyek of Mining Watch Canada. "The most disturbing is that these people would be just thrown out of this area with no regard to what was going to happen to them."

And although he believes that "usually both partners gain from trade," Lemay had to pause when asked what Tanzanian miners have gained from a Canadian company's influence in the area.

"If they have, I don't know," he said. "The company says they have."

Barrick says the mine employs 1,000 people and has created more than 7,500 indirect jobs.

But Kuyek believes this does not compare to the tens of thousands who were employed in small-scale mining, saying that the government also got higher returns through small-scale mining than through foreign ownership.

Whatever the case, one would suspect that, given the Canadian Way, an independent inquiry into alleged deaths would be supported by the Canadian government. But since the evictions, the government has looked upon the prospect of an independent inquiry with disdain. "We are keeping an eye on the public relations aspects," the High Commissioner says in a note to thank Sutton for the thank you note they had sent her. "I am confident the Tanzanian Government will be able to deal with the efforts of the illegal miners to rewrite history."

That confidence would not be misplaced. During the fall of 1996, when the High Commissioner wrote that note, she was also sending complaints to Ottawa about John Cheyo, the leader of the opposition United Democratic Party of Tanzania. Cheyo had taken up the cause of the Bulyanhulu miners and called for an independent investigation in stump speeches during a parliamentary by-election he was contesting. The UDP formed an 18-member commission of inquiry into the August events in the fall of 1996, including three UDP members of the Tanzanian parliament.

But six years later, the controversy continues to simmer. Just last week, Mark Bomani, former Tanzanian attorney general and close associate of Nelson Mandela, added his name to the already long list of those who believe the miners are not trying to rewrite history; that, in fact, history has not yet been written, nor can it be until an independent investigation has occurred.

Below are the names of people who cannot be accounted for:

Kidawa Sosoma Sita Daudi Misuko Ntemi Nyanda Turo Masanja* Abdu Mussa Juma Shabani Juma Saidi Hamisi Saidi Mazuli Clement Masali Juman Lushesheta George Lutobeka Paul Lubinza Isanga Simba Ramadhani Mrisho Samuel Paul Leonard George Kulwa Issa Samwel John Paul Mchafu Ibrahim Taslima Hamdani Taslima Jonathan Lwekamwa Ernest Lwekamwa Tigufundurwa Butondo Martin Jambi Kulwa Masanja Maganga Juma Rashidi Masanja Hamisi Masudi Saidi Mahambuya Mazuri Athumani Hamisi Raphael Masonga
 
Baadaye Cheyo alikuja kupewa hisani akaachana na hoja yake. Alipoulizwa akawa anajibu, sisi tumefanya uchunguzi, wengine waendelee
 
Zitto sasa kama 'upupu' CHADEMA

Habari Zinazoshabihiana
• Hiza, Akwilombe watumika kummaliza Zitto 27.09.2007 [Soma]
• Polisi yachunguza kauli za Mbowe, Kabwe 07.09.2007 [Soma]
• CHADEMA wafadhaishwa na sakata la Kabwe, Amina 11.05.2007 [Soma]

*Kamati Kuu yatabiriwa 'kutofua nazi' Jumamosi
*Akigawa chama katika makundi na aitwa 'fisadi'


Na Mwandishi Wetu

KAMATI Kuu ya CHADEMA ambayo inatarajiwa kukutana Jumamosi ijayo kujadili pamoja na mambo mengine ushiriki wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Bw. Zitto Kabwe, katika Kamati ya Kuangalia Upya Mikataba ya Madini nchini, inaweza isibadili msimamo wa Mbunge huyo, imebainika.

Hatua hiyo inatokana na mbunge huyo kusimamia upande wa kutetea maslahi ya Taifa na si yake binafsi, hali ambayo imesababisha mtafaruku ndani ya chama chake na kuzaa kambi mbili, moja ikitetea msimamo wake na nyingine ikiupinga.

Habari zilizopatikana ndani ya chama hicho jana, zilisema wakati muasisi wa chama hicho, Bw. Edwin Mtei, akimtetea Bw. Zitto kuendelea kushiriki ndani ya Kamati hiyo, Mbunge wa Tarime, Bw. Chacha Wangwe, anaonekana kukereka.

"Kibaya zaidi hata kama mlivyoona jana kwenye magazeti sasa Wangwe anahisi kuwa Bw. Zitto amepewa 'kitu kidogo' na CCM ili akubali kuwa ndani ya Kamati hiyo...kosa ni nini kama ndicho tulikuwa tukikipigia kelele hata bungeni?," alihoji Bw. Mathayo Lazaro aliyejitambulisha kuwa mwanachama wa CHADEMA.

Alisema yatakuwa ni maajabu kwa Bw. Zitto kujitoa katika Kamati hiyo wakati ndiye aliyewasilisha hoja binafsi kuhusiana na mikataba ya madini na kuibua suala la Buzwagi.

Ndani ya CHADEMA tayari kuna hisia kuwa CCM ina mpango wa kukisambaratisha chama hicho na ndiyo sababu Mwenyekiti wake, Rais Jakaya Kikwete, akamwingiza Bw. Zitto katika Kamati hiyo na yeye kukubali na kumpongeza Rais.

Hatua hiyo ilisababisha hasira miongoni mwa viongozi na wanachama wa CHADEMA ambao walieleza kushangazwa kwao na Bw. Zitto kumsifia na kumpongeza kiongozi wa chama tawala.

Akisisitiza msimamo wake wa kutaka kuona Bw. Zitto akiendelea kubaki ndani ya Kamati hiyo, Bw. Mtei alikaririwa akisema hiyo ni fursa nzuri kwa chama chake kufikisha maoni na msimamo wake serikalini.

Watu wa karibu na Bw. Zitto wanaofahamu msimamo wake, walisema Kamati Kuu ya CHADEMA katika kikao chake cha Jumamosi isipokuwa makini itakuwa imemegua jiwe moja muhimu katika msingi wake.

"Inaonekana Zitto hawamwelewi vizuri ni mtu mwenye msimamo na mbishi constructively (enye manufaa), hawezi kusimamia katika ubishi wa kijinufaisha binafsi, ingawa anaweza kutumiwa na wengine kujinufaisha,wasipomwelewa kama anavyoamini yeye watamkosa," alisema mwana CHADEMA mwandamizi ambaye hakutaka atajwe gazetini.

"Tayari tunaona hivi sasa anahusishwa na ufisadi, huyu ni yule ambaye baada ya kusimamishwa kazi bungeni, alipitishwa mikoani kama Mwenge wa Uhuru...leo anapewa nafasi nzuri ya kulitetea Taifa, anaanza kusakamwa eti kanunuliwa, mbona hatutaeleweka wana CHADEMA?," alihoji mwanachama huyo.

Baadhi ya wachunguzi wa masuala ya kisiasa wanasema ingekuwa bora kama CHADEMA ingelichukulia suala hili kwa umakini mzuri kwani kumbadilisha Bw. Zitto kunaweza kusababisha mgawanyiko mkubwa na hata chama hicho kumeguka.

"Mambo ya siasa huanza hivi hivi, huwezi kujua, mbunge huyu machachari wa CHADEMA anaangalia wapi na ana hisia zipi ndani ya chama chake, alikuwapo Dkt. Walid Kabourou, akiwa na wafuasi wengi tena Kigoma, yuko wapi sasa? Na huyu ni wa huko huko!

"Tumesikia, wazee wa Kigoma wao wanataka aendelee kubaki ndani ya Kamati, sasa hicho kikao cha Jumamosi kitasaidia nini? Kama si cha kubadili msimamo wa Bw. Zitto, sawa kifanyike, lakini kama ni kinyume chake, hatudhani kama Zitto atakubali kuwa kinyonga kwa hili," alisema Bw. Elibariki Ulotu, aliyejitambulisha kuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania.

Wakati huo huo, Reuben Kagaruki, anaripoti kwamba
Mwenyekiti wa TLP, Bw. Augustino Mrema, amesema hatua ya Rais Kikwete kumteua Bw. Zitto kwenye Kamati huyo kunalenga kuwagombanisha katika umoja wao.

"Kamati aliyounda Rais Kikwete ni ya 'magrini' itatufanya tugombane na kutugawa bure."

Bw. Mrema alitoa kauli hiyo jana alipozungumza na gazeti hili kwa simu alipoombwa atoe maoni yake kuhusiana na hatua ya Rais Kikwete kumteua mbunge huyo kuwa katika Kamati hiyo.

Bw. Mrema alisema hawezi kumzungumzia, lakini anajua wazi kuwa Kamati hiyo haiwezi kufanya chochote.

Alisema yeye aliwahi kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Ndani hivyo anafahamu mambo mengi.

"Tulipopata misukosuko tulikuwa tunatafuta mbinu za kuzima moto kwa lengo la kuwapoza wananchi, ili jambo lisogezwe mbele," alidai Bw. Mrema.

Alisema mbinu hiyo ndiyo anayotumia Rais Kikwete kumteua Bw.Zitto katika katika Kamati hiyo. Alitolea mfano Tume nyingi zilizoundwa baada ya Serikali kupata misukosuso lakini baada ya mambo kupoa, hakuna hatua zilizochukuliwa.

Alitaja baadhi ya tume hizo kuwa ni pamoja na ya Jaji Nyalali,ya Jaji Warioba na ya Jaji Kisanga. Alisema mbali na tume hizo, zipo tano zilizoundwa kwa ajili ya kushughulia mambo ya madini, lakini hadi sasa hakuna hatua zilizochukuliwa.

Alisema kamati hiyo haiwezi kubadili chochote kwenye mikataba ya madini kwani mingi iliyosainiwa ni ya muda mrefu. "Mikataba ambayo Serikali imesaini ni ya miaka mingi hatuwezi kuibadili kwa sasa, labda Yesu arudi," alisema Bw. Mrema.

Alisema endapo Rais Kikwete atachukua hatua ya kuvunja mikataba iliyosainiwa, wahusika wanaweza kushitaki kwenye Mahakama ya Kimataifa na kuifanya Tanzania ikumbwe na yale yanayotokea Zimbabwe.

Bw. Mrema alisema kama Rais Kikwete anataka kutunga sheria ya mikataba ya madini hilo ni jambo rahisi. "Ni kiasi cha kuweka sheria kuwa mwekezaji akija atapata asilimia 49 na sisi (Watanzania) tutapata 51 ya mapato hakuna haja ya kuunda kamati," alisema Bw. Mrema na kuongeza kuwa kuunda kamati za aina hiyo, ni sawa na kuwachezea Watanzania.
 
Bw. Mrema alisema kama Rais Kikwete anataka kutunga sheria ya mikataba ya madini hilo ni jambo rahisi. "Ni kiasi cha kuweka sheria kuwa mwekezaji akija atapata asilimia 49 na sisi (Watanzania) tutapata 51 ya mapato hakuna haja ya kuunda kamati,"

Sasa naona hata wanasiasa wakongwe wanaanza kuongea Upupu mtupu!..Naanza kuamini kuwa kuna jicho baya la watu ktk uteuzi wa Zitto kwani hakuna anayetoa sababu za maana kuhusiana na uteuzi huo.
Eti - rais anaweza kusema toka leo mwekeshaji atapata asilimia 49, bila kuwepo na umuhimu wa kamati - Damn!
Hii nchi imekuwa ya Kisultan ama? maanake hawa ndio viongozi wetu hawa.
 
TAARIFA KWA UMMA

Maoni yangu Binafsi kuhusu Kamati ya Madini
iliyoteuliwa na Rais Kikwete

• Napinga Muundo, Mfumo na Mamlaka ya Kamati; nahoji
dhamira ya Rais Kikwete
• Sijawahi kupinga, sipingi na sitapinga Zitto Kabwe
kuteuliwa kwenye Kamati
• Zitto aingie kwenye Kamati kuendelea kuhoji na
kutuwakilisha
• Kupinga Kamati si maslahi binafsi, ni maslahi ya
Taifa- kupinga kwa nia ya kitaifa ni uzalendo.
• Gazeti la Mtanzania na Rai nipeni haki ya
kunisikiliza; chukueni maoni yangu toka kwangu
mwenyewe kuondoa kupotosha na kunichafulia jina.


Toka Rais Kikwete aunde Kamati ya Madini Novemba 13 na
kumteua Zitto Kabwe kama mmoja wa wajumbe, sijawahi
kujitokeza hadharani kutoa maoni yangu kuhusu suala
hilo hata nilipotakiwa kufanya hivyo na vyombo kadhaa
vya habari. Nilikwepa kutoa maoni yangu kutokana na
sababu mbili: Mosi, tayari nilishatoa maoni yangu
kuhusu kamati hii ya Rais toka Novemba 4 mara baada ya
Kauli ya Rais katika mkutano mkuu wa CCM. Pili; Mara
baada ya Novemba 14 Viongozi mbalimbali wa CHADEMA
walikuwa wametoa maoni yao kuhusu suala hili na kwa
kiasi wengine maoni yalitofautiana na baadhi ya vyombo
vya habari vikatafsiri kuwa ni mgogoro- hivyo sikutaka
kuongeza jina langu katika orodha ya watoa maoni
kuepusha kuendeleza hisia za kwamba
tunamgogoro-nilinyamaza kimya na kuyawasilisha maoni
yangu katika vikao vya chama chetu. Hata Novemba 17
ambapo Kurugenzi ya Vijana tuliandaa Kongamano la
Wasomi ambapo suala la Kamati hii pia lilijadiliwa,
sikutoa maoni yangu yoyote kuhusu hii kamati kwa
sababu ambazo nimezieleza.

Hata hivyo, nalazimika kwa shingo upande kuyatoa maoni
yangu kwa umma. Sababu mbili zimenisukuma nitoe kauli
yangu leo. Mosi, habari za gazeti la Mtanzania ambalo
katika matoleo kadhaa ya wiki hii limekuwa likinitaja
na mara moja ukurasa wa mbele kwamba napinga Zitto
Kabwe kuwepo kwenye Kamati(gazeti limewasilisha kwa
niaba yangu kitu ambacho sijakisema) na Gazeti la Rai
toleo la Jana(22/11/2007) ambalo si tu limerudia maoni
ya gazeti lake dada kwa niaba yangu- bali pia
limenihukumu natunguliza mbele maslahi yangu binafsi
badala ya maslahi ya Taifa. Katika hali hii ya
kutolewa maoni kwa wiki nzima, nikinyamaza wasomaji na
watanzania wenzangu wanaweza kudhani kwamba hayo ndiyo
maoni yangu. Nimeamua nitoe taarifa hii kutoa wazi
maoni yangu. Pili; kikao cha Kamati kuu ya CHADEMA
kinakaa kesho Jumamosi 24/11/2007- kwa vyovyote vile,
katika kikao hicho chama kitatoka na msimamo mmoja wa
chama baada ya kupokea maoni mbalimbali, hivyo baada
ya kikao hicho mimi kama kiongozi zitaweza tena kuwa
na fursa ya kuwasilisha maoni yangu binafsi kuhusu
suala hili. Nitawasilisha msimamo wa chama kama sehemu
ya uwajibikaji wa pamoja hivyo sitapata wasaa tena wa
kukanusha na kutoa maoni yangu binafsi tofauti na yale
yaliyoandikwa na magazeti ya Mtanzania na Rai. Napaswa
kusema sasa, ama ninyamaze milele.


Novemba 4, 2007 nilitoa msimamo wangu pale tu Rais
alipotangaza kuunda kamati hii- kwa ujumla katika
msimamo huo nilihoji dhamira ya Rais kuunda kamati
mpya wakati ya Masha aliyoiunda pindi alipoingia
madarakani na ikatangazwa kuwa imempatia ripoti yake
Septemba 2006 hatujaelezwa ilibaini nini na imeshindwa
kubaini nini ili iwe sababu ya kuundwa kwa kamati
nyingine. Pia nilisema wazi kwamba wapinzani hawapaswi
kunyamaza kwa kuwa tu watahusishwa kwenye kamati,
wapinzani wanapaswa kuendelea kutetea maslahi ya taifa
popote walipo na umma wa watanzania unapaswa kuendelea
na mjadala kuhusu madini na rasilimali zingine za
taifa. Na kwa ujumla nilieleza kwamba katika mazingira
hayo suala sio kuundwa kwa kamati, suala ni kutekeleza
matokeo ya kamati, na suala hili linahitaji kitu
kimoja tu- Dhamira ya kisiasa ya kuchukua hatua. Huu
ni msimamo wangu ambao sikuhitaji tena kuutolea maoni
baada ya Rais kuunda kamati mpya Novemba 13, 2007.

Mara baada ya Rais kuunda Kamati ya Madini na kumteua
Zitto Kabwe Novemba 13, (narudia tena)- sijawahi kutoa
msimamo wangu kwa chombo chochote cha habari.Kwa
waraka huu; nawasilisha rasmi maoni yangu kwa umma
kuhusu Rais kuunda Kamati ya madini:

Napinga Muundo, Mfumo na Mamlaka ya Kamati na nahoji
dhamira ya Rais Kikwete katika kuunda kamati yenye
muundo, mfumo na mamlaka kama kamati hii chini ya
Mwenyekiti Jaji Msaafu Mark Bomani. Baadhi ya masuala
ya kujiuliza yaliyopelekea niwe na maoni haya
nimeyadokeza kwenye ujumbe wangu niliowapatia baadhi
ya wahariri Novemba 19 mwaka 2007. Sijawahi kupinga,
sipingi na sitapinga Zitto Kabwe kuteuliwa kwenye
Kamati. Zitto aingie kwenye Kamati kuendelea kuhoji na
kutuwakilisha. Kupinga Kamati si maslahi binafsi, ni
maslahi ya Taifa- kupinga kwa nia ya kitaifa ni
uzalendo. Gazeti la Mtanzania na Rai nipeni haki ya
kunisikiliza; chukueni maoni yangu toka kwangu kuondoa
kupotosha na kunichafulia jina.

Kwa maoni yangu: Muundo wa Kamati unazua mjadala- Rais
aliahidi kwenye mkutano Mkuu wa CCM kwamba angeunda
kamati itakayoshirikisha jamii kwa upana zaidi ikiwemo
asasi za kiraia-lakini kamati iliyoundwa imejaa
watendaji wa serikali na makada wa chama tawala huku
asasi za kiraia zikiwa hazina mwakilishi hata mmoja
tofauti na ahadi ya Rais. Katika hotuba yake Rais
alizungumzia uwakilishi-lakini katika uteuzi wake Rais
amefanya uteuzi wa watu binafsi ingawa wanatoka katika
taasisi mbalimbali ikiwemo vyama vya upinzani. Katika
Lakini hili ni suala dogo. Kubwa zaidi katika muundo
wenyewe ni Rais kuwahusisha baadhi ya wajumbe wenye
tuhuma za ufisadi ambazo Rais alikuwa anazifahamu
kabisa toka wakati akiwa Waziri katika serikali na
wengine wanamgongano wa kimaslahi ambao uko bayana.
Kama aliwahujua watu hawa, nini dhamira ya kuwateua?
Je, hakuna watanzania wengine ikiwemo toka katika
chama chao ambao uadilifu wao hautiliwi mashaka ya
kiasi hicho?

Mfumo wa Kamati unazua mjadala-Hadidu rejea za kamati
zimetogezwa lakini katika hadidu rejea zilizotajwa
masuala ya haki za binadamu katika maeneo ya migodi na
ya uchafuzi wa mazingira hayajaguswa. Nini cha pekee
ambacho kamati hii itafanya ambacho Kamati ya Masha
iliyokamilisha kazi yake mwaka jana haijafanya? Imani
yangu ni kuwa suala hili litatazwa vyema- ripoti ya
Kamati ya Masha itawekwa wazi kwa umma, Kamati ya
Bomani itafanya kazi yake kwa uwazi na kuwa na vikao
vya masikilizano na umma(public hearings) na ripoti
yote itawekwa wazi kwa umma.

Mamlaka ya Kamati yanaibua mjadala- Uamuzi wa Rais
Kikwete kuunda Kamati badala ya Tume unanifanya nihoji
dhamira yake. Rais Kikwete anafahamu kabisa kuwa
Kamati haina mamlaka ya kutosha ya kuita mashahidi na
kuwataka kutoa ushahidi wa kiapo kama ambavyo Tume ya
Rais inavyo. Uamuzi wa kuunda Kamati unafanya dhamira
ihojiwe, je masuala ya madini ikiwemo sheria na
mikataba hayana masuala nyeti yanayohitaji mamlaka ya
Tume kuweza kuyafuatilia? Kwa vyovyote vile- kamati ya
Jaji Bomani pamoja na kuundwa na Rais kwa mujibu wa
sheria za nchi yetu haiwezi kuwa na mamlaka
makubwa(executive authority). Kama Rais Kikwete
aliweza kuunda tume kadhaa haraka katika kipindi
kifupi cha utawala wake, ni vipi suala hili ameacha
kuliundia tume na badala yake ameunda kamati? Suala la
Mamlaka ni nyeti kwa kuwa ikumbukwe kuwa suala
alilolitaka Zitto Kabwe bungeni ni kuundwa kwa Kamati
Teule ya Bunge ambayo ni wazi ingekuwa na mamlaka
yanayoshabihiana na yale ya Tume ya Rais.

Ukitafakari masuala hayo kiundani utaoana suala la
kujadiliwa si kuwepo au kutokuwepo kwa Zitto Kabwe
kwenye kamati- Hoja ni Kamati yenyewe na dhamira ya
Rais Kikwete katika kuiunda Kamati hiyo. Katika
muktadha huo basi; maoni yangu ni kuwa kama serikali
haitarekebisha kasoro hizo zilizopo kuhusiana na hiyo
kamati, Zitto Kabwe kama mmoja wa wajumbe bado
anapaswa kuendelea kushiriki ili kuwasilisha na
kuwakilisha fikra mbadala katika kamati hiyo. Zitto
akawe hamira ya kuumusha na kuchachusha hoja na
mchakato wa kamati ya Bomani. Na kuendelea kumjadili
Zitto Kabwe badala ya kuendelea kujadili masuala hayo
ni kukwepesha mjadala wa msingi.

Kwa maoni yangu, CHADEMA kama chama cha demokrasia na
maendeleo kimefanya uamuzi wa busara mpaka sasa
kuruhusu mjadala huu. Maoni tofauti baina ya baadhi ya
wanaCHADEMA yamewasaidi kuimulika kamati na kufahamu
undani wake- utamaduni huu wa kuhoji na kutoa fikra
mbadala ni muhimu kwa mustakabali wa taifa letu na
unapaswa kuendeleza. Imenisikitisha kwamba Gazeti la
Mtanzania na Rai wamemua wazi kusambaza ujumbe kwamba
kwa kuwa na maoni hayo mimi(na wamenitaja kwa jina)
kwamba natanguliza maslahi binafsi badala ya maslahi
ya Taifa. Na wamehusisha maoni yangu na kuchunguzana
nani atagombea urais 2010 kupitia CHADEMA mintaarafu
umaarufu wa Mbowe na Zitto. Kwa maoni yangu, huu ni
mkakati mwingine wa wakagawe uwatawale (divide and
rule); haya mambo ya Urais yanatoka wapi tena wakati
Zitto hata miaka 40 ya kugombea Urais atakuwa
hajafikisha wakati huo? Bahati njema, naamini viongozi
wa CHADEMA hawawezi kuchonganishwa na habari za
magazetini.

Kwa maoni yangu mimi, hoja zote zinatetea maslahi ya
taifa na ni za kizalendo. Wanaotaka kamati iwe na
muundo, mfumo mzuri na mamlaka zaidi wanatetea maslahi
ya taifa na ni wazelendo kama ambavyo wenye mtizamo
tofauti nao ni wazalendo. Ni kupitia fikra hizi
mbadala ndipo tunapata kilichobora zaidi na kukiendea
kama taifa. Hivyo, kama ambavyo itikadi ya CHADEMA
inaamini katika siasa zilizojuu ya vyama zinazosimamia
ziadi maslahi ya taifa. Hivyo hivyo, wanaopinga
muundo, mfumo na mamlaka ya kamati, hawafanyi hivyo
kwa manufaa ya kisiasa ya CHADEMA, wanataka CHADEMA
itumike kama chombo tu cha kutumika kusimamia fikra
hizi mbadala na matokeo yoyote mazuri ya fikra hizi
yatasimamia rasilimali za taifa na matokeo yale
yatanufaisha watanzania wote bila kujali itikadi.
Wazalendo hawakai kimya wanapoona jambo lolote katika
taifa lao linakwenda tofauti na hoja zao ama za
makundi ya kijamii ambayo wanayawakilisha. Maoni ya
pande zote ni mazuri kufanya watchdog function kwa
kamati; kwa mfano mijadala kama hii inaweza kupelekea
kamati kuacha kufanya kazi kwa kificho; kamati kufanya
kazi kwa undani zaidi na pengine hata kufanya matokeo
ya Kamati hii kutekelezwa kwa sababu ya ufuatuliaji wa
karibu wa wa vyombo vya habari na umma. Mambo haya ni
muhimu yakajadiliwa wakati kamati inaendelea kufanya
kazi kwa sababu kazi ya kamati miezi mitatu
inagharamiwa na walipa kodi watanzania; fedha hizi
zingeweza kutumika kujenga madarasa- hivyo kama kamati
haitafanya kazi kwa kadiri ya matakwa ya umma matokeo
yake ni hasara kwa taifa kwa ujumla bila kujali
itikadi. Ifahamike mjadala kuhusu ufisadi na hatma ya
rasilimali za Tanzania ni suala pana kuliko Kamati ya
Bomani. Nikumbushe kauli niliyoitoa mwaka 2005 wakati
wa uchaguzi- “Tanzania ni yetu sote; SIASA SIO UADUI”.

Naamini Kamati kuu ya kesho baada ya kupokea maoni
mbalimbali italipokea na kulitolea msimamo wa chama
suala hili na PAMOJA TUTAFIKA.

Nautoa waraka huu leo Ijumaa 23 Novemba mwaka 2007:


John Mnyika
Mkurugenzi wa Vijana Taifa(CHADEMA)
0754694553
mnyika@yahoo.com

PS: Natarajia Gazeti la Mtanzania la 24/11/2007 na
Gazeti la Rai la Wiki ijayo mtachapa maoni yangu kama
sehemu ya maadili ya vyombo vya habari ya kutoa fursa
kwa mhusika kutoa maoni yake kabla ya kuandika habari
inayomhusu. Naamini mtachapa ufafanuzi wangu kuhusu
suala hili.


Kwa maelezo zaidi na rejea(tazama viambatanisho):

Sehemu ndogo ya maoni yangu ya 4 Novemba 2007 Kama
yalivyonukuliwa Na Tanzania Daima 5 Novemba,
2007(maoni baada ya Mkutano Mkuu wa CCM)

Ujumbe kwa baadhi ya Wahariri nilioutoa 19 Novemba,
2007
 
Ndugu Mnyika,
Keep it up mkuu,at least umewakumbusha kile walichotakiwa kufanya.Haya magazeti ya propaganda siku hizi nayachukulia kama udaku.Rai na gazeti la mtanzania yameboa sana.Lakini huu ulikua ni mkakati katika vita haramu
 
Please read this before you proceed. You've been warned!

Admin nashukuru kwa prompt intervention yako.Inasikitisha sana mtu anajenga hoja yake halafu anaibuka mwingine anam-harass/discourage kwa grounds ambazo purely ni gender. Please admin. hawa watu wachukuliwe hatua haraka, hatuwezi kuvumilia zaidi kuona hawa dada zetu wanadhalilishwa kwenye forum inayoheshimika kama hii ya JF.
 
Haya malumbano tuliyategemea. Ndiyo tatizo la vyama vyetu vya upinzani, ndiyo maana havitaweza kukamata rungu. Zitto kuwepo kwenye kamati sioni kama ni tatizo, kwani alitafuta nafasi ya kuweka mambo bayana bungeni akabaniwa. Sasa huu ni wakati wake wa kufanya kweli halafu mnaanza kugawanyika. Kwa hiyo mlitaka aendelee kupiga porojo majukwaani bila kuwepo action?

Kama tulimwamini mpaka tukamtembeza mikoani kuelezea matatizo ya mikataba yetu, iweje leo hatumwamini kuwepo kwenye kamati? Mi nadhani tumpe nafasi afanye kazi, Zitto anajua nini cha kufanya tumpe sapoti tu. Kama kutatokea tatizo ndani ya kamati sidhani kama atakaa kimya bila kuweka bayana.

Tuache ushabiki wa kipuuzi ambao hauna maslahi kwa taifa letu.
 
Muoneni sasa kada alipo, yaani waaaay back before the firm, nilikuwa nao hawa jamaa, i was among the first online kada's uniting with the so called wapinzani, we used to get together discuss issues na wazee yaani way back, NIKAONA KUNA KILA HAJA YA KUWA MPINZANI, kama unabisha you do the history*reference jina:KadaMpinzani, baada ya kukosa utendaji wa haki, kuzidisha siasa kupita kiasi angalau nilijua ni POLITICAL LUGGAGE, now am watching wapinzani kuongea vyovyote wanavyoweza to get their day by,thats the reason why i like to celebrate being a CCM Kada so i can visualize the collages and images of my life nilipokuwa na wapinzani JF with no regrets of hate, NOW ITS HARD FOR THEM TO BREATHE kama wapo kwenye high altitude, no wonder everything i touch turns into CCM haooo yaani hate kupita kiasi wakati nilishasema sana tuweni pamoja, tuwafichue jamaa bila ya kujali vyama,WAKAKATAA NA KUSEMA SI UENDE MWENYEWE* now i rather walk on the sideways talking than kuwa na hawa jamaa.

Anyway weekend njema !
 
Back
Top Bottom