CHADEMA flip flopping at its best! Jisomee mwenyewe uone

Jambo la kusikitisha sana hapa ni kwamba kuna kamati kadhaa ambazo ziliundwa katika wakati mbali mbali ili kuchunguza swala la madini na mikataba yake.
Sasa tujiulize:
1.Kamati hizi zote lazima zimetowa repoti zao. Hizo repoti ziko wapi?
2. Lazima kamati hizi zimetowa mapendekezo.Hayo mapendekezo yako wapi?
Pengine wasaidizi wa rais J.Kikwete hawakumpa habari kamilifu kuhusu kamati hizo za awali ambazo zilifanya shunguli kama hizo amazo kamati hii ya sasa itazifanya.
Kwa nini tupoteze wakati wetu ambapo kazi tayari imekwisha fanywa na ni utekelezaji tu ndio ambao unazorota?

Mwanakijiji hebu tafuta repoti za kamati zote hizo nne/tano ambazo zilihusika na utafiti wa mikataba ya madini. Lazima kuna nakala katika Wizara na Ofisi ya MADINI huko Dodoma.

HAWA WANASIASA WANATUTIA SISI WATANZANIA KIINIMACHO KWA MANUFAA YAO WENYEWE.WENGI WAO WANAHUSIKA NA HIYO MIKATABA MIBOVU YA MADINI.
 
Mimi nina swali, huyu Lissu ana experience gani katika public services? Tatizo ndani ya CHADEMA ni kwamba most of viongozi wao hawana experience in public services. Hii inasababisha either kutoa maamuzi ya yasio na kichwa wala miguu.

I wish CHADEMA member mmoja angekuja akasema hawa kina Lissu na wenzie what have they done in Tanzania, apart from kuzungumzia mikataba ya madini. Kutokuwa na experience kuna hinder performance ndani ya CHADEMA and upinzani as whole.
 
Mimi nina swali, huyu Lissu ana experience gani katika public services? Tatizo ndani ya CHADEMA ni kwamba most of viongozi wao hawana experience in public services. Hii inasababisha either kutoa maamuzi ya yasio na kichwa wala miguu.

I wish CHADEMA member mmoja angekuja akasema hawa kina Lissu na wenzie what have they done in Tanzania, apart from kuzungumzia mikataba ya madini. Kutokuwa na experience kuna hinder performance ndani ya CHADEMA and upinzani as whole.

Kwa hiyo ndugu yangu wewe kwako experience ni kufanya kazi serikalini? Kama hujawahi kuwa waziri huna experience? Sasa kama ni hivyo wenye experience wote wapo CCM! Nafikiri unahitaji kupanua zaidi wigo wako wa kufikiri kuhusu maana ya experience.
 
Kwa hiyo ndugu yangu wewe kwako experience ni kufanya kazi serikalini? Kama hujawahi kuwa waziri huna experience? Sasa kama ni hivyo wenye experience wote wapo CCM! Nafikiri unahitaji kupanua zaidi wigo wako wa kufikiri kuhusu maana ya experience.

Ninaposema kuwa na public experience simaanishi kuwa waziri, hii ndio definition yake A service performed for the benefit of the public. Sasa nilipo uliza kwamba huyo Lissu anamewai kufanya nini? I want his records, amesha anzisha any act ndani ya bunge? Amesha push uchimbaji wa visima and so fourth. Sasa wewe ndio unasema kwamba PS ni kuwa waziri.

Sasa kama hujawai kusave jamii kwa njia yoyote, how will you know about matatizo yao? So before you shot, look at your target.
Apart from all that i asked a question concern Lissu records on public services. We all knows Mrema has records, Maalim Seif has one, I do know about Lissu can you tell me?
 
sidhani kama kuna vitisho vyovyote vile vilivyotolewa humu !

tuendeleeni salama kujadili ishuz !

Ndio kusema Zitto "akijitoa kwenye kamati atakua anajikaanga kwa mafuta yake mwenyewe " mimi nachukulia kama ni vitisho.
By the way kengeza hazitamwezesha mtu kuona kila kitu.Poa,tuendelee kukata ishuz kama ifuatavyo

Mtanganyika,
Mkuu unaulizia Lissu alishawahi kufanya nini,ina maana unamanisha kama hana rekodi unazojua hawezi kweli kufanya kitu constructive? Hao akina maalim na Mrema walianzia wapi? Zitto alibainisha udhaifu mkubwa katika mwenendo wa kusaini mkataba wa Buzwagi bungeni na akaendelea kubainisha weakness mbalimbali na hata Lissu pia weakness hizo alizizungumzia.Je ni kitu gani hasa kilichomfanya JK amuweke zitto kwenye hiyo kamati ambacho Lissu hajakifanya?Unless uniambie Jk ni opportunist aliyetaka kugain poliyical credibility.Yaani baada ya yeye kufunwa goli na Zitto akaamua kujiunga nae

Kuhusu kama alishawahi kupendekeza act yoyote Bungeni unamaanisha kama hajawahi kuwa mbunge hawezi kuwa kwenye hiyo kamati?

Well,Lissu amekua mtu ambaye ameorodhesha madhaifu makubwa mno kwenye sheria ya madini,sasa sijui kama kuna jambo lingine zaidi ya hili amablo linahitajika.Kama ameweza kujua weakness ilipo basi ni mtu ambaye (ingawa sipendekezi kwamba ni lazima angekuwepo kwenye kamati) angeweza kutoa msaada mkubwa ndani ya kamati ile but still hata akiwa nje ya kamati kwani anaweza kutoa ushauri kwa akina zitto.
 
Mimi nina swali, huyu Lissu ana experience gani katika public services? Tatizo ndani ya CHADEMA ni kwamba most of viongozi wao hawana experience in public services. Hii inasababisha either kutoa maamuzi ya yasio na kichwa wala miguu.

I wish CHADEMA member mmoja angekuja akasema hawa kina Lissu na wenzie what have they done in Tanzania, apart from kuzungumzia mikataba ya madini. Kutokuwa na experience kuna hinder performance ndani ya CHADEMA and upinzani as whole
.

binafsi hadi leo niliuliza swali humu lakini bado sijajibiwa, hivi mbowe amefanya kitu gani kinachoweza kumkonvinsi mtu kwamba kweli he is ready and he is who he is talking about ??

nitamuamini vipi ambapo hata sijui jema alolifanyia jamii ??
basi hata kama sio mbowe, wamtoe mwanachama kimasomaso aje kutuambia kafanya nini specifically !
 
Kwa hiyo ndugu yangu wewe kwako experience ni kufanya kazi serikalini? Kama hujawahi kuwa waziri huna experience? Sasa kama ni hivyo wenye experience wote wapo CCM! Nafikiri unahitaji kupanua zaidi wigo wako wa kufikiri kuhusu maana ya experience.

kitila,
unajua saa nyingine maneno ni tofauti kabisa na vitendo, hawa viongozi wa chadema wanakuja wanasema watafanya hivi na hivi na vile, je wapi walishafanya hivyo before (hayo wanayosema watafanya) na wakawa successful ?? hatutaki viongozi wanaokuja kujaribu uongozi wao kwa wananchi wa tanzania first hand, no way bana, kwanza ukizingatia shule yenyewe ndio kwanza wanaenda sasa hivi (mbowe) halafu uniambie mtu huyo huyo with no history or reputation wala record inayoonyesha kafanya kitu fulani katika jamii na elimu yake ndio kwanza imetoka jikoni uniambia aje kunitawala mie, ARE YOU SERIOUS ?? no way bana !
huko kutakuwa kumkabidhi chizi rungu ! sasa mnataka mbowe alishike hilo rungu tutapona kweli ?? kama mtasema ccm ni machizi basi mara 100 niwape hao hao machizi wenye kupata kuamka na kujua nini cha kufanya kuliko hawa wapinzani !
 
Mimi nina swali, huyu Lissu ana experience gani katika public services? Tatizo ndani ya CHADEMA ni kwamba most of viongozi wao hawana experience in public services. Hii inasababisha either kutoa maamuzi ya yasio na kichwa wala miguu.

I wish CHADEMA member mmoja angekuja akasema hawa kina Lissu na wenzie what have they done in Tanzania, apart from kuzungumzia mikataba ya madini. Kutokuwa na experience kuna hinder performance ndani ya CHADEMA and upinzani as whole.

i dare them come forward for a sip of cool aid !
 
binafsi hadi leo niliuliza swali humu lakini bado sijajibiwa, hivi mbowe amefanya kitu gani kinachoweza kumkonvinsi mtu kwamba kweli he is ready and he is who he is talking about ??

nitamuamini vipi ambapo hata sijui jema alolifanyia jamii ??
basi hata kama sio mbowe, wamtoe mwanachama kimasomaso aje kutuambia kafanya nini specifically !

Nimeshasema hapo juu ingawa siongei kama member wa CHADEMA au hujaona tena
 
binafsi hadi leo niliuliza swali humu lakini bado sijajibiwa, hivi mbowe amefanya kitu gani kinachoweza kumkonvinsi mtu kwamba kweli he is ready and he is who he is talking about ??

nitamuamini vipi ambapo hata sijui jema alolifanyia jamii ??
basi hata kama sio mbowe, wamtoe mwanachama kimasomaso aje kutuambia kafanya nini specifically !

Mbowe kukataa kujiunga ama kukataa rushwa ya kifisadi ili ajiunge na Chama dhaifu kilichoturudisha maendeleo nyuma na kinachokandamiza Demokrasia ni heshima kubwa na ujasiri wa hali ya juu kwa watanzania jambo ambalo limewashinda wengi ambao leo hii unawaona ni wabunge au mawaziri kupitia CCM.Ulikua ni ujasiri wa hali ya juu kuamua kusimama upinzani kuanika na kukemea maovu ya CCm.

Infact alikata kununulika.

Mbowe kuwa kiongozi wa chama cha upinzani amesaidia jamii katika kukuza demokrasia na kuhamasisha mapambano ya kifikra kwenye serikali dhalimu isiyojali raia wake.


Je,what is the supreme role of opposition party in a state?Na nini faida ya chama hicho kuleta maendeleo ya nchi?
 
Mbowe kukataa kujiunga ama kukataa rushwa ya kifisadi ili ajiunge na Chama dhaifu kilichoturudisha maendeleo nyuma na kinachokandamiza Demokrasia ni heshima kubwa na ujasiri wa hali ya juu kwa watanzania jambo ambalo limewashinda wengi ambao leo hii unawaona ni wabunge au mawaziri kupitia CCM.Ulikua ni ujasiri wa hali ya juu kuamua kusimama upinzani kuanika na kukemea maovu ya CCm.

Infact alikata kununulika.

Mbowe kuwa kiongozi wa chama cha upinzani amesaidia jamii katika kukuza demokrasia na kuhamasisha mapambano ya kifikra kwenye serikali dhalimu isiyojali raia wake.


Je,what is the supreme role of opposition party in a state?Na nini faida ya chama hicho kuleta maendeleo ya nchi?

(1) una uhakika mbowe hajawahi kula rushwa ??
(2)hivi demokrasia gani tena zaidi ya hii iliyopo sasa tanzania uliyokuwa unataka wewe ?? au demokrasia ina maana nyingine siku hizi ??
(3)huo ni uwongo mkubwa, mengi akitaka kuingia ccm wazi wazi anashindwa ? usiniambie tanzania nzima shujaa ndiye mbowe, if so count me a non-tanzanian !
(4)je do you give me the same credit kwa maalim seif sharif hamad, mrema, lipumba, mbatia, mtikila na wengineo ambao ni wapinzani na wanakemea mambo ya ccm ? au kwako wewe unachokiona ni MBOWE tu ??
(5)shujaa tokea lini akatakaa kunukuliwa/kukosolewa ? mbowe sio shujaa na hana hiyo punje ya ushujaa hata kidogo !
(6)kama unasema chama tawala (CCM) kimepindisha demokrasia na sasa mbowe ndiye amekuza demokrasia, huoni kwamba hilo ni jambo la kushukuriwa kwa chama tawala CHAMA CHA MAPINDUZI CCM, kwa kumpa fursa ya yeye kujieleza na kuinspaya watu anachoamini ? au kama serikali iliyo chini ya CHAMA CHA MAPINDUZI CCM ingeamua kukandamiza demokrasia kama ulivyosema unadhani mbowe angeweza kukuza hiyo demokrasia kama ulivyosema
??
 
Ndio kusema Zitto "akijitoa kwenye kamati atakua anajikaanga kwa mafuta yake mwenyewe " mimi nachukulia kama ni vitisho.
By the way kengeza hazitamwezesha mtu kuona kila kitu.Poa,tuendelee kukata ishuz kama ifuatavyo

Mtanganyika,
Mkuu unaulizia Lissu alishawahi kufanya nini,ina maana unamanisha kama hana rekodi unazojua hawezi kweli kufanya kitu constructive? Hao akina maalim na Mrema walianzia wapi? Zitto alibainisha udhaifu mkubwa katika mwenendo wa kusaini mkataba wa Buzwagi bungeni na akaendelea kubainisha weakness mbalimbali na hata Lissu pia weakness hizo alizizungumzia.Je ni kitu gani hasa kilichomfanya JK amuweke zitto kwenye hiyo kamati ambacho Lissu hajakifanya?Unless uniambie Jk ni opportunist aliyetaka kugain poliyical credibility.Yaani baada ya yeye kufunwa goli na Zitto akaamua kujiunga nae

Kuhusu kama alishawahi kupendekeza act yoyote Bungeni unamaanisha kama hajawahi kuwa mbunge hawezi kuwa kwenye hiyo kamati?

Well,Lissu amekua mtu ambaye ameorodhesha madhaifu makubwa mno kwenye sheria ya madini,sasa sijui kama kuna jambo lingine zaidi ya hili amablo linahitajika.Kama ameweza kujua weakness ilipo basi ni mtu ambaye (ingawa sipendekezi kwamba ni lazima angekuwepo kwenye kamati) angeweza kutoa msaada mkubwa ndani ya kamati ile but still hata akiwa nje ya kamati kwani anaweza kutoa ushauri kwa akina zitto.

Unajua msio mjua Zitto ndio mnamunder estimate, Zitto alikuwa Raisi pale UDSM, amasave jamii. Zitto work hard for Kigoma prior to election in 2005. So, all this activities togather make Zitto as experienced candidate in upinzani.

Lissu is a lawyer kwa profession kama sijakosea, kusoma mkataba ulio leak na kuelezea nini matatizo hata mwanafunzi wa UDSM school of law anaweza kufanya soon anapokuwa amesoma cormercial law.

Zijasema Lissu hana qualification za kuwa kwenye kamati, what i said what is " Lissu amefanya nini kwa Tanzania". If only he did is kusoma mkataba ulio leak na kuelezea nini makosa then it is not enough sababu many JF members did that.

I believe on thing, Lissu anaweza kuwa good leader, lakini he need more experience in public services.
 
(1) una uhakika mbowe hajawahi kula rushwa ??
(2)hivi demokrasia gani tena zaidi ya hii iliyopo sasa tanzania uliyokuwa unataka wewe ?? au demokrasia ina maana nyingine siku hizi ??
(3)huo ni uwongo mkubwa, mengi akitaka kuingia ccm wazi wazi anashindwa ? usiniambie tanzania nzima shujaa ndiye mbowe, if so count me a non-tanzanian !
(4)je do you give me the same credit kwa maalim seif sharif hamad, mrema, lipumba, mbatia, mtikila na wengineo ambao ni wapinzani na wanakemea mambo ya ccm ? au kwako wewe unachokiona ni MBOWE tu ??
(5)shujaa tokea lini akatakaa kunukuliwa/kukosolewa ? mbowe sio shujaa na hana hiyo punje ya ushujaa hata kidogo !
(6)kama unasema chama tawala (CCM) kimepindisha demokrasia na sasa mbowe ndiye amekuza demokrasia, huoni kwamba hilo ni jambo la kushukuriwa kwa chama tawala CHAMA CHA MAPINDUZI CCM, kwa kumpa fursa ya yeye kujieleza na kuinspaya watu anachoamini ? au kama serikali iliyo chini ya CHAMA CHA MAPINDUZI CCM ingeamua kukandamiza demokrasia kama ulivyosema unadhani mbowe angeweza kukuza hiyo demokrasia kama ulivyosema
??

kumbe unaweza eh.. very good keep it up!
 
Unajua msio mjua Zitto ndio mnamunder estimate, Zitto alikuwa Raisi pale UDSM, amasave jamii. Zitto work hard for Kigoma prior to election in 2005. So, all this activities togather make Zitto as experienced candidate in upinzani.

Lissu is a lawyer kwa profession kama sijakosea, kusoma mkataba ulio leak na kuelezea nini matatizo hata mwanafunzi wa UDSM school of law anaweza kufanya soon anapokuwa amesoma cormercial law.

Zijasema Lissu hana qualification za kuwa kwenye kamati, what i said what is " Lissu amefanya nini kwa Tanzania". If only he did is kusoma mkataba ulio leak na kuelezea nini makosa then it is not enough sababu many JF members did that.

I believe on thing, Lissu anaweza kuwa good leader, lakini he need more experience in public services.

Mtanzania na yoyote,

Just google search Tundu Lissu utajua huyu jamaa ameifanyia nini Tanzania. Na ukitaka kujua heshima yake katika jamii nenda maeneo yenye migodi. Tundu Lissu ameitumikia nchi hii kwa upekee wake kuliko hata Handsome wangu Jakaya Kikwete. Tundu Lissu ana heshima kwa wananchi wa chini kabisa na hata wanaharakati wa kimataifa. Sisime kwamba alipaswa kuwepo kwenye kamati lakini ni vyema mkampa heshima yake katika nchi yetu na si kumbeza ovyo ovyo.

Asha
 
Zitto ageuka mada




na Irene Mark



UAMUZI wa Rais Jakaya Kikwete kumteua Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto, kuwa mjumbe wa kamati ya kuhakiki madini, umezidi kuchukua sura mpya, zinazotofautiana kila kukicha.
Hali hiyo imejidhihirisha tangu baadhi ya makundi ya watu wenye ushawishi, kuanza kuhoji kile kilichosababisha kuwamo kwa mwanasiasa huyo wa upinzani ndani ya kamati hiyo, Tanzania Daima imebaini.

Taarifa zilizokusanywa na gazeti hili kutoka vyanzo mbalimbali vya habari huru na vile vyenye masilahi tofauti katika suala hili, zinaonyesha kwamba, hoja hiyo sasa ndiyo inayogusa hisia za makundi yenye ushawishi katika jamii.

Aidha, mwenendo huo wa mambo, ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) anakotoka Zitto, umesababisha kuibuka na kuendelea kuimarika kwa makundi yenye mtazamo na mwelekeo unaopingana.

Hali hiyo ya mambo ambayo imepewa tafsiri tofauti na watu na vyombo mbalimbali vya habari, sasa imesababisha CHADEMA ilazimike kuchukua hatua za haraka kudhibiti mwelekeo wa mambo ambao kwa hakika unakiweka chama hicho katika hatari ya kuyumba, na kama hali isipodhibitiwa, kwenda kule ilikokwenda NCCR-Mageuzi miaka takriban 10 iliyopita.

Msimamo wa wanasiasa kadhaa ndani ya chama hicho unaoonyesha hali ya kutoaminiana na kupingana waziwazi, sasa umesababisha uongozi wa juu wa chama hicho, ukiongozwa na Mwenyekiti wake wa taifa, Freeman Mbowe, kuamua kuingilia kati ili kurejesha utulivu na mshikamano.

Habari kutoka ndani ya chama hicho ambazo zimethibitishwa na Mbowe na Katibu Mkuu wake, Willbrod Slaa, zinaeleza kuwa kwa siku nzima jana viongozi wote wakuu wa CHADEMA walitumia siku nzima kuwasiliana na kuwekana sawa kuhusu kimbunga cha kisiasa kinachoonekana kukikumba chama chao.

Wakati viongozi hao wakitafakari hatima ya chama hicho, wanahabari wa ndani na wale wa mashirika ya kimataifa ya habari kama lile la Uingereza (BBC) na la Ujerumani (DW) walikuwa wakihaha kuwasaka viongozi wakuu wa chama hicho ambao wamesambaa katika maeneo mbalimbali.

Miongoni mwa viongozi ambao walikuwa wakisakwa kwa udi na uvumba, ni Mbowe ambaye sasa yuko masomoni Uingereza akisomea siasa, uchumi na filosofia katika Chuo Kikuu cha Hull.

Kutokana na hali hiyo tete, Mbowe jana aliihakikishia Tanzania Daima kuwa, alikuwa amelazimika kurejea nyumbani na kuitisha kikao cha Kamati Kuu ya dharura ya chama hicho, lengo likiwa ni kufikia uamuzi wa pamoja utakaomaliza mzozo wa maneno kuhusu uteuzi huo wa Zitto.

Kikubwa kilichosababisha kurejea kwa Mbowe, ni kuibuka kwa mvutano wa mawazo ndani ya chama hicho yakihusisha makada wenye majina makubwa ndani ya CHADEMA ambao ama wanamuunga mkono Zitto au wanamtaka ajitoe katika kamati hiyo.

Akizungumza katika mahojiano kwa njia ya simu jana, Mbowe hakuwa tayari kutoa maoni yake kuhusu suala hilo zaidi ya kusema kwamba, chama hicho kilikuwa kikitarajia kutoa tamko lake rasmi Jumamosi wiki hii.

Mjumbe mmoja wa Kamati Kuu ya CHADEMA aliieleza Tanzania Daima kwamba, uamuzi wa kuitisha kikao hicho umekuja baada ya kubaini kuwapo kwa mpango mahususi kutoka kwa mahasimu wao wa kisiasa unaolenga kukisambaratisha chama chao, ambacho katika siku za hivi karibuni kimejijengea umaarufu mkubwa machoni mwa wananchi.

"Tunafahamu kwamba, hawa mahasimu wetu wanataka kutugombanisha kwa kutumia uteuzi huu wa Zitto. Ni jambo la bahati mbaya kwamba na sisi tumeingia katika mtego wao na tunacheza ngoma ya kujimaliza wenyewe," alisema kada huyo wa CHADEMA.

Akizungumzia mwenendo na misimamo ya baadhi ya wana CHADEMA, muasisi wa chama hicho, Edwin Mtei, alisema hakuna sababu ya Zitto kujiondoa ndani ya kamati hiyo, na akasisitiza kuwa chama hicho kinapaswa kutumia nafasi hiyo kuwasilisha maoni yake serikalini.

Alisema, CHADEMA ni mkusanyiko wa watu wengi, hivyo mawazo ya watu yanapokewa na kujadiliwa kwa mtazamo mpana zaidi, ili kuifikisha nchi kwenye maendeleo yanayotakiwa.

Alionya kuwa ni vigumu kuendesha nchi kwa kususia, badala yake aliwataka walio kwenye makundi kutoa mawazo ndani ya kamati husika za chama kwa ujasiri na uwazi.

"Tangu tulipounda chama tunaamini katika uwazi na ukweli lakini ‘view' zetu zinakuwa ‘recorded' huwezi kurekodi kama tunasusa, ni vizuri kwamba Zitto amekubali kushiriki na kushawishi.

"Endapo mawazo yake yatakubalika, atakuwa ame-influence policy ya nchi yetu na kama atapuuzwa, anaweza akatoa minority report. Mchango wetu uwe ni wa kuchangia na si wa kususia," alisema Mtei.

Alisema: "Wanaosema kuna ‘vested interest' ni lazima wajue kuwa masilahi ya kwanza ni nchi yetu…kama kuna mtu anaogopa ‘views' zake zitakuwa influenced, hana msimamo."

Hata hivyo aliweka wazi kwamba amempelekea Zitto mawazo yake na hadidu rejea na akamtaka aendelee kupigania masilahi ya taifa ndani ya kamati.

Kwa upande wake, Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Willbrod Slaa alikiri kuwa uongozi wa chama utakutana mwishoni mwa wiki kutoa msimamo kuhusu kamati ya madini iliyoteuliwa na Rais Kikwete.

"Kamati Kuu ya CHADEMA itakutana mwishoni mwa wiki kujadili suala la Zitto, lakini kubwa zaidi ni muundo mzima wa kazi za kamati ya madini iliyoteuliwa na Rais," alisisitiza Dk. Slaa ambaye msimamo wake kuhusu kamati hiyo umeacha maswali mengi.

Aidha, Mwenyekiti wa CHADEMA wa Mkoa wa Kigoma, Jaffari Kasisiko, aliupongeza uamuzi wa Rais Kikwete na kuongeza kuwa matokeo ya kamati hiyo yatawaongezea imani wananchi kutokana na mchanganyiko wa wajumbe wake.

"CHADEMA Kigoma, inapongeza uamuzi wa Rais Kikwete kwa sababu unaleta heshima kwa wapinzani…tumemshauri Zitto kutoa ushirikiano wa kutosha kwenye kamati hiyo bila kujiengua kama anavyoshauriwa na baadhi ya watu," alisema mwenyekiti huyo.

Naye, Jussa Ismail, kutoka Chama cha Wananchi, amewataka wanaomshauri Zitto kujitoa kwenye kamati hiyo waache, badala yake wajenge siasa za kistaarabu.

Alisema, iwapo wataendelea kumshinikiza kujiondoa kwenye kamati watamwathiri kisaikolojia na kumfanya ashindwe kutekeleza majukumu yake ndani ya kamati hiyo.

"Umefika wakati wa kujenga siasa za kistaarabu, haya yanayotokea yanawachanganya wananchi, kwani lengo letu tangu mwanzo ni kuundwa kwa kamati ya kuchunguza mikataba ya madini na kurekebisha sheria zinazohusu madini.

"Leo hii tukimwambia Zitto asiingie kwenye kamati ile ni kumchanganya. Kufanya hivyo ni kujishushia hadhi wapinzani na jamii itashindwa kutuelewa, tutaonekana tunayumba," alisema Ismail.

Aidha, amemtaka Zitto kuendelea na shughuli mbalimbali ndani ya kamati hiyo na si kuufanya uteuzi wake kuwa wa kisiasa, badala ya masilahi ya taifa.

source:freemedia
 
Hii democrasia ya kufanya debate kali kabla ya kuamua maslahi ya nchi ni kitu ambacho ccm wanakitamani lakini hawapati. Yaani huko kila kitu ni ndio mzee.

Ccm hakuna kuuliza maswali, hakuna vikao, hakuna kupinga maamuzi ya wezi lowasa na rostam.

CHADEMA waonyesheni ccm namna ya kuamua mambo kwa democrasia na sio kukubali kila kitu viongozi wanachosema.
 
Mtanzania na yoyote,

Just google search Tundu Lissu utajua huyu jamaa ameifanyia nini Tanzania. Na ukitaka kujua heshima yake katika jamii nenda maeneo yenye migodi. Tundu Lissu ameitumikia nchi hii kwa upekee wake kuliko hata Handsome wangu Jakaya Kikwete. Tundu Lissu ana heshima kwa wananchi wa chini kabisa na hata wanaharakati wa kimataifa. Sisime kwamba alipaswa kuwepo kwenye kamati lakini ni vyema mkampa heshima yake katika nchi yetu na si kumbeza ovyo ovyo.

Asha

Dada Asha, can you mention moja ya aliyoyafanya Tundu Lissu? simple question. Did he create any act, how about be any leader any where in public. Let say, have he ever been Mjumbe, anything to give him credit in public service?

Lissu ni lawyer, i give him credit for that. I want to hear about his records concern public services. Kusoma mikataba iliyo vuja hata wana JF wameichambua hapa. So, please don't mix stories, i don't ask about his qualifications, i just want to know any records concern public services. Nini kafanya kwa watanzania. Mrema, alipunguza ujambazi kwa asilimia fulani, alisimama kidete kwa kina mama. JK japokuwa ana matatizo yake lakini alipokuwa wizara ya fedha ali freez pesa za kigogo mmoja. Lissu??
 
Hii democrasia ya kufanya debate kali kabla ya kuamua maslahi ya nchi ni kitu ambacho ccm wanakitamani lakini hawapati. Yaani huko kila kitu ni ndio mzee.

Ccm hakuna kuuliza maswali, hakuna vikao, hakuna kupinga maamuzi ya wezi lowasa na rostam.

CHADEMA waonyesheni ccm namna ya kuamua mambo kwa democrasia na sio kukubali kila kitu viongozi wanachosema.

Mwafika wa kike dada yangu, wacha kubabysit poor politics kama hii. CHADEMA wameonyesha ni jinsi gani hawako strategic katika maamuzi yao. Vitu kama hivi huwa vinajadiliwa behind doors bila media. Kubishana kwenye Tanzania Daima na majira sio demokrasia bali ni gasia.

Kuamua mambo kidemokrasia sio kwa kila mwanachama kuwa main speaker kwenye media. Jambo kama hili lilitakiwa liamuliwe ndani ya chama. Sasa kila mtu anapoamka na kubwabwaja kwenye media does that make CHADEMA democratric party, au inaonyesha bad impression between members?

Domocrasia does not means kila kiongozi ndani ya chama lazima alete maamuzi yake kwenye media. I said mwanzo kwamba hichi chama kinaitaji Strategic analyst ambae atawaelekeza kina Mbowe na wenzie. For this kind of game CHADEMA wameonyesha weakness with in, and CCM if they are smart they may turn this against them.

Let us be honest when something went wrong, and stop support non sense politics.
 
Dada Asha, can you mention moja ya aliyoyafanya Tundu Lissu? simple question. Did he create any act, how about be any leader any where in public. Let say, have he ever been Mjumbe, anything to give him credit in public service?

Lissu ni lawyer, i give him credit for that. I want to hear about his records concern public services. Kusoma mikataba iliyo vuja hata wana JF wameichambua hapa. So, please don't mix stories, i don't ask about his qualifications, i just want to know any records concern public services. Nini kafanya kwa watanzania. Mrema, alipunguza ujambazi kwa asilimia fulani, alisimama kidete kwa kina mama. JK japokuwa ana matatizo yake lakini alipokuwa wizara ya fedha ali freez pesa za kigogo mmoja. Lissu??

Lissu toka miaka ya tisini ndiye aliyefanya barrick igeuze baadhi ya vitendo vyake vya unyonyaji Tanzania, hata katika ripoti zao utaona wamemtaja by name kuwa he is a pin in their asses! Huyu ndiye mtetezi wa wanyonge, kumbuka sakata la Bulyankulu. Huyu ndiye aliyeingiza Tanzania kwenye ramani ya wanaharakati wa kimataifa wa masuala ya madini. Yeye na Rugemeleza Nshala. Hawa wawili ndio wamelifanya shirika la LEAT kuwa upande wa kuwatetea wananchi. Ukitaka kujua mchango wa Lissu kwa taifa waulize wachimbaji wadogo wa madini nchini. Wamachinga wawezi kumjua na wakaa ofisini kama wewe hamwezi kumjua lakini nenda maeneo ya migodi kwenye migogoro, his name is household. Nenda Nyamongo, Mererani. He is their man. He is also my man. I love him, find his documentary film- I am sure it is available on line, you will agree that he is also your man. Hata kama ni mwanaume mwenzio.


Asha
 
Back
Top Bottom