Elections 2010 CHADEMA - Cost benefit analysis

Mlicho tegemea sio mlicho kipata, urais kwa kutumia helikopter tena hamkuupata, mmebwagwa kwa 80% mpaka sasa, and then wabunge angalau one third (80) mliyokuwa mwategemea hamkuipata , mmepata 25 tu ambayo ni ndogo sana. kwa hiyo twaweza sema mmepata HASARAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA

Kwa kweli limbukeni hawezi jihisi! Shame upon you always!:A S angry::A S angry:
 
nachelea kuamini kama wewe ni mtanzania halisi bila kujali dini, kabila wala chama. pengine wewe una uwezo kimaisha na hata kifedha laiti ungekuwa unajua jinsi mtu anayekosa huduma muhimu za kibinadamu kama vile afya, chakula, elimu bora na malazi anvyojisikia usingethubutu kukejeli watu wanaotoa maoni yao. kama wewe huathiriki waache wanaoathirika waongee pengine hii inaweza kuwasaidia kuwafuta machozi yao...dnugu, huyo huyo ambaye anakufanya wewe leo hii ucheke ndio huyo huyo aliyewafanya wengine walie leo hali inaweza kubadilika muda wowote. we ulishapata waache wanaotafuta nao watafute, hata kama wakikosa basi japo haki yao ya kimsingi waipate
 
nachelea kuamini kama wewe ni mtanzania halisi bila kujali dini, kabila wala chama. pengine wewe una uwezo kimaisha na hata kifedha laiti ungekuwa unajua jinsi mtu anayekosa huduma muhimu za kibinadamu kama vile afya, chakula, elimu bora na malazi anvyojisikia usingethubutu kukejeli watu wanaotoa maoni yao. kama wewe huathiriki waache wanaoathirika waongee pengine hii inaweza kuwasaidia kuwafuta machozi yao...dnugu, huyo huyo ambaye anakufanya wewe leo hii ucheke ndio huyo huyo aliyewafanya wengine walie leo hali inaweza kubadilika muda wowote. we ulishapata waache wanaotafuta nao watafute, hata kama wakikosa basi japo haki yao ya kimsingi waipate

crap
 
Anza kwanza kufanya uchambuzi yakinifu kwa CCM,ukimaliza tutakuja CHADEMA.Nafikiri umenielewa vizuri Dada yangu!!!
 
lakini wap*******u na wavivu wa kufikiri na pia huifanya jamii kukamilika. a good life never comes easy without challenges
 
may the almighty forgive you. hata vitabu vimeandika, wasemehewe wale wasiojua walitendalo
 
Hebu tunaomba tupewe gharama za uchaguzi za CHADEMA walizotumia na kilicho patikana ili tujue kama kuna faida au hasara ?

Mtoto wa Kitanzania kutoenda bure shule ndo HASARA KUBWA. NI USHINDI KWA MAFISADI ILI WATUTAWALE TUKIWA WAJINGA.
 
UMMA UMEELEWA KUKIONDOA CHAMA CHA ZAMANI INAWEZEKANAAAAAAAAAAAAA!Inasikitisha kuona/kusikia watu/mtu anunga mkono CHAMA CHA ZAMANI kilicho jaa kila aina ya uchafuuuuuuuuu jamani tusikatishwe tamaa na watu wa zamani huu ni wakati wa mageuzi Chama Cha Zamani siku zake zinahesabika, wenye mawazo mgando au masikini wa fikra wataendelea kuwa wa Zamani ila natumaini kufikia 2015 tutakuwa tumewabadilisha na kuwa wa kisasa na kuyakubali MABADILIKOOOOOOOOOOO!
YOU CANN'T STOP CHANGES SINCE CHANGES ARE INEVITABLE!
 
Hiyo dhuluma na umaskini mliotufikisha huoni unauliza data za CHADEMA ILI IWEJE inaonekana wewe ni mmoja wao. Ndg yangu usifikiri watu ni wajinga siku zote, huu ni wakati wa kujua ukweli. DATA: Campain Manager meli zake ziko Malasia na pembe zetu za ndovu, huyo ni msimamizi wa campain za mgombea! Upo hapo, watu tuna machungu saana. Tukianza kukupa data tutakesha, lakini hutakubali maana mmezoea kusema ni uwongo mpaka muonyeshwe makaratasi, Isue zote zinarudi bungeni kwa taarifa yako. Utasema tena. Wizi ni dhambi ya kukupeleka motoni, kama hujui. Hatutaki kizazi cha weziiii! TUMECHOKA BASI

Na dhambi ya kupora mke wa mtu AKA Kuzini waziwazi itakupeleka peponi?
 
Akili -Mgando/Muozo.
Naogopa kuongea mengi zaidi kwa sababu najua una familia inakutegemea!
Kupewa zile truck-suit na vibaka wenzio ndo unaona maisha...bogus you!
I wanna Kill right Now!

Hii tabia ya kupindisha hoja ya msingi ni dalili za kuishiwa. Achana na mambo mepesi kama we ni mwelewa. Tuzungumzie haki ya watanzania kwanza.
 
Mbona unalia sasa ? jifute machozi nenda kalale huna lako 2010, subiri 2015 ulie tena eeeeeeeh.

teh teh teh, u are unbelievable!!! :smile-big::smile-big::smile-big:
Why crying!!! Do I look like crying 2 u?????
 
Kama unahisi unamawazo mgando usijaribu kujadiri mada yoyote kabla ya kujadiri namnagani utajitoa kwenye tatizo lako lamsingi ulilonalo la kifikra.watu wanajadiri mambo mhimu wewe unazungumza habari za gharama? achana na gharama za kifedha (monentary cost) katika wizi huu ulio tukuta kuna suala la muda (opotunity cost), kuna hili la kura iliyo ibiwa ambayo mimi naamini kabisa kura yangu imeibiwa ambayo ndio maji,umeme, barabara, huduma za afya, elimu ya watoto wangu, ajira yangu mwenyewe, mfumuko wa bei hiyo ni mifano tu yagharama ambazo unatakiwa kuhoji. unafikiri mambo haya yanaweza kujadiliwa kwa mistari miwili kwenye jukwaa hili. kwaufupi gharama hizi utazijua kwenye bunge la mwaka huu, mtakunywa maji kwa karai wezi nyinyi, unaniibia halafu una uliza umeniibia kiasi gani? kama mnatatizo la kifikra mtapona mwaka huu vijana wakiingia mjengoni
 
Back
Top Bottom