Mgeninani
Senior Member
- Jan 3, 2010
- 191
- 9
Hebu tunaomba tupewe gharama za uchaguzi za CHADEMA walizotumia na kilicho patikana ili tujue kama kuna faida au hasara ?[/QUOT
Kwenye politics labda ungesema cost analysis lakini wewe umedumbukiza na neno benefit(faida), kwa Chadema faida hakuna, maana watawaambia hao waliwapa kuwa look tumeambulia tuviti 22 tu tumepata hasara, lkn wapo wa wafanyabiashara wengi tu waloichangia CCM watalipwaje? itabidi tusiwatoze kodi, itabidi tupandishe bei bidhaa za biashara zao kama mafuta ya petroli, sukari, unga, mchele, nauli. je nani ataumia?