Baada ya viongozi wa kanisa kuchoshwa na CCM, hasa JK wameamua kukihalalisha chadema kuwa chama rasmi kwa wakristo wote, unaweza kuangalia SAFU yao uongozi wa juu hakuna waislamu na pia slaa ni padre (hii nafasi kama CID vile mpaka kufa mtu haachi). Mambo yafuatayo yanadhihirisha hilo
a) Hivi karibuni inasemekana walimrubuni Lwakatare atoke CUF
b) Chadema inapewa support kubwa na wafanyabishara wa kikristo na fedha nyingine kutoka kanisani ili iweze kushinda, wako kina Mengi (nyangumi) hii inafanyika kwa siri kubwa
c) Vyombo vya habari na mitandao itatumika ku-influence public opinion kanisa pamoja na Mengi wana-own 90% of the media Tanzania.
d) Hata hii movement ya waraka wa uchaguzi ni sehemu ya mkakati wenyewe
NB. Waislamu watagawanywa ili kila wakati ashinde mkristo nafasi ya U-rais!
Nimegundua chadema inatajwa mara nyingi sana ina maana inaanza kuwa tishio manake unataka kuturudisha kule tulikobishana kuwa CCM chama cha waisalamu kwa kuwa na viongozi wa juu waislamu Raisi,makamu raisi wa Zanzibar na pia Central committee yote waislamu ukiacha EL