mradi wako wa kitabu umefikia wapi? Siku ya kwanza umeingia tu unapisha bakuli hukujui hao ni wachagga? Ulifikiri uko buguruni kwa maalim ukipitisha bakuli unapeta tu. Huko kugumu ndugu yangu.mwakani kagasheki anakupiga kama umesimama.sina chuki nawe ila naichukia sana sisi m....... Yako na mtembei maana wote nyie mko kundi moja katika chama cha majambazi tanzania.