Josh Michael
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,523
- 91
- Thread starter
- #161
CHADEMA ni Tishio kwa Siasa za tanzania ndio maana inatajwa sana kuliko vyama vingine vyote, Tazama hata humo ndani kati ya wale walipata kuchangia kuhusu CHADEMA ni wengi kuliko cha chochote kile.tatizo sio upadre wala nini?? Mbona Mafisadi nayo nayo yanatoongoza?? Hata kama akiwa muchungaji kama ni masafi kwa matendo yake kuna nini?? Tunataka watu wasafi na wazalendo wa Taifa hili. Dr. Slaa ni Mzalendo wa kweliNimegundua chadema inatajwa mara nyingi sana ina maana inaanza kuwa tishio manake unataka kuturudisha kule tulikobishana kuwa CCM chama cha waisalamu kwa kuwa na viongozi wa juu waislamu Raisi,makamu raisi wa Zanzibar na pia Central committee yote waislamu ukiacha EL