Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
Habarini wanajamvi!,wapenzi wa CHADEMA,na wasio wapenzi,....
Binafsi ntakua mchoyo nisipo/nikichelewa kusema kwamba "CHADEMA nakupenda kwa moyo wangu wote"
Najua upo kwenye wakati mgumu,wengi wanakubeza huku wakiamini kua wewe nidio kiboko yao,na hakika unawanyima usingizi,hawasemi bali wanakukubali mwoyoni lakini mimi nasema"nakupenda CHADEMA kwa moyo wangu wote"
Ni mbali tumetoka,tumepitia mengi mimi na wewe na bado safari yetu ni ndefu ila si mbali mwaka 2015 si mbali,mi bado naamini wewe ndio tumaini langu jipya,usiogope vikwazo hata ukiyumba sitokuacha ntabaki na wewe daima kwakua nakupenda CHADEMA
Katika safari yetu wapo mamluki,wengine walijishutukia wakakimbia(chitambara-mbeya vijijini),na wengine bado tunao akina shibuda,lakini mimi
Binafsi ntakua mchoyo nisipo/nikichelewa kusema kwamba "CHADEMA nakupenda kwa moyo wangu wote"
Najua upo kwenye wakati mgumu,wengi wanakubeza huku wakiamini kua wewe nidio kiboko yao,na hakika unawanyima usingizi,hawasemi bali wanakukubali mwoyoni lakini mimi nasema"nakupenda CHADEMA kwa moyo wangu wote"
Ni mbali tumetoka,tumepitia mengi mimi na wewe na bado safari yetu ni ndefu ila si mbali mwaka 2015 si mbali,mi bado naamini wewe ndio tumaini langu jipya,usiogope vikwazo hata ukiyumba sitokuacha ntabaki na wewe daima kwakua nakupenda CHADEMA
Katika safari yetu wapo mamluki,wengine walijishutukia wakakimbia(chitambara-mbeya vijijini),na wengine bado tunao akina shibuda,lakini mimi