Labda Nassari nitaelewa. Lakini kusema watu wazima wakae chini na kumjadili huyu chizi Shibuda ni utani mbaya. Everyone expected to see Shibuda doing what is he doing now. Ningeshangaa kama Shibuda angekaa kimya na kuachanan na undumi la kuwili. Atakula nini wakati ameajiriwa kuwa ndumi la kuwili?