Nyangomboli
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 3,501
- 1,955
Kwani si wanaomba.? Utampa ambae hajaomba au asie na sifa kisa ukaskazini?
Usitake kupotosha watu hapa kuna wabunge wa sehemu mbali mbali wa viti maalumuHivi ni kweli 95% ya wabunge wa kupendelewa wa chadema ni kutoka kanda ya kaskazini?
Kama kweli, ni vipi utawafananisha na CCM? hiyo si ndio majimbo and kanda at its best?
You missed the point once again! Alichosema Malecela ni kwamba tunajidili hoja zinatokana na chimbuko la wao kufikia kutamka hayo waliyo tamka. Hakusema tujadili majina!!! In short kama majina yanakupa shida assume ameongea kipenzi chako Dr. Slaa au Dr. Kikwete... then jadili sasa...Kibudu... I mean Shibuda hastahili kupewa hata dakika chache za kumjadili.
Mkuu hiyo ilani ya mwaka huo iliandaliwa lini?Blah blah.............Ilani ya CDM mwaka 2015 ilikua.........blah blah blah
Majanikv
vp na maneno ya lusinde yenyewe si ya kuyachukulia kwa tahadhari?- Matukio ya hivi karibuni kati ya Wabunge Nassari na Shibuda, yanaleta maswali magumu sana kuliko majibu yake. Ninasema hivi CCM wasipuuze maneno ya Nassari na pia Chadema wasipuuze maneno ya Shibuda wayatafakari na kuyafanyia kazi, mifano ipo mingi sana kwa mfano kuna wakati hatukutaka kuongelea katiba wala Muungano, lakini sasa wakati umefika ambapo ukweli upo wazi kwamba tungenongea haya kule nyuma, saa hizi tungekwua mbali sana.
- So Chadema na CCM, wasiwapuuze Nassari na Shibuda, kwa sababu reading between the lines kuna ujumbe mzito wa kisiasa kwenye maneno yao.
William.
Typing error mkuu ya 2010Mkuu hiyo ilani ya mwaka huo iliandaliwa lini?
- In the big picture Shibuda ana tatizo na establishment na njia inayotumiuka kumtafuta mgombea wa urais huko!
William.
Hivi ni kweli 95% ya wabunge wa kupendelewa wa chadema ni kutoka kanda ya kaskazini?
Kama kweli, ni vipi utawafananisha na CCM? hiyo si ndio majimbo and kanda at its best?
You missed the point once again! Alichosema Malecela ni kwamba tunajidili hoja zinatokana na chimbuko la wao kufikia kutamka hayo waliyo tamka. Hakusema tujadili majina!!! In short kama majina yanakupa shida assume ameongea kipenzi chako Dr. Slaa au Dr. Kikwete... then jadili sasa...
Nimependa Jibu lako kwa Mtoto wa Malecela. Unajua Wiliam hataki kuweka wazi tatizo la shibuda na badala yake anaona tatizo la CDM tu. CCM kuna matatizo mengi lakini kwake yeye haoni anaona tu ya CDM. This is not a good analysis especially to him(Wiliam) who I think is well educated outside Tanznia.
Usitake kupotosha watu hapa kuna wabunge wa sehemu mbali mbali wa viti maalumu
Hivi Chadema nacho kinaaminika kitachukua nchi ya Tanzania kama chama tawala?, labda miaka 1000, mbele ambayo nayo haitafika kabla ya dunia hii iliyochoka na kuchakaa kufikia mwisho wake ili kukaribisha ujio wa dunia mpya, labda kama Chadema wataongozea motoni hapo sawa.
.
"USIJITUKUZE MBELE ZA USO WA MFALME, WALA USISIMAME MAHALI PA WATU WAKUU".
Tukumbuke kuwa ni Shibuda huyo huyo aliyekuwa na tatizo na establishment ya CCM kuhusu jinsi ya kupata wagombea wa Ubunge na ndicho kilichompeleka CDM. Labda tujiulize tatizo ni CCM, CDM or Shibuda? Nani hapa ni common denominator (main tatizo?)
Vipi Lowasa na bomu la vijana hiyo sio hoja au hujaiona? Vp Makamba Sr na Nape kuwa mmiliki wa ccm hiyo nayo sio hoja?
Vp umebinafisisha fikra?
@Noti.
Mkuu will hajasoma bali ni 4M4 falier pia nje ya nchi hajasoma bali yeye ni mbeba cargo wa meli za kwenda nje pia kauungaunga vijicertificate tu hana chochote huyo alafu ndo huwa anapenda kudis CV za wenzake humu.
MWENYE ILE CV YA HUYU WILL MTOTO WA GAMBA TUIONE WATU WAJIONEE.