CHADEMA bado mno Kupambana na CCM

CHADEMA bado mno Kupambana na CCM

Wewe tulia utaona madiliko 2015 Raisi akipatikana chadema watendaji wa ngazi za chini watapatikana tu.wapo maprofesar chuo pale tutawatumia hao.hata mimi mwenye we sishindwi kuwa mjumbe wa nyumba kumi ebo.
 
Hivi nyie watz mmeachwaachwa sasa mmeanza dharau JW huyu kijana anawadharau kisa hiyo RED yao, wakijaribu wapeni dozi.
 
Punguza hasira chambua hoja kwa fikra huru na data.

Katika Afrika Maraisi kutoka CCM PEKEE ndio ambao hawajawahi kuvunja katiba kwa kujiongezea muda wa kutawala kwa kukawiza au kuhairisha uchaguzi kwa sababu yoyote ile.

Kikubwa zaidi hawajawahi ata kufikiria kutaka kugombea tena awamu ya tatu baada ya awamu zao kupita ingawaje watanzania wengi huwa bado huwa wanawataka.

Hivi si vitu vidogo kabisa wala vya kubeza kwani kwa uroho wa madaraka wa viongozi wa waafrika na kungekua hakuna democrasia ya kutosha haya yasingewezekana.
Bila unafiki kabisa pamoja na mapungufu makubwa sana ya serikali na viongozi CCM NDIO CHAMA KINACHOONGOZWA KIDEMOCRASIA ZAIDI.

Sababu za kijinga kama za Dr slaa za kuhairisha uchaguzi wa chadema wanaozisapoti wana mawazo na akili tegemezi. hata kwa serikali za waroho wa madaraka sababu za kujiongezea muda zingekuwepo tu kama
1. Hakuna fedha
2. Bado anapendwa
3. Tujenge taifa kwanza democrasia inatugawa.
4. Kuna vibaraka wako upinzani wanataka kuchukua nchi waiuze
.
Wapinzani lazma wajue Democrasia ina hadhari zake anayechaguliwa na wengi ndiye huyohuyo na wasiepuke kabisa kwa kuogopa kuachia vyeo vyao.

Ila bahati mbaya democrasia ndani ya vyama vya upinzani inakiukwa sana na viongozi.

Zamani ilikua kwa vya upinzani kamaUDP CUF NCCR NA TLP Ila sasa Ugonjwa huu unaitafuna Chadema na umeletwa na Dr Slaa.
Chadema walibadilishana madaraka kwa Amani toka enzi Za Mtei kwenda kwa Ngosha Makani hadi sasa kwa Kijana Mbowe

Chadema itasambaratika ivi punde kama itamuendekeza Slaa na inawatu makini sana sijui kama wanaunga mkono ukandamizwaji wa democrasia wa namna hii ndani ya CHAMA CHA DEMOCRASIA NA MAENDELEO
 
Kweli kabisa sisi CCM ni imara sana kwenye uwindaji wa Tembo. mmmhhhh...... Ngoja nikirudi toka serengeti na boss wangu kinana nitakuja kuchangia zaidi
 
Hivi kuchakachua uchaguzi, rushwa wizi, kuiba shaada, kutisha kumwaga damu ili ubakie madarakani ni demokrasia, kama ccm wangefanya uchaguzi wenye usawa kisingekuwa mdarakani miaka mingi sana, hili unalijua lakini kwsababu njaa inakuwaka mwili mzima lazima utafuti biku saba kwa njia za kipuuuzi kama hizi
 
Hivi wewe mleta uzi huu ni mzima kweli? kuna mawili;
1.0. Umewahi kuugua maradhi ya akili
2.0. Una laana ya mmoja wa wazazi wako/au baba yako amekulea tu lakini sio baba yako!:shut-mouth:
 
Kumbe kuua wapinzani kwenye mikutano yao kwa mabomu ndo demokrasia? Je kuuteka mswada wa katiba ni demokrasia?
 
Punguza hasira chambua hoja kwa fikra huru na data.

Katika Afrika Maraisi kutoka CCM PEKEE ndio ambao hawajawahi kuvunja katiba kwa kujiongezea muda wa kutawala kwa kukawiza au kuhairisha uchaguzi kwa sababu yoyote ile.

Kikubwa zaidi kufikiria kutaka kugombea tena baada ya awamu zao kupita ingawaje watanzania wengi huwa bado wanawataka.

Hivi si vitu vidogo kabisa wala vya kubeza kwani kwa uroho wa madaraka wa waafrika na kungekua hakuna democrasia ya kutosha haya yasingewezekana.
Sababu za kijinga kama za Dr slaa za kuhairisha uchaguzi hata kwa waroho wa madaraka zingekuwepo tu kama
1. Hakuna fedha
2. Bado anapendwa
3. Tujenge taifa kwanza democrasia inatugawa.
4. Kuna vibaraka wako upinzani wanataka kuchukua nchi waiuze
.
Wapinzani lazma wajue Democrasia ina hadhari zake anayechaguliwa na wengi ndiye huyohuyo na wasiepuke kabisa kwa kuogopa kuachia vyeo vyao.

Ila bahati mbaya democrasia ndani ya vyama vya upinzani inakiukwa sana na viongozi.

Zamani ilikua kwa vya upinzani kamaUDP CUF NCCR NA TLP Ila sasa Ugonjwa huu unaitafuna Chadema na umeletwa na Dr Slaa.

Chadema itasambaratika ivi punde kama inawatu makin

Kweli dogo uko mtupu sana,but we should not blame you for this,but rather your parents who wasted their night that day to produce you,nadhani wangeenda hata BAR kupata mbili tatu ili huu uchafu usje duniani
 
Punguza hasira chambua hoja kwa fikra huru na data.

Katika Afrika Maraisi kutoka CCM PEKEE ndio ambao hawajawahi kuvunja katiba kwa kujiongezea muda wa kutawala kwa kukawiza au kuhairisha uchaguzi kwa sababu yoyote ile.

Kikubwa zaidi kufikiria kutaka kugombea tena baada ya awamu zao kupita ingawaje watanzania wengi huwa bado wanawataka.

Hivi si vitu vidogo kabisa wala vya kubeza kwani kwa uroho wa madaraka wa waafrika na kungekua hakuna democrasia ya kutosha haya yasingewezekana.
Sababu za kijinga kama za Dr slaa za kuhairisha uchaguzi hata kwa waroho wa madaraka zingekuwepo tu kama
1. Hakuna fedha
2. Bado anapendwa
3. Tujenge taifa kwanza democrasia inatugawa.
4. Kuna vibaraka wako upinzani wanataka kuchukua nchi waiuze
.
Wapinzani lazma wajue Democrasia ina hadhari zake anayechaguliwa na wengi ndiye huyohuyo na wasiepuke kabisa kwa kuogopa kuachia vyeo vyao.

Ila bahati mbaya democrasia ndani ya vyama vya upinzani inakiukwa sana na viongozi.

Zamani ilikua kwa vya upinzani kamaUDP CUF NCCR NA TLP Ila sasa Ugonjwa huu unaitafuna Chadema na umeletwa na Dr Slaa.

Chadema itasambaratika ivi punde kama inawatu makin

1: Wewe sio wa kwanza kuwa mtabiri,walikuwepo na wakapita

2:Suala la uchaguzi ni suala la kikatiba.Hizi spinning mnazofanya hazitasaidia,tafuta njia nyingine
 
we ni kichaa ni bora hata mzee wa gombe pole lkuvi.....
 
Kijana kama Ben Saanane umesomeshwa na kazi nzuri unayo serikalini ya ccm;
leo umesimama kidedea kutetea chama ambacho hakieleweki hivi haujisikii vibaya;

Kama mwenyekiti tu anaweza kuamua kutangaza muungano ambao hata ulikotokea
hakujulikani Ben Saanane umeona ufe na tai yako shingoni rudi nyumbani ili utunze heshima yako;

CCM itaendelea kuwa chama tawala Tanzania.
 
Last edited by a moderator:
chadema genge la watu waharifu wala siyo chama cha siasa wengi wao ni wauza na wengine ni wabakaji kama lema.
 
Kijana kama Ben Saanane umesomeshwa na kazi nzuri unayo serikalini ya ccm;
leo umesimama kidedea kutetea chama ambacho hakieleweki hivi haujisikii vibaya;

Kama mwenyekiti tu anaweza kuamua kutangaza muungano ambao hata ulikotokea
hakujulikani Ben Saanane umeona ufe na tai yako shingoni rudi nyumbani ili utunze heshima yako;

CCM itaendelea kuwa chama tawala Tanzania.

naungana na wewe kwa mawazo yako mtu kama ben ni wale wasiojitambua.
chadema mbowe anaweza kuwafanya chochote hakuna hata wa kuhoji ni chama cha mtu.
 
maccm kiama kinakuja 2015 ntaandika mengi sana ukweli utajulikana muda ukifika.
 
Kuitetea CCM unahitaji ujivue ufahamu na utu!halafu ujivike UNAFIKI na UWENDAWAZIMU!
 
1: Wewe sio wa kwanza kuwa mtabiri,walikuwepo na wakapita

2:Suala la uchaguzi ni suala la kikatiba.Hizi spinning mnazofanya hazitasaidia,tafuta njia nyingine

mchawi hujiamini sana kuwa yeye ni zaidi hata ya mungu lakini mungu akiamua hana mpinzani,
hata nyie chadema endeleeni kuamini kuwa mko sawa kwa chama kuwa chini ya mbowe na slaa mwisho majibu mtayapata tu.
 
chadema genge la watu waharifu wala siyo chama cha siasa wengi wao ni wauza na wengine ni wabakaji kama lema.
mkuu mbona umesahau kuwa ccm ni chama cha wala rushwa, wauza sembe, mafisadi na hata wapenda vya bure? Wabunge wengi wa ccm hawajachaguliwa na wananchi bali wamewahonga wananchi kwa pombe,wali, nyama, kanga na tshirt...
 
naungana na wewe kwa mawazo yako mtu kama ben ni wale wasiojitambua.
chadema mbowe anaweza kuwafanya chochote hakuna hata wa kuhoji ni chama cha mtu.
mbona mwigulu haojiwa kwa mauaji anayofanya? Pia hata tabia yake ya kuchukua wake za makada wenzake mbona ccm hawasemi kitu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom