Bado narudia kusema una ukweli mdogo sana ila umeupamba kwa uongo mwingi sana.kula za rika zote ni muhimu sana kwa CHADEMA. Ni makosa makubwa kujitathimini mafanikio kupitia uchaguzi wa madiwani ambao chadema walifika kila mtaa.
Je wataweza kufika kila mtaa uchaguzi mkuu 2015.
Nachosisitiza ni kati ya 25% ya watanzania wanaohudhuria mikutano ya hadhara vipi kuhusu wasiokuja kwenye mikutano hiyo. Ujumbe uwafikiaje au tuwabeze kuwa wajinga hao? Hawana akili maccm je itasaidia kuwabadili tafakari!!
*Kama Chadema waliweza kufika kila mtaa nina uhakika CCM walifika kila nyumba.
Wewe ulitaka CHADEMA wasifike kila mtaa halafu mwisho wa siku wananchi wawapigie kura hapo ndio uamini CHADEMA wanakubalika? You don't know politics but political gambling.
Walianza kusema CHADEMA ni chama cha kidini, kikabila, kikanda, cha msimu nk. Lakini sasa mambo yako tofauti kabisa, CHADEMA kimekuwa chama cha dini zote, makabila yote, kanda zote, wakati wote!!
Mkuu usikae humu mtandaoni pekee njoo uwanja wa mapambano(Ground field) uone namna kasi ya mabadiliko kupitia CHADEMA inavyokwenda vizuri.