CHADEMA bado mno Kupambana na CCM

CHADEMA bado mno Kupambana na CCM

Kwa hiyo ulitaka wawepo dodoma kwa ajili ya matumbu yako?

ile posho na mshara kwa mbunge ni malipo hivyo kutoa sehem ya pato lake si lazima ni mtu yoyote na ujira wake ulalamikaji mwingine ni dalili za ujinga na wivu!
 
Sioni umuhimu wa kupiga kura.

km ni under 18 sawa ila km ni above that hujielewi tafuta elimu ya uraia kwa bidii sana na km siko sahihi we ni m2 unayejielewa vema bas umekata tamaa, GET UP STAND UP!
 
akili yako ndo bado haijabalehe. fikiria tena kama unasaidia taifa au unaangamiza baada ya miaka 50
 
ile posho na mshara kwa mbunge ni malipo hivyo kutoa sehem ya pato lake si lazima ni mtu yoyote na ujira wake ulalamikaji mwingine ni dalili za ujinga na wivu!

Basi acheni kupiga kelele kwamba CCM wanafuja pesa za walipa kodi, bali semeni CCM na CDM wanafuja pesa za walipa kodi
 
Huu ni ukweli mchungu kwenye masikio ya wapinzani na ni furaha kuu kwa watanzania wengi wanaoipenda ccm na kuona inaongoza nchi hii karne na karne. Kia uchao wapinzani wanaporomoka, wanapoteza ushawishi, wanakatailwa na wenye nchi. Hii ccm sio ya kupuuzwa, ni taasisi yenye misingi imara na madhubuti mno kiuongozi na kimamlaka. Wapinzani ni dhaifu mno. Tanzania bila ccm haiwezekani.

Kila kona ya nchi watu ccm, ccm, ccm, ccm...hadi raha.
 
Hivi unauhakika na hicho unachosema kwamba kila sehemu ccm inazungumziwa( kuzungumziwa ni hatua, lakini je unazungumziwa kwa mazuri???)
 
Ki kwetu tunasema"unyanyala wiiwucha" maana yake ni "kususa ni kujiponza" ccm wanashangilia katiba ya zamani iendelee.
 
Hebu ondoa ushuzi wako hapa,tume ya uchaguzi mwenyekiti wenu,makamishina wenu,wakurugenzi wenu sasa unategemea nani atazuia wizi wa kura hapo?kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kuandika upuuzi kama huo uliosema eti ccm itatawala milele,.. ifweero
 
Last edited by a moderator:
Huu ni ukweli mchungu kwenye masikio ya wapinzani na ni furaha kuu kwa watanzania wengi wanaoipenda ccm na kuona inaongoza nchi hii karne na karne. Kia uchao wapinzani wanaporomoka, wanapoteza ushawishi, wanakatailwa na wenye nchi. Hii ccm sio ya kupuuzwa, ni taasisi yenye misingi imara na madhubuti mno kiuongozi na kimamlaka. Wapinzani ni dhaifu mno. Tanzania bila ccm haiwezekani.

Kila kona ya nchi watu ccm, ccm, ccm, ccm...hadi raha.


wenye akili tumekuelewa
 
Daaah kirahisi tu buku 7 inaingia. Ila na matusi nayo unayapata. Kwa kuandika huu ushuzi
 
Huu ni ukweli mchungu kwenye masikio ya wapinzani na ni furaha kuu kwa watanzania wengi wanaoipenda ccm na kuona inaongoza nchi hii karne na karne. Kia uchao wapinzani wanaporomoka, wanapoteza ushawishi, wanakatailwa na wenye nchi. Hii ccm sio ya kupuuzwa, ni taasisi yenye misingi imara na madhubuti mno kiuongozi na kimamlaka. Wapinzani ni dhaifu mno. Tanzania bila ccm haiwezekani.

Kila kona ya nchi watu ccm, ccm, ccm, ccm...hadi raha.

Mtumwa kwenye kizazi cha sasa...Bora ufe maana hauna faida!!
 
Tanzaniaaa tunatabiaaaa Mbayaa sanaa...Tunazomeaaa nini sasa
 
Back
Top Bottom