Fitinamwiko
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 4,803
- 1,416
Huu ni ukweli mchungu kwenye masikio ya wapinzani na ni furaha kuu kwa watanzania wengi wanaoipenda ccm na kuona inaongoza nchi hii karne na karne. Kia uchao wapinzani wanaporomoka, wanapoteza ushawishi, wanakatailwa na wenye nchi. Hii ccm sio ya kupuuzwa, ni taasisi yenye misingi imara na madhubuti mno kiuongozi na kimamlaka. Wapinzani ni dhaifu mno. Tanzania bila ccm haiwezekani.
Kila kona ya nchi watu ccm, ccm, ccm, ccm...hadi raha.
Chema chajiuza kabaya chajitembeza. Umasikini wa Watanzania umetokana na Uongozi mmbovu wa CCM