CHADEMA bado mno Kupambana na CCM

CHADEMA bado mno Kupambana na CCM

Kijana kama Ben Saanane umesomeshwa na kazi nzuri unayo serikalini ya ccm; leo umesimama kidedea kutetea chama ambacho hakieleweki hivi haujisikii vibaya; Kama mwenyekiti tu anaweza kuamua kutangaza muungano ambao hata ulikotokea hakujulikani Ben Saanane umeona ufe na tai yako shingoni rudi nyumbani ili utunze heshima yako; CCM itaendelea kuwa chama tawala Tanzania.
hata bibi alikuwa binti.mkuu mbona unajitekenya kwa hisia kali hivo?a
 
Last edited by a moderator:
Mleta mada umeleta jambo la msingi sana hapa jukwaani.

Ni kweli kwa Afrika, viongozi wa Tanzania wametekeleza demokrasia kwa kiwango kikubwa sana. Kwa hili tumapongeze.

Jambo ambalo linafanywa na wapinzani hasa CHADEMA kwa kung'ang'ania madaraka eti kwa kisingizo kuwa chama hakijaimarika ni ubakaji wa demokrasia na Watanzania wote tunapaswa kuwalaani viongozi wa aina hiyo.

Kauli ya Dr Slaa ni ya kupingwa na wapenda demokrasia wote.
 
Kijana kama Ben Saanane umesomeshwa na kazi nzuri unayo serikalini ya ccm;
leo umesimama kidedea kutetea chama ambacho hakieleweki hivi haujisikii vibaya;

Kama mwenyekiti tu anaweza kuamua kutangaza muungano ambao hata ulikotokea
hakujulikani Ben Saanane umeona ufe na tai yako shingoni rudi nyumbani ili utunze heshima yako;

CCM itaendelea kuwa chama tawala Tanzania.

kakojoe ukalale,utaendelea kuota ndoto za mchana,et demokrasia ndani ya ccm! mbona kichekesho? maccm yana mawazo mgando sana,badala ya kutekeleza ilani yao wao wanawaza cdm kufa tu? n.y.a.m.b.a.f.u.
 
Last edited by a moderator:
Punguza hasira chambua hoja kwa fikra huru na data.

Katika Afrika Maraisi kutoka CCM PEKEE ndio ambao hawajawahi kuvunja katiba kwa kujiongezea muda wa kutawala kwa kukawiza au kuhairisha uchaguzi kwa sababu yoyote ile.

Kikubwa zaidi kufikiria kutaka kugombea tena baada ya awamu zao kupita ingawaje watanzania wengi huwa bado wanawataka.

Hivi si vitu vidogo kabisa wala vya kubeza kwani kwa uroho wa madaraka wa waafrika na kungekua hakuna democrasia ya kutosha haya yasingewezekana.
Sababu za kijinga kama za Dr slaa za kuhairisha uchaguzi hata kwa waroho wa madaraka zingekuwepo tu kama
1. Hakuna fedha
2. Bado anapendwa
3. Tujenge taifa kwanza democrasia inatugawa.
4. Kuna vibaraka wako upinzani wanataka kuchukua nchi waiuze
.
Wapinzani lazma wajue Democrasia ina hadhari zake anayechaguliwa na wengi ndiye huyohuyo na wasiepuke kabisa kwa kuogopa kuachia vyeo vyao.

Ila bahati mbaya democrasia ndani ya vyama vya upinzani inakiukwa sana na viongozi.

Zamani ilikua kwa vya upinzani kamaUDP CUF NCCR NA TLP Ila sasa Ugonjwa huu unaitafuna Chadema na umeletwa na Dr Slaa.

Chadema itasambaratika ivi punde kama inawatu makin

Asante kwa maneno ya ukweli! Kile kibabu kinataka kufia madarakani ni mikoti yake mikubwa!
 
Mimi sikujua!
Kumbe kuiba kura ni demokrasia!!!
...
Sane people dought!

Punguza hasira chambua hoja kwa fikra huru na data.

Katika Afrika Maraisi kutoka CCM PEKEE ndio ambao hawajawahi kuvunja katiba kwa kujiongezea muda wa kutawala kwa kukawiza au kuhairisha uchaguzi kwa sababu yoyote ile.

Kikubwa zaidi kufikiria kutaka kugombea tena baada ya awamu zao kupita ingawaje watanzania wengi huwa bado wanawataka.

Hivi si vitu vidogo kabisa wala vya kubeza kwani kwa uroho wa madaraka wa waafrika na kungekua hakuna democrasia ya kutosha haya yasingewezekana.
Sababu za kijinga kama za Dr slaa za kuhairisha uchaguzi hata kwa waroho wa madaraka zingekuwepo tu kama
1. Hakuna fedha
2. Bado anapendwa
3. Tujenge taifa kwanza democrasia inatugawa.
4. Kuna vibaraka wako upinzani wanataka kuchukua nchi waiuze
.
Wapinzani lazma wajue Democrasia ina hadhari zake anayechaguliwa na wengi ndiye huyohuyo na wasiepuke kabisa kwa kuogopa kuachia vyeo vyao.

Ila bahati mbaya democrasia ndani ya vyama vya upinzani inakiukwa sana na viongozi.

Zamani ilikua kwa vya upinzani kamaUDP CUF NCCR NA TLP Ila sasa Ugonjwa huu unaitafuna Chadema na umeletwa na Dr Slaa.

Chadema itasambaratika ivi punde kama inawatu makin
 
Nimesoma matusi toka pande mbalimbali toka kwa wapenda mabadiliko wasiopendwa kupingwa. Inasikitisha sana na siwezi kuwatofautisha ata kidogo na Mwigulu Nchemba, Nape au Kigwangala.
 
kakojoe ukalale,utaendelea kuota ndoto za mchana,et demokrasia ndani ya ccm! mbona kichekesho? maccm yana mawazo mgando sana,badala ya kutekeleza ilani yao wao wanawaza cdm kufa tu? n.y.a.m.b.a.f.u.

Tujenge hoja bila kutukanana na kasfa
 
Tujenge hoja bila kutukanana na kasfa

Mkuu, ulichosema kuhusu ccm somewhat nakubaliana na wewe. Na ccm wakifuata maadili tuliyo kua nayo wakati niko mdogo, hayo tu yanatosha kuwaweka wapinzani pembeni. Shida ni kwamba ccm hakuna uwajibikaji sasa hivi. Kila kiongozi anaogopa kumfunga mwenzake kengele. Guess what? Wananchi wanaiona hiyo na ndio mtaji wa upinzani.

Uliyoyasema kuhusu upinzani, sidhani kuna ukweli wowote.
 
Chama imara kamwe hakiwezi kutegemea kubaki madarakani kwa kutumia vyombo vya dola na kutumia hila za umbambikiaji kesi za kigaidi ili kuchafua viongozi wa vyama vingine.
 
kutuma polisi warushe mabomu kwenye wa mkutano cdm kufungia magazeti kama mwananchi,mtanzania na mwanahalisi ndo democracia
 
Kwa hiyo vitaje vyama na nchi zake wanaong'ng'ania madaraka na si chadema au tlp au Cuf maana vipo tanzania na havijawahi kushika madaraka ili isemwe kuwa ni wang'ang'anizi. inayosifika ni tanzania si ccm ni viongozi kama Nyerere ambaye kimsingi ccm walitaka aendelee yeye akakataa. hata katibu mkuu wa CCM Kolimba alitaka mwinyi aendelee lakini Mwinyi akakataa. labda tuangalie mtu si chama
 
kuhonga tshirt,kanga, pilau,chumvi,sukari,vijipesa nyakati za chaguzi ndo demokrasia iliyopo ccm unayoiongelea? au unaongelea wizi wa kura na tumeccm kutangaza kwa msaada wa policcm walioshindwa uchaguzi kuwa ndo washindi? utakuwa umevurugwa si bure.
 
Ndugu wana JF,

Nitakachoandika hapa ni mtizamo wangu, na niko tayari kuelimishwa na kukosolewa maana hiyo ndiyo demokrasia.
Watanzania walio wengi wanapenda mabadiliko mema na ya tija kisiasa hapa Tanzania. Pia wamechoka na ukiritimba, rushwa, wizi wa mali za umma, ufujaji wa pesa za walipa kodi, kupeana vyeo na madaraka bila kujali vigezo husika nk.

Tulikuwa na mfumo wa chama kimoja kwa muda mrefu sana hivyo chama na serikali tawala walikuwa huru kufanya watakavyo bila ya kupingwa.

Ulipokuja mfumo wa vyama vingi vya siasa, wanasiasa wengi walianzisha vyama vya upinzani kwa malengo waliyoyajua wao wenyewe. Vyama vingi kati ya hivyo vilivyoanzishwa vimekufa ama vimezorota tokana na sababu mbalimbali.

Chadema bado kipo na ndicho kinaonekana kama ndiyo mpinzani wa CCM, huku kikiungwa mkono na watanzania wengi waliopigika kimaisha. Watanzania hawa wanaamini kupigika kwao kimaisha ni sababu ya kutawaliwa na CCM kwa muda mrefu. Kila jambo lililobaya ndani ya Tanzania wanailaumu CCM na serikali yake, kwa mfano kuzorota na kushuka kwa elimu, matibabu, wizi wa mali za umma, ufujaji wa pesa za walipa kodi nk.

Chadema ambacho kinaonekana ni matumaini ya wanyonge waliopigika kimaisha kimekuwa kinapiga kelele sana za kuilaumu CCM kwa kuwasababishia maisha magumu Watanzania, na pia kinaomba watanzania wakipe ruhusa ya kutawala Tanzania.

Kwa upande wangu naona CCM na Chadema vyote ni sawa, kwa maana kwamba yanayofanywa na CCM ndiyo yanayofanywa na Chadema.
Kwa kufafanua kidogo ni kwamba nilitegemea kwamba Chadema kama chama cha upinzani, chenye uchungu wa kweli na maisha ya watanzania kingekuja na utaratibu, mipangilio na utendaji tofauti kabisa na ule wa CCM.

Chadema wanasema CCM wanafuja pesa za walipa kodi, lakini Chadema ina wabunge wengi tu ndani ya bunge la Jamhuri. Sisi sote tunajua jinsi gani wabunge wetu wanavyokula pesa za walipa kodi, kuanzia mishahara mikubwa, posho za vikao na marupurupu kibao.

Nilitegemea wabunge wa Chadema wangelikataa kuchukua mishahara mikubwa, posho za vikao na marupurupu ili kuonesha kwamba wanalipinga hilo jambo kivitendo.

Kama walishindwa kuacha kuchukua huo mshahara mkubwa na posho za vikao basi nilitegemea wachukue hizo pesa na wazirudishe kwa watanzania. Wangeweza kutoa sehemu fulani ya mshahara wao kila mwezi na kuchanga pamoja ili kulisaidia jimbo moja la chadema katika ununuzi wa madawati, madawa nk. Kama kuna wabunge wa CDM 10 bungeni, wakachanga 2,000,000 kila moja utaona wazi kwamba wanaweza pata 20,000,000 kwa mwezi kwa ajili ya kusaidia jimbo moja la Chadema. Lakini sioni tofauti kati ya yale wafanyayo CCM na CDM. Wote wanachukua mapesa kujaza matumbo yao, wanachukua ma-VX, posho za vikao nk.

Tutawaamini vipi Chadema kama kweli wanataka kuwaletea watanzania mabadiliko iwapo nao wanatenda yaleyale wanayoyapigia kelele majukwaani?. Kweli tuna upinzani wa kisiasa Tanzania?, kwa mtazamo wangu naona mpinzani wa kweli bado hajazaliwa Tanzania.
 
Nyie watumikieni wananchi, acheni kutumia muda kibao kuwaongelea CDM as if CDM ndiyo watawala wa nchi hii.
 
chadema ni genge la wahuni wanaotumia kivuli cha chama cha siasa kuwatapeli watanzania wasiojielewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom