MikeGolles
Member
- Mar 31, 2012
- 73
- 9
Matapeli wafuasi tapeli mwenziwe Mbowe wameiuwa Arusha, maskini ilokuwa Geneva ya Africa, sifa yake kama Kosovo sasa
wanaiua Arusha ni CCM na kukumbatia ujangili, mimi business partner wangu amejitoa kwenye biashara sababu kubwa ni hawa wanasiasa wenu wameharibu Image ya nchi kwa kushindwa kuzuia mauaji ya tembo na faru au wao wenyewe kujihusisha na ujangili moja kwa moja