CHADEMA Arusha acheni kuzomea wanaovaa sare ya CCM

CHADEMA Arusha acheni kuzomea wanaovaa sare ya CCM

si bora ingekuwa kijiko msingezomewa,,, bil200 escrow,, bilioni nyingi za epa,, rada, dowans,iptl,ndege ya raisi, richmond.. wakati kashfa moja tu marekani ya watergate ilienda na raisi pamoja na watendaji wote,,,, sasa kwa nini msizomewe.. toa sababu kwa nini msizomewe???

na huo ni mwanzo tunakoeendea mtapigwa mpaka na mawe nyie na viongozi wetu,, ni suala la muda tu.... wale waliolala wameanza kuamka kidogo kidogo,,,, hongera sana wazomeaji!!!!

UPI NI UKOMAVU WA KISIASA KUZOMEWA WANA CCM AU KUIBA MALI YA UMMA....

lete ushahidi wa haya unayosema ndugu
 
Wanajamvi ,

Hiki kitendo sikukipenda wakati naelekea Singida kuungana na katibu wangu wa CCM ndugu Kinana, tukiwa ndani ya gari tumevaa sare zetu za chama maeneo ya Ol- Matejoo kuna vijana walipotuona wakaanza kutuzomea kama vile sisi ni wezi kitendo ambacho sio ukomavu wa demokrasia nchini.

Mosi tendo hili tuliambiwa na baadhi ya makada wenzetu wanaoishi Arusha imekuwa vigumu kwao kupita barabarani na sare ya CCM.

CHADEMA acheni hiyo tabia sio ukomavu kisiasa na sio dhambi kada CCM kuvaa sare ya chama.

Duh,kalaga baho! Wenzako hapa Dar wamekwisha sahau kuvalia nyumbani magamba yao! Wengi wao wanavaa wanapofika eneo la tukio,iliwasikose posho.Wachache wenye magari yao ndiyo utawaona wamevaa toka nyumbani.Pia hao wanakuwa wanasali gari lisijepata hitilafu kabla hajafika,maana itawabidi wavue kama watahitaji kusaidiwa!
 
mmaranguoriginal. acha uzandiki. Mimi niko Arusha miaka yote na kijana ndio mavazi yangu mara nyingi. Mbona sizomewi? Hizi propaganda za kitoto zikome.
Zomeeni na migomba na miti yote yenye rangi ya kijani.

Wewe acha Umbeya, ungekuwa Arusha watu wangeshakuzalisha na unalea watoto.
Huwezi kuwa na .... Kwa kiwango hicho alafu watu wakakuacha tu lazima ungekuwa unalea
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom