mmaranguoriginal. Acha uzandiki. Mimi niko arusha miaka yote na kijana ndio mavazi yangu mara nyingi. Mbona sizomewi? Hizi propaganda za kitoto zikome.
Zomeeni na migomba na miti yote yenye rangi ya kijani.
Wanajamvi , hiki kitendo sikukipenda wakati naelekea singida kuungana na katibu wangu wa ccm ndugu kinana tukiwa ndani ya gari tumevaa sare zetu za chama maeneo ya ol- matejoo kuna vijana walipotuona wakaanza kutuzomea kama vile sisi ni wezi kitendo ambacho sio ukomavu wa demokrasia nchini mosi tendo hili tuliambiwa na baadhi ya makada wenzetu wanaoishi arusha imekuwa vigumu kwao kupita barabarani na sare ya ccm.chadema achane hiyo tabia sio ukomavu kisiasa na sio dhambi kada ccm kuvaa sare ya chama
Njoo hapa stand au pita barabara ya garden rose.povu linakutoka intarahamwe wewe.mmaranguoriginal. acha uzandiki. Mimi niko Arusha miaka yote na kijana ndio mavazi yangu mara nyingi. Mbona sizomewi? Hizi propaganda za kitoto zikome.
Zomeeni na migomba na miti yote yenye rangi ya kijani.
Sasa una lalamika nini na mnajijua nyie ni wezi???ungefanya nini tungekuwa nje unaijua dola ya ccm au unatusikia tu usiingie kwenye mikono yetu utajuta
mmaranguoriginal. acha uzandiki. Mimi niko Arusha miaka yote na kijana ndio mavazi yangu mara nyingi. Mbona sizomewi? Hizi propaganda za kitoto zikome.
Zomeeni na migomba na miti yote yenye rangi ya kijani.
ungefanya nini tungekuwa nje unaijua dola ya ccm au unatusikia tu usiingie kwenye mikono yetu utajuta
ungefanya nini
tungekuwa nje unaijua dola ya ccm au unatusikia tu usiingie kwenye
mikono yetu utajuta
mmaranguoriginal.
acha uzandiki. Mimi niko Arusha miaka yote na kijana ndio mavazi yangu
mara nyingi. Mbona sizomewi? Hizi propaganda za kitoto zikome.
Zomeeni na migomba na miti yote yenye rangi ya kijani.
bado kupopolewa kwa mawe!
Nasikia na Mwanza wanataka kuanza kuzomea
Wanajamvi ,
Hiki kitendo sikukipenda wakati naelekea Singida kuungana na katibu wangu wa CCM ndugu Kinana, tukiwa ndani ya gari tumevaa sare zetu za chama maeneo ya Ol- Matejoo kuna vijana walipotuona wakaanza kutuzomea kama vile sisi ni wezi kitendo ambacho sio ukomavu wa demokrasia nchini.
Mosi tendo hili tuliambiwa na baadhi ya makada wenzetu wanaoishi Arusha imekuwa vigumu kwao kupita barabarani na sare ya CCM.
CHADEMA acheni hiyo tabia sio ukomavu kisiasa na sio dhambi kada CCM kuvaa sare ya chama.
Kwa hapa Mwanza ni aibu mtu kuvaa hizo sare za majangili na lazima utazomewa tu!
Pointless. Intarahamwe jitabue dada yangu.Kama mna allergy na rangi ya kijani. Zomeeni na miti ili tujue mmeshakuwa wehu moja kwa moja.