William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,792
- 2,421
Ni very easy; ni suala la kuanzisha kituo kila baada ya km 150 (KAS/MASH/KUS/MAGH). Tanzania ina kama km za mraba 945,000. Kwa maana hiyo vitatakiwa kuanzishwa vituo 945,000/150 = 6,300!
Hapo ukizidisha na hiyo gharama (ya chini) anayo-propose mleta mada, jumla unapata kama 504,000,000,000 (bilioni 504) tu. Nadhani iko ndani ya uwezo.
kaka ulipata f Ya hesabu yani ata hiyo ya mzingo na maeneo fanya hivi mnara moja
km 150 kutoka kwenye nnara ni sawa na na kilometa za eneneo za duara lenye radiusi au nusukipenyo cha km 150
yani nnara mmoja utafikisha matangazo kwenye
22/7 *150*150= 70714.2km za eneo
945,000/70714.2 = 13.4 ~15
15*80=1.2 bilioni yani kama asilimia ka 65 ya garama za kampeni ya dr slaa mwaka 2010
tupeni na garama ya kuanzisha gazeti tukokotoe