tartoo
Senior Member
- Jul 2, 2010
- 129
- 2
Toa sababu vinginevyo.........................hujui unaloliongea au linaloongelewa...................
Crapppp!!!!! It does not hold water, simple as that...the good thing is, you too know to be so.
Toa sababu vinginevyo.........................hujui unaloliongea au linaloongelewa...................
Fahamu kuwa kuiacha mahakama wakati una ushahidi wa dhuluma ni kuhalalisha dhuluma.................Ipe nafasi mahakama kuondoa dhuluma na ishindwapo basi unakuwa na sababu kubwa zaidi ya kudai marekebisho hata ya muundo wa kimahamakama.............
Jambo usilolijua ni sawasawa na usiku wa gizaChadema hawana jema wala hawana cha kuibiwa kura. Wameona wameshindwa kwa kishindo, kwani wao walikuwa na uhakika kabisa wa kushinda, sasa roho zinawauma wanatafuta mbinu za kupakaza, hatujaona ushahidi wowote walioueleza au kufikisha suala hili mahakamani. Wanachofanya ni kuburuzwa tu na Mbowe, wabunge wa Chadema wengine, wenye muono, wameona ni upuuzi na wakasusa hata kuingia Bungeni.
What we asking from Chadema is leadership but not a bunch of endless complaints
Jambo ambalo ningependa ufahamu ni kuwa Rev. Mtikila ni kweli alishinda hiyo kesi na hata mahakama ya Rufaa ilikiri katika hitimisho lake kuwa mgombea binafsi ni haki ya kimsingi na serikali ni lazima ilishughulikie kwa sababu nchi hii yaendeshwa kwa misingi ya kidemokrasia................Rev. Mtikila kama hangekwenda mahakamani hayo maangalizo ya kimahakama yasingelikuwepo...............Jaji Mkuu alichokifanya pale ni kumsaidia JK kusiwepo wagombea binafsi katika uchaguzi huu wa 2010 lakini kwa uchaguzi wa 2015 wagombea binafsi watakuwepo........................na hata Rev. Mtikila anawashauri Chadema waende mahakamani na wasipofanya hivyo watakuwa wameliangusha taifa zima........
Ni vyema tusikie mahakama itasema nini kuhusu hiyo Ibara inayokataza matokeo ya Uraisi yaliyotangazwa na NEC inakitafsiri vipi...............hususani kama kuna ushahidi NEC haikufuata sheria katika kumtangaza JK kuwa Raisi wa JMT kwa kujitungia matokeo ya kura waliyoyataka wenyewe..........
Kila kesi ina mazingira yake na siyo vyema kutoa maangalizo ya kiujumla kuwa ni lazima yatajitokeza katika kila kesi ya kisiasa............ni vyema wakaenda huko na tujue walikwama wapi..........................na hasa tukiamini safari ushahidi wanao tofauti na kesi za uchaguzi za miaka iliyopita............
Chadema wajifunze kutoka kwa Besigye wa Uganda ambaye amekuwa wakipata ushindi mwingi dhidi wa Yoweri Museveni ambo unachangia kuweka chaguzi za huko kuwa na hafueni ya uhuru na haki zaidi..........Hii ni mbali ya ukweli kuwa mahakama zipo chini ya himaya ya Museveni kama hapa.........
Chadema tumewachagua kutuwakilisha bungeni na wala siyo vinginevyo......wasipokwenda bungeni kwa visingizio vyovyote vile hapo watakuwa wanamkomoa mpigakura na wasifikiri tutawachagua tena........................next time tutakaa nyumbani na wacha hao CCM waendelee kututesa maana yawezekana kabisa taifa hili Mwenyezi Mungu kalilaani................
Kama Chadema wana ushahidi wa ya kuwa kura za vituoni zinatofautiana na zile ambazo NEC ilizitangaza sasa ni nini kinawazuia kulalamika mahakamani? Hicho kiji-Ibara cha katiba cha kuzuia matokeo ya kura za Uraisi yaliyotangazwa na NEC kuhojiwa mahakamani msikisome kijuu juu tu........Hakizuii hoja za kimsingi kusikilizwa na mahakama zetu na huo ni msimamo wao wa tangu mwaka 1995........Kumbukeni kazi ya kutafsiri sheria ni ya mahakama......nendeni huko mkadai haki yenu na kama mahakama ikikataa kuwasikiliza sasa ndiyo mrudi kwetu na hapo tutajua ya kuwa hata mahakama zinadi ukarafati mzito..
Katiba yetu iliweka dhana ya kuwa matokeo yaliyotangazwa na NEC kulingana na taratibu za kisheria ndiyo tu ambayo mahakama haiwezi kuyahoji lakini katiba yetu haikukusudia ya kuwa NEC wavunje sheria za uchaguzi katika kuyatangaza matokeo hayo na mahakama zinapolalamikiwa zikae kimya........................la hasha.................siyo hivyo hata kidogo........
Madai ya chadema kama yana ushahidi ni lazima yafikishwe mahakamani na hoja ya muhimu ni kuwa NEC haikufuata sheria ya uchaguzi na taratibu zake kwa kuyadharau matokeo ya kura kama zilivyopigwa na wananchi na wao kujitangazia matokeo wayatakayo tu wenyewe.........................Mahakama ikipata ushahidi wa kutosha na kuridhika itayatengua matokeo ya Uraisi kwa sababu hayakuheshimu ridhaa ya wapigakura.....................
Nje ya kuufuata utaratibu huu wa kisheria Chadema nasema acheni kutuchezea watu wazima na nendeni bungeni mkafanye kazi tuliyowatuma kama hamtaki semeni na chaguzi za majimbo mliyoshinda zirudiwe na wanaotaka kutuhudumia hata kama ni kutudhulumu wache wafanikiwe kwenye malengo yao.....................
What we asking from Chadema is leadership but not a bunch of endless complaints
Katika historia ya nchi hatujawahi kupata changamoto kama hii ya Chadema na itakuwa ni makosa ya kihistoria kama Chadema wataihukumu mahakama bila ya kuwapa nafasi ya kuyatolea maamuzi malalamiko yao..............Ushahidi wa kimsingi wote wanao...........sasa wasizihukumu mahakama zetu kwa njia hiyo.....................hii kesi itaiweka mahakama nayo kizimbani.........raia tutapenda kuona kama mahakama zaweza kutenda haki na zikishindwa hiyo ni hoja nyingine ya kuzirekebisha mahakama hizo...............Let us test our judicial system before we pass an adverse judgment against them.................
Katika historia ya nchi hatujawahi kupata changamoto kama hii ya Chadema na itakuwa ni makosa ya kihistoria kama Chadema wataihukumu mahakama bila ya kuwapa nafasi ya kuyatolea maamuzi malalamiko yao..............Ushahidi wa kimsingi wote wanao...........sasa wasizihukumu mahakama zetu kwa njia hiyo.....................hii kesi itaiweka mahakama nayo kizimbani.........raia tutapenda kuona kama mahakama zaweza kutenda haki na zikishindwa hiyo ni hoja nyingine ya kuzirekebisha mahakama hizo...............Let us test our judicial system before we pass an adverse judgment against them.................
Ruta,
Vipi umepata supu au chai na kitafunwa asubuhi ya leo? maana naona ghafla umebadilika na kuanza kuongea kama mtu aliyekata tamaa!!:target:
Tambua hawa viongozi wa CDM wanaelewa fika matatizo ya mahakama zetu mfano, Rev. Mtikila alishinda kesi ya mgombea binafsi lakini hadi leo jamaa wanacheza delay tacs, unakumbuka mapendekezo ya Judge Nyalali juu ya vifungu kama 50 hivi vya katiba vinavyotakiwa kubadilishwa lakini hadi leo jamaa wanacheza delay tacs.
CCM wanapenda sana pale vyama vya upinzani vinapoenda mahakamani maana inakuwa ni rahisi kwa wao kuchezea maamuzi ya mahakama. Suluhisho la matatizo tuliyonayo kwa sasa kamwe halitapatikana mahakamani bali ni kwa kupitia njia mubadala!
Kutosikiliza hotuba ya Mkwere ni mwanzo tu lakini nina hakika kuna mengi yako jikoni yanapikwa, (kwanza hata mimi ningekuwa mbunge wa Ki-Jani siku ile either ningesinzia kwa makusudi au ningemwomba Spika ruksa ya kutoka kiana kusingizia ka-ugonjwa hotuba ya Mkwere ilikuwa ina-bore!).
Tatizo ninaloliona hapa Jamvini ni kwa sisi wanajamvi kukosa uvumilivu ama kutaka kuchanganua na kutolea maamuzi kila kitu bila kujali timing yake...
Chadema tumewachagua kutuwakilisha bungeni na wala siyo vinginevyo......wasipokwenda bungeni kwa visingizio vyovyote vile hapo watakuwa wanamkomoa mpigakura na wasifikiri tutawachagua tena........................next time tutakaa nyumbani na wacha hao CCM waendelee kututesa maana yawezekana kabisa taifa hili Mwenyezi Mungu kalilaani................
Kama Chadema wana ushahidi wa ya kuwa kura za vituoni zinatofautiana na zile ambazo NEC ilizitangaza sasa ni nini kinawazuia kulalamika mahakamani? Hicho kiji-Ibara cha katiba cha kuzuia matokeo ya kura za Uraisi yaliyotangazwa na NEC kuhojiwa mahakamani msikisome kijuu juu tu........Hakizuii hoja za kimsingi kusikilizwa na mahakama zetu na huo ni msimamo wao wa tangu mwaka 1995........Kumbukeni kazi ya kutafsiri sheria ni ya mahakama......nendeni huko mkadai haki yenu na kama mahakama ikikataa kuwasikiliza sasa ndiyo mrudi kwetu na hapo tutajua ya kuwa hata mahakama zinadi ukarafati mzito..
Katiba yetu iliweka dhana ya kuwa matokeo yaliyotangazwa na NEC kulingana na taratibu za kisheria ndiyo tu ambayo mahakama haiwezi kuyahoji lakini katiba yetu haikukusudia ya kuwa NEC wavunje sheria za uchaguzi katika kuyatangaza matokeo hayo na mahakama zinapolalamikiwa zikae kimya........................la hasha.................siyo hivyo hata kidogo........
Madai ya chadema kama yana ushahidi ni lazima yafikishwe mahakamani na hoja ya muhimu ni kuwa NEC haikufuata sheria ya uchaguzi na taratibu zake kwa kuyadharau matokeo ya kura kama zilivyopigwa na wananchi na wao kujitangazia matokeo wayatakayo tu wenyewe.........................Mahakama ikipata ushahidi wa kutosha na kuridhika itayatengua matokeo ya Uraisi kwa sababu hayakuheshimu ridhaa ya wapigakura.....................
Nje ya kuufuata utaratibu huu wa kisheria Chadema nasema acheni kutuchezea watu wazima na nendeni bungeni mkafanye kazi tuliyowatuma kama hamtaki semeni na chaguzi za majimbo mliyoshinda zirudiwe na wanaotaka kutuhudumia hata kama ni kutudhulumu wache wafanikiwe kwenye malengo yao.....................
What we asking from Chadema is leadership but not a bunch of endless complaints
Crapppp!!!!! It does not hold water, simple as that...the good thing is, you too know to be so.
SOMA HAPA ALAFU MUOMBE INVIZIBO AFUTE THREAD YAKO, Kwa kuwa ni ya HOVYO.
Katiba Ya Jamuhuri ibara =41(7) Iwapo mgombea ametangazwa na Tume ya Uchaguzi (NEC) kwamba amechaguliwa kuwa Rais kwa mujibu wa ibara hii, basi hakuna Mahakama yoyote itakayokuwa na mamlaka ya kuchunguza kuchaguliwa kwake.
Hapa sio KUPINGA MATOKEO TU ya URAIS. Katiba inakataza HATA KUCHUNGUZA, Kuchunguza tu NI UMEKIUKA KATIBA, Ni kosa.
Mtoa hoja nawe ni kilaza,
Unapoishitaki NEC, MAHAMANI KUHUSU KUCHEZEA MATOKEO YA URAIS, ina maana katika kupeleka USHAHIDI MAHAKAMANI unahusisha UCHUNGUZI!!!
Hakuna ushahidi usio na UCHUNGUZI. wakati huo KESI iliyopo mahakamani ni kuishitaki NEC, kwa kuchezea KURA ZA WANANCHI kwa upande wa RAisi.(kumbuka hadi sasa CHADEMA wao ni ishu ya Matokeo ya Urasi, sio ubunge wala udiwani)
Huyo jaji anaesikiliza HIYO kesi utakayofungua(maana CDM hawawezi kupoteza muda wakati njia zingine zipo) AMETEULIWA NA NANI? Labda nifafanulie na hapa.
Kama ni huyo ndugu yako Augostino Ramadhani, alishajishushia heshima kwenye kesi ya Mgombea binafsi zamaaaaaani, yeye na wenziwe.
Hoja ambayo huioni ni kuwa JK alichaguliwa au alisimikwa na NEC na je wanayo mamlaka ya kufanya hivyo? Mgogoro huu ninaouelezea mimi siyo kuhoji kuchaguliwa kwake kwa sababu hatukumchagua sisi sasa mahakama itachunguzaje mtu ambaye hatukumchagua na vielelezo vya ushahidi vipo...........................ila mahakama inao uwezo wa kuchunguza kama NEC inayo mamlaka ya kutofuata sheria za uchaguzi na kujifanyia shughuli zake watakavyo.............na ninakuhakishia haya maswali yataharakisha kuvunjwa kwa NEC kuliko hizo jitihada zinazofanyika nje ya sheria hizi zilizopo hata kama zina mapungufu.........jamani this is too obvious to me..........but now I have to appreciate what is common sense to me may not always be common to everybody....................UMEISOMA HII IBARA YA 41(7) au unaandika tu? nakuwekea hapa kwa faida yako na wengine kama wewekuchunguza kuchaguliwa kwake.
41 (7) Iwapo mgombea ametangazwa na Tume ya Uchaguzi
kwamba amechaguliwa kuwa Rais kwa mujibu wa ibara hii, basi
hakuna Mahakama yoyote itakayokuwa na mamlaka ya
Rutashubanyuma we utachangia shilingi ngapi kesi ikienda mahakamani au wakili yupi utamlipa asimamie kesi unayojua majibu yake dhahiri.