Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,187
- 671
Habari Zilizoenea Ni Kuwa Waasi Wa Serikali Ya Chad Wakitokea Magharib Mwa Sudan Wameingia Mji Mkuu Wa Chad Ndjamena Na Wanaelekea Ikulu Na Rais Wa Nchi Hiyo Idris Deby Ameshakimbia Nchi.
Habari Hizi Nimezipata Kwenye Bbc.
Jamani Afrika Tunaelekea Wapi?
Jee Mheshimiwa Kikwete Ataweza Kusaidia Kutatua Hali Hii Wakati Kenya Bado Maji Hayajakauka Haya Mengine Yanamwaika?
Afrika Tuwe Pole, Halafu Nijuavyo Serikali Ya Chad Ina Mkataba Na Ufaransa Wa Ulinzi Sasa Hawa Wafaransa Wako Wapi?
Habari Hizi Nimezipata Kwenye Bbc.
Jamani Afrika Tunaelekea Wapi?
Jee Mheshimiwa Kikwete Ataweza Kusaidia Kutatua Hali Hii Wakati Kenya Bado Maji Hayajakauka Haya Mengine Yanamwaika?
Afrika Tuwe Pole, Halafu Nijuavyo Serikali Ya Chad Ina Mkataba Na Ufaransa Wa Ulinzi Sasa Hawa Wafaransa Wako Wapi?