Cha kufanya siku ya 5/2/2011

Another Idea kama atapatikana msanii / wasanii wakaitisha show ya maombolezo (bure...) katika kiwanja cha wazi chochote.... hii inaweza ikaleta attention kubwa..., ila promotion inabidi ianze mapema ili watu wajue.
 
Another Idea kama atapatikana msanii / wasanii wakaitisha show ya maombolezo (bure...) katika kiwanja cha wazi chochote.... hii inaweza ikaleta attention kubwa..., ila promotion inabidi ianze mapema ili watu wajue.

Yes...ushauri muafaka kabisa..hii itavutia wa2 wengi kwenda kwny eneo la 2kio, na hivyo kupewa ujumbe mzito kabla hawajastuka...kuna mambo kadha wa kadha yanaweza kufanywa kutokana na kutofautiana maeneo, na yakaleta hisia zilizotarajiwa.
 
Ni sawa kabisa ila wana JF wawe mbele ili kama risasi za moto zitatumika itupate sisi kwanza na sio kuwajaza jazba wamachinga wanakufa hata hitma yao hamkumbuki. Je familia za waliokufa kwenye vurugu wamefuatiliwa kupewa msaada wowote wakati ndio umekuwa mtaji?
Mawazo kongwe haya!
Broda bado sana uko kwenye kongo la utumwa wa fikra!..nathubutu kukuita kuwadi wa wazungu-weusi ambaye unafaidika na unyonyaji na ukandamizaji wa raia!
Hujajitafutia taarifa zozote zinazohusu waathirika wa arusha, matokeo unaongea kwa hisia wakati kinachotakiwa hapa ni ushahidi!...
Harakati zako ziko ukingoni!
 
Ni kuandaa kongamano la vijana kupinga mambo mbalimbali ya kidhalimu eg. Malipo ya dowans, ubabe wa polisi, ufisadi na kadhalika. Namuuliza huyu BABA T ndio baba tina au huyu ni mwingine?

Yup..
Hii pia ni approach ya aina yake..Ili mradi kuwasilisha hisia zetu kwa jamii inayotuzunguka..
Hii inaenda hadi kwenye level ya mtu mmmoja mmoja...
 
maandamano hadi kibali kitolewe. Kibali kitapatikana kweli?

Husninyo,
Maandamano hayahitaji kibali...
Waandamanaji wanatakiwa kutoa taarifa tu kwa polisi juu ya kusudio la kuandamana, yatosha!
 
Tuandae special thread kulaani verbal diarhoea za vingozi wa chama na serikali ya CCM katika mambo ya msingi ambayo tunayadai lakini wao wanapuuza kwa kukaa kimya au kutuambia hizo ni kelele za wapinzani, kila mmoja wetu pale alipo awaelimishe wenzaki juu ya haki zao za msingi, wajibu wao kwa umma na wajibu wa serikali kwao.

Tujisomee, tujadili na tutafakari namna ya kuwajibika na kuiwajibisha Serikali ya kikwete. Tujiitenge kimtazamo na aina ya maisha na mafisadi, tuwasaidie wenzetu. Na wale Wazee wakituambia kwamba Kudai KATBA MPYA tusiwe na haraka sisi tuwaulize WAKATI WAO WANADAI UHURU BABU ZAO WALIWAAMBIA WASIWE NA HARAKA ?

Tuwakumbushe CCM kuwa 'Verbal Diaorhoea Dehydrates Human Dignity':sick:
 
Tuandae special thread kulaani verbal diarhoea za vingozi wa chama na serikali ya CCM katika mambo ya msingi ambayo tunayadai lakini wao wanapuuza kwa kukaa kimya au kutuambia hizo ni kelele za wapinzani, kila mmoja wetu pale alipo awaelimishe wenzaki juu ya haki zao za msingi, wajibu wao kwa umma na wajibu wa serikali kwao.

Tujisomee, tujadili na tutafakari namna ya kuwajibika na kuiwajibisha Serikali ya kikwete. Tujiitenge kimtazamo na aina ya maisha na mafisadi, tuwasaidie wenzetu. Na wale Wazee wakituambia kwamba Kudai KATBA MPYA tusiwe na haraka sisi tuwaulize WAKATI WAO WANADAI UHURU BABU ZAO WALIWAAMBIA WASIWE NA HARAKA ?

Tuwakumbushe CCM kuwa 'Verbal Diaorhoea Dehydrates Human Dignity':sick:
Mkuu, uko sawa, na nakuunga mkono!
Kuna wenzetu ambao watakuwa hapa jamvini kwa siku nzima, hivyo nao kwa kupitia thread hiyo wapate nafasi ya kutoa kauli zao za kulaani mfumo wa mambo unavyoendeshwa sasa, kwa kuangalia sherehe zilizoandaliwa na hawa wenzetu, ambazo kwa hakika ni za wakulima na wafanyakazi!
 
unajua hii kitu ikifanyika vizuri.., jambo dogo linaweza lika-attract attention..., mfano wanavyuo / machinga na waendesha pikipiki, makonda wakivaa nguo nyeusi au kitambaa cheusi na wakaendelea na shughuli zao kama kawaida hii inaweza ikavuta media attention.....
VOR naona hiyo itakuwa mahali pake. PJ hapo pia umenena, sasa tutafute jinsi ya kuhamasisha watu iwe kupitia media, mabango, mbiu ili waunge mkono hayo maandamano na hatua za kuonyesha kuwa tunatawaliwa na chama mfuu!!!!!!!!!!!!
Inabidi huu ujumbe ufike kwa partisan political parties, makundi ya wanyonge wote, waendesha pikipiki, tax, wamachinga wote, kina mama makundi mbali mbali, wasomi kwenye mashule na taasisi zingine za harakati za kujikomboa. Uwekwe utaratibu wa ujumbe kuwafikia watu wote wana mageuzi.Ukombozi ni sasa tuanze!!!!!!!!!!!!!
 
Siku hiyo tuadhimishe MWEZI MMOJA BAADA YA MAUAJI YA KINYAMA YA ARUSHA. Watu wote wapenda mageuzi tuvae nguo za maombolezo na tufanye shughuli za kujitolea ili kuwasaidia wenye shida.
 
VOR naona hiyo itakuwa mahali pake. PJ hapo pia umenena, sasa tutafute jinsi ya kuhamasisha watu iwe kupitia media, mabango, mbiu ili waunge mkono hayo maandamano na hatua za kuonyesha kuwa tunatawaliwa na chama mfuu!!!!!!!!!!!!
Inabidi huu ujumbe ufike kwa partisan political parties, makundi ya wanyonge wote, waendesha pikipiki, tax, wamachinga wote, kina mama makundi mbali mbali, wasomi kwenye mashule na taasisi zingine za harakati za kujikomboa. Uwekwe utaratibu wa ujumbe kuwafikia watu wote wana mageuzi.Ukombozi ni sasa tuanze!!!!!!!!!!!!!

Mkuu Mtumishi wetu,
Kwa eneo tunaloishi kazi hii kwa asilimia kubwa ishafanywa na wazalendo, wewe mwenyewe ni shahidi(i know you well)!...Wanasubiri tu kuona siku hiyo binadamu wenye roho ngumu wakiingizwa kwenye historia ya dunia..ha ha haaa!
Kwa taarifa tu ni kwamba hivi sasa tunaongea, WALIMU tayari wamezingira jengo la Halmashauri, wanadai haki zao, ambapo wanasema hawatakubali hela hizo apewe Rostam, wakati wao ni waajiriwa sahihi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!

 
andamana uione cha mtema kuni kudadadeekiiii hatutaki vurugu sisi ziishie hukohuko mkaskazini
Mkuu this can be done peacefully (kama unakumbuka Gandhi alichofanya yeye aliamua kuvaa shuka kugoma kununua nguo za wakoloni) Sasa hata watu wasipoandamana kama wakifanya mgomo baridi wa kuvaa labda vitambaa vyeusi na kuendelea na kazi zao..., au wasani wakiitisha show ya bure ya maombolezo siku hiyo...., watu watanotice na media coverage itakuwepo kwamba watu hawaridhiki
 
Siku hiyo tuadhimishe MWEZI MMOJA BAADA YA MAUAJI YA KINYAMA YA ARUSHA. Watu wote wapenda mageuzi tuvae nguo za maombolezo na tufanye shughuli za kujitolea ili kuwasaidia wenye shida.
New approach to present the grievances...
Nia ni moja tu, tuonyeshe tofauti, na kutoa ujumbe kwamba kuna means nyingi tu, na wala si moja inayojiita Nambari wani!
 
February 5th, 2011 let it be the historical day!
It will broda, coz nimeona pia matangazo ya ITV, siku ya tarehe hiyo kutakuwa na kongamano chuo kikuu UDSM kuhusu azimio la Arusha, na mkongwe Issa Shivji na wataalamu wengine watakuwa live ITV wakitazama legacy na hatima yake ...Ni ishu full!
 
Mauaji ya Arusha ni indication tosha kuwa another history has already been made in Arusha; kwamba by using whatever means we will show that we oppose all forms of oppression, injustice, bad leadership, corruption and embezzlement of our resources by few people...through NATIONAL LAMENT; tusitoke, tuvae BLACK wherever we are; kama kuna msanii anaweza kutnga wimbo wa kuomboleza that will be good; tukae kwenye forum hii na kuandika yote tunayoona hayafai na yanahitaji UNCOMPROMISING CHANGE na mambo kadha wa kadha, each one of us can make a difference, tusiangalie fulani afanye, it has to be me and you....ujumbe lazima utafika, na tena wengine tumeshaanza kuwaambia wale ambao hawaingie kwenye forum hii...what to do na tuendelee kuwahamasisha wengi...PEOPLES POWER ALWAYS
 
Back
Top Bottom