Cha asubuhi sitaki, labda akaoge kwanza

Cha asubuhi sitaki, labda akaoge kwanza

Hivi huyu naye anawaza kuolewa? Huu usasa unawaharibu mabint.....kamuulize vizuri bibi yako na mama yako walivyoshi na waume zao.
 
Kule kwetu wanavyofundwa wanaambiwa usimnyime cha asubuhi hata siku moja.
 
Ukipiga mswaki kabla ya kulala unaamka mdomo ukiwa shwari kabisa. Unatoka jasho usiku kwani unalala kwenye banda la kuku lenye joto? Mafeni yote haya.....hata AC ikinishinda
 
Kwani mkuu ukilala usiku huogi? Kama unaoga hilo jasho linatoka wapi? Au unatumika msukule? Binafsi sisi kabla ya kulala tunaosha kinywa vizuri na kuoga, then tunakunywa maji ya vuguvugu na kikombe cha tangawizi, ukiamka asubuhi hakuna cha harufu ya kinywa wala jasho, sasa napata shida na wewe mtoa post, kuanzia leo oga na osha kinywa kabla ya kulala na asubuhi mtafurahia mgegedano na denda la maana
 
Atakaye kuoa akiyajua haya, ataghairisha!! Chunga mdomo bibie
 
Balimi na chibuku ndiyo mle mle tu mkuu. Moja haina TBS nyingine ina TBS. Lkn ni kitu mile kile
Siku hizi kuna banana na faru
IMG_20171204_195707.jpg
 
Udenda na mijasho yote iliyotiririka usiku kucha halafu asubuhi aanze kunilalia? Mswaki hajapiga, harufu mbaya inatoka kinywani halafu aanze kunipumulia mimi? Sitaki.

Akitaka akaoge, apige mswaki ndipo aombe show. Vinginevyo No! Sitaki karaha mimi. Wanaosema mapenzi ni uchafu acha wao wavumilie, mimi kwangu mapenzi ni usafi.
Kwa hiyo wewe usiku haitoki jasho.wala asubuhi unuki kinywa.yanayotokea kwake ndio yanayotokea kwako.huna upendo wa kweli.
 
Ukisikia matapeli au fisadi wa ndoa ndo hawa

Huyu hajuwi kuolewa, hajaolewa na hajikuolewa

Ndoa au kuolewa ataishia kusikia hewani tu

Ndoa sio lelemama au maigizo ni shughuli pevu
It seems
 
Hivi huyu naye anawaza kuolewa? Huu usasa unawaharibu mabint.....kamuulize vizuri bibi yako na mama yako walivyoshi na waume zao.
Mawazo mgando haya. Basi tembea uchi maana mababu zetu walikuwa hawavai nguo. Usafi na akina bibi wapi na wapi?
 
Mawazo mgando haya. Basi tembea uchi maana mababu zetu walikuwa hawavai nguo. Usafi na akina bibi wapi na wapi?
Babu yako alikua havai nguo? Huyo hakuvaa nguo hata undugu na wewe hana. Namzungumzia bibi yako aloyemzaa mama yako na mama yako aliyekuzaa wewe. Hao ndio kawaulize, kama hao hawakuvaa nguo basi hatuna haja ya kujadili chochote hapa.
 
Kwa hiyo wewe usiku haitoki jasho.wala asubuhi unuki kinywa.yanayotokea kwake ndio yanayotokea kwako.huna upendo wa kweli.
Kuwa na upendo haina maana ya kuvumilia uchafu. Mm uchafu kwangu mwiko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom