Cha asubuhi sitaki, labda akaoge kwanza

Cha asubuhi sitaki, labda akaoge kwanza

Mdomo kunuka kwani ni shida mbona nyie tunawavumilia sana kwenye Sambusa zenu?
 
Kuwa na upendo haina maana ya kuvumilia uchafu. Mm uchafu kwangu mwiko
Okk nimekuelewa tatizo Mme wako kumbe ni mchafu cha msingi kwa maslahi ya ndoa yako unaweza kumbadilisha akawa msafi.akawa ananukia usiku kucha.mnunulie shampuu za kuogea.ili uwe huru mpaka kunyonya mic.pia inaonekana una kinyaa sana.
 
Babu yako alikua havai nguo? Huyo hakuvaa nguo hata undugu na wewe hana. Namzungumzia bibi yako aloyemzaa mama yako na mama yako aliyekuzaa wewe. Hao ndio kawaulize, kama hao hawakuvaa nguo basi hatuna haja ya kujadili chochote hapa.
Sasa ndo unataka mambo waliofanya wao yafanyike enzi hizi. Not me! Find someone else of your type and calibre.
 
Ule uvundouvundo wa asubuhi wa mwenza wako, uwe wa mdomoni, kwapa au ukeni...ni suna kwanu!
 
Mdomo kunuka kwani ni shida mbona nyie tunawavumilia sana kwenye Sambusa zenu?
Huyo uliyempata endelea naye. Maana mtu wa type yangu naweza kukuacha siku ya fungate. Sivumiliagi uchafu ama harufu mbaya mm.
 
Kumbe wewe ukilala hutoi jasho, hunuki mdomo,hutoi udenda!!! Sio anakulalia ni mnalaliana, ndege wafananao huruka pamoja. Pambaneni na hali zenu
Akikua ataacha. Unajua ukiwa 20s you think you own the world....30s akili zinaanza kuchangamka...40 na kuendelea ndio yale mambo ya bora ninacho kuliko kulala peke yangu.
 
Sasa ndo unataka mambo waliofanya wao yafanyike enzi hizi. Not me! Find someone else of your type and calibre.
Madame, hujanipeleka wewe shule hata uniandikie Kiingereza. By the way usijafanye mjuaji sana hapa. We unajua walifanya nini? Mbona unakimbilia kusema mambo waliyofanya wao wakati hujajua walikua wanafanya nini?
And ofcourse you are neither my type nor calibre....guess why?
In this modern life we wash and make our mouths clean before going to bed. We sleep so nicely that we don't experience sweating. If you are living today and experience sweating and bad mouth odor in the morning.....wewe ni mtu wa kale-yes, you are not my type. Hata kama unaishi chumba cha kupanga kimebanana na hakuna hewa ya kutosha.....mama kuna feni nyingi tu mjini....naaa! Aaah wewe ni wale wale akina asha ngedere tu huna maana.
Maana yake unakuja kutuambia hapa kuwa bwanako ananuka mdomo na makwapa asubuhi.
Sukari Yenu
 
Akikua ataacha. Unajua ukiwa 20s you think you own the world....30s akili zinaanza kuchangamka...40 na kuendelea ndio yale mambo ya bora ninacho kuliko kulala peke yangu.
I believe kwa akili yqngu hakuna kitakacho badilisha msimamo wangu. Suala la kujipenda nimezaliwa nalo. Siyo issue ya umri. Tangu primary niko hivi.

Umezisoma sifa 9 za comrade Mugabe? Mojawapo ni unadhifu. Mpk leo pamoja na uzee wake ule bado anajipenda.
 
I believe kwa akili yqngu hakuna kitakacho badilisha msimamo wangu. Suala la kujipenda nimezaliwa nalo. Siyo issue ya umri. Tangu primary niko hivi.

Umezisoma sifa 9 za comrade Mugabe? Mojawapo ni unadhifu. Mpk leo pamoja na uzee wake ule bado anajipenda.
It takes two to tangle...I hope you will find what you look for
 
We boya sexless,
Sasa hayo yote unayoyasema unamwambia nani.... ?? hayo mambo ni wewe na mpenzi wako wengine hawapaswi kujua chochote kuhusu mambo yenu.
 
Ni kweli mapenzi ni usafi kwa pande zote mbili vinginevyo ni karaha!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom