Cha asubuhi sitaki, labda akaoge kwanza

Cha asubuhi sitaki, labda akaoge kwanza

hahaha mapenzi ni dirty au clean game ila usafi muhimu jamani wengi wanalalaga bila kupiga mswaki au wanavaa minguo mizito lazima mambo yawe magumu usafi muhimu
Asante kwa kuunga mkono hoja mkuu. Mtu kapiga balimi halafu alale asubuhi anataka denda! Never
 
Udenda na mijasho yote iliyotiririka usiku kucha halafu asubuhi aanze kunilalia? Mswaki hajapiga, harufu mbaya inatoka kinywani halafu aanze kunipumulia mm? Sitaki.

Akitaka akaoge, apige mswaki ndipo aombe show. Vinginevyo No! Sitaki karaha mm. Wanaosema mapenzi ni uchafu acha wao wavumilie, mm kwangu mapenzi ni usafi.
Hata cha usiku wewe mweke pembebi tu halafu mabrotherman wakijitwisha mke usipige kelele.
 
Acha uwongo wewe. Unaokota walevi huko mitaani wanalala mdomo wazi na kutoa udenda basi unadhani kila mtu anatoa udenda anapolala.
Hahaha! Ungejua class yangu wala usingesema hayo. Siyo wa Maji Matitu -Mbagala Kiburugwa mm.
 
Hahaha! Ungejua class yangu wala usingesema hayo. Siyo wa Maji Matitu -Mbagala Kiburugwa mm.


Kama ungekuwa wa hivyo mbona unaokota majitu yanayotoa udenda na kunuka jasho na mdomo? Hao unaowapata hawajui umuhimu wa usafi au kitu gani?
 
Kama ungekuwa wa hivyo mbona unaokota majitu yanayotoa udenda na kunuka jasho na mdomo? Hao unaowapata hawajui umuhimu wa usafi au kitu gani?
Ni jiwe tu limetupwa gizani
 
Screenshot_20171210-233639.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom