Cha asubuhi sitaki, labda akaoge kwanza

Cha asubuhi sitaki, labda akaoge kwanza

Madame, hujanipeleka wewe shule hata uniandikie Kiingereza. By the way usijafanye mjuaji sana hapa. We unajua walifanya nini? Mbona unakimbilia kusema mambo waliyofanya wao wakati hujajua walikua wanafanya nini?
And ofcourse you are neither my type nor calibre....guess why?
In this modern life we wash and make our mouths clean before going to bed. We sleep so nicely that we don't experience sweating. If you are living today and experience sweating and bad mouth odor in the morning.....wewe ni mtu wa kale-yes, you are not my type. Hata kama unaishi chumba cha kupanga kimebanana na hakuna hewa ya kutosha.....mama kuna feni nyingi tu mjini....naaa! Aaah wewe ni wale wale akina asha ngedere tu huna maana.
Maana yake unakuja kutuambia hapa kuwa bwanako ananuka mdomo na makwapa asubuhi.
Sukari Yenu
Mmh! Naona umefunguka balaa! Hatupaswi ku-personalize mada za JF.
 
Mmmh acha na akiba ya maneno. Ila inaonesha mu wachafu fulani hivi

Ukifanya si unatawaza. Au unarundika uchafu?
 
Umeona eeh!??
Mkiwa wasafi mnakuwa na uhuru wa kuichezea miili yenu sehemu yoyote kwa uhuru. Uko na mwenzio unataka "kumla" ulimi mara ananuka pombe au sigara au kikwapakinanuka kama ile harufu ya kwenye nyumba/chumba kile maarufu, stim lazima zitatimka!
 
Akikua ataacha. Unajua ukiwa 20s you think you own the world....30s akili zinaanza kuchangamka...40 na kuendelea ndio yale mambo ya bora ninacho kuliko kulala peke yangu.
Kabisa Mkuu, umri wake bado
 
Nimetamani kujua jinsia yako halisi ila hainizuii kukupa madongo yako.

Kama ni wanamke, Hivi hilo bakuli lako kitwa nzima limechomwachomwa na mpini na kumwagiwa humo humo matapishi unahisi halinuki, hilo domo lako ukilala kutwa kuliacha wazi na maudenda unahisi haunuki, hayo makalio yenye ukurutu unahisi yana toa harufu nzuri kwa mwenzio!?

Kama ni Mwanaume: Hivi Mikende yako hiyo ikitumika usiku unahisi ni misafi tena, utaanzaje kuona mwenzako mchafu ile hali umejikojolea!

Punda kihongwe.

Usafi ni muhimu kwa wote, sema napata mashaka na jinsia ya mtoa Uzi. She/he always sound like HE to me sorry..!
 
Wew Mi Nimekurupuka Alfajir Mashine Inadai

Zen Uniletee Mbwembwe Zako Wew Patachimbika Kwa Vidole
 
Udenda na mijasho yote iliyotiririka usiku kucha halafu asubuhi aanze kunilalia? Mswaki hajapiga, harufu mbaya inatoka kinywani halafu aanze kunipumulia mimi? Sitaki.

Akitaka akaoge, apige mswaki ndipo aombe show. Vinginevyo No! Sitaki karaha mimi. Wanaosema mapenzi ni uchafu acha wao wavumilie, mimi kwangu mapenzi ni usafi.
Mimi nipo upande wako Dada. Usafi ni muhimu sana kwenye suala mapenzi.

Utakuta mtu anapanda kitandani hajaswaki wala hajaoga. Huwa najiuliza inakuaje ikifika asubuhi pale mnapoongeleshana mkiwa bado ndani ya shuka!? Harufu inayotoka hapo si inakua ya ajabu.

Jamani, hata kama ni ndoa, basi tuzitumie ndoa zetu kuhakikisha wenza wetu wanakua wasafi hasa kwenye suala la mwili. Wakati mwingine unaweza ukakuta mmemaliza kugegedana, badala ya kwenda kuoga au kujisafisha kwa mwanamke, unakuta analala hivyo hivyo. Hebu jiulize papuchi utakua na hali gani mpaka kufika hiyo asubuhi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom