Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,818
- 9,191
Ukweli ni kwamba bei ya Dangote ni Tsh 8000 ila mafisadi wanataka iuzwe Tsh 12000.Ili mirija yao isizibe.habari ndo hyo
Akiuza 12k imekula kwake,Auze Hiyo Hiyo 8k.
Ukweli ni kwamba bei ya Dangote ni Tsh 8000 ila mafisadi wanataka iuzwe Tsh 12000.Ili mirija yao isizibe.habari ndo hyo
Ametangaza itakuwa buku 8 hata hivyo anangalia uwezekano wa kupunguza zaidi hapo baadaye.
Ukweli ni kwamba bei ya Dangote ni Tsh 8000 ila mafisadi wanataka iuzwe Tsh 12000.Ili mirija yao isizibe.habari ndo hyo
Du....dangote naye amekubali?!
Yupo nchini ki biashara inabidi tu akubali yaishe
Hatari sana...tunachinjana wenyewe kwa maslahi ya wachache....
Hayo ndio madhara ya kua na serikali.inayo ongozwa na mafisadi...
Akiuza 12k imekula kwake,Auze Hiyo Hiyo 8k.
Ametangaza itakuwa buku 8 hata hivyo anangalia uwezekano wa kupunguza zaidi hapo baadaye.
Acha uongo shinda sio serikali ni sisi wenyewe na urafi wetu, nawisho ni rahisi kusingizia serikari, kwani wanaouza bei hio ni serikari?????
Nilivyosikia bei ya kiwandani ni 8,000/=
Yeah dada FF, ni kweli, ila alitaka iuzwe Tsh5000 tu!
Labda kwenye serikali ya Lowassa hao mafisadi watakuwa na uwanja wa kutanua. Lakini sio serikali ya Magufuli. #HapaKaziTuUkweli ni kwamba bei ya Dangote ni Tsh 8000 ila mafisadi wanataka iuzwe Tsh 12000.Ili mirija yao isizibe.habari ndo hyo
Labda kwenye serikali ya Lowassa hao mafisadi watakuwa na uwanja wa kutanua. Lakini sio serikali ya Magufuli. #HapaKaziTu
Magufuli huyu au yupi unayemzungumziaLabda kwenye serikali ya Lowassa hao mafisadi watakuwa na uwanja wa kutanua. Lakini sio serikali ya Magufuli. #HapaKaziTu
Ushahidi?
Nilivyosikia bei ya kiwandani ni 8,000/=
Kuna mtu wa serikalini ana nunua cement yote toka kwa dangote kwa 8000 anakuja kuwauzia kwa 12000.
Kuna mtu wa serikalini ana nunua cement yote toka kwa dangote kwa 8000 anakuja kuwauzia kwa 12000.