livafan
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 2,925
- 5,528
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza apo juu, Bei ya Mfuko wa cement Mwanza unazidi kupaa, awali mfuko wa cement apa Mwanza ulikuwa ukiuzwa kwa 18000/= Tsh lakini kuanzia wiki hii cement kwa mfuko inauzwa kwa 18500/= hadi 19000/= ,
Hatujui sababu kuu ni nini haswa, sijui ndio kupanda kwa bei ya malighafi!! binafsi sifahamu, yawezekana labda gharama za usafirishaji zimeongezeka!! , binafsi sifahamu pia japo nasikia bei ya mafuta imezidi kushuka, yawezekana uzalishaji wa cement umepungua labda nani ajuae?? Mwanza kunaniii .
Agents wa cements sijui ndio wanaopanga hizi bei, kusema ukweli si rafiki kwa mtumiaji wa Mwisho maana ndie aumiae.
Hatujui sababu kuu ni nini haswa, sijui ndio kupanda kwa bei ya malighafi!! binafsi sifahamu, yawezekana labda gharama za usafirishaji zimeongezeka!! , binafsi sifahamu pia japo nasikia bei ya mafuta imezidi kushuka, yawezekana uzalishaji wa cement umepungua labda nani ajuae?? Mwanza kunaniii .
Agents wa cements sijui ndio wanaopanga hizi bei, kusema ukweli si rafiki kwa mtumiaji wa Mwisho maana ndie aumiae.