Celebrities wa Tanzania waliobadili dini na kuwa Waislam

Asilimia kubwa ya wanaobadili dini ukubwani unakuta Kuna fuse Fulani kwenye UBONGO imelegea

🔹 Wingi unakuta ni depression za Maisha

🔹 Wengine ni ushawishi kwenye ajira wameshinikizwa hivyo ili kulinda ajira zao hasa zinaziusiana michezo michezo au Makampuni ya Matajiri wenye Imani hizo

🔹 Ushawishi wa wanawake, Kuna baadhi ya dini hutumiwa wanawake kama nyenzo za kueneza dini

🔹Limbwata la pilao
 
Asilimia kubwa ya wanaobadili dini ukubwani unakuta Kuna fuse Fulani kwenye UBONGO imelegea

🔹 Wingi unakuta ni depression za Maisha

🔹 Wengine ni ushawishi kwenye ajira wameshinikizwa hivyo ili kulinda ajira zao hasa zinaziusiana michezo michezo au Makampuni ya Matajiri wenye Imani hizo

🔹 Ushawishi wa wanawake, Kuna baadhi ya dini hutumiwa wanawake kama nyenzo za kueneza dini

🔹Limbwata la pilao
Ukiwa mkristo namaanisha mkristo kweli ukachangamana na wasio wakristo (mfano Timu ya mpira) then wakataka kuleta ndumba huwa hazifanyi kazi. Kuna mtu alitolewa kwenye timu unless asilimu ndo apewe namba. Jamaa aligoma alivunja mkataba na leo ni mkulima wa mpunga.
 
1. Mzize - Mchezaji wa Yanga

Ukristo kwenda uislam
View attachment 2940056

2. P Funk - Producer

Ukristo kwenda uislam
View attachment 2940057

3 Shomari Kapombe - Mchezaji wa mpira

Uislam kwenda Ukristo

View attachment 2940099

4. Barnaba - Msanii wa Muziki

Ukristo kwenda uislam
View attachment 2940058

5. Mwijaku - journalist infuencer

Ukristo kwenda uislam
View attachment 2940059


6. Young killer - Msanii wa muziki

Ukristo kwenda uislam
View attachment 2940060



7. Bob Wangwe - mwanaharakati wa haki

Ukristo kwenda uislam
View attachment 2940061

8. Jeff Dennis - Twitter Influencer

Ukristo kwenda uislam
View attachment 2940071
oya hyu wa mwisho mlipokeaje hela za watu ontario alizokula forex amerudisha?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom