DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 8,609
- 17,801
Barnaba alibadili na akaoa kwa Kiislamu piaKumbe P Funk alibadili dini
Hapo najua Barnaba ni kama Ben Pol tu...kiki
Na hapo wengi ukifuatilia sababu ya kubadili ni kei 🤦♀️
Barnaba alibadili na akaoa kwa Kiislamu piaKumbe P Funk alibadili dini
Hapo najua Barnaba ni kama Ben Pol tu...kiki
Na hapo wengi ukifuatilia sababu ya kubadili ni kei 🤦♀️
Toa ukilaza wako hapa. Kitu gani huelewi?Toka dini gani kwenda ipi? Boresha uzi wako
Yule mbena ni muislam usibishePfunk lizaliwa kwenye familia ya kikristo alipewa jina la Pau
Mama yake (Rip) ni Mbena wa Njombe, wabena wengi wakristo
P Funk alisilimu mwenyewe
hata kuoa anaoa kiislam
View attachment 2940065
Hata kama ni hivyo bado alizaliwa familia ya kikristo maana kichwa cha nyumba ni baba na mshua alikuwa mkristo, ni kwamba aliwahi kuwa mkristoYule mbena ni muislam usibishe
Asante kwa mchangoShomari Kapombe baba Ester kutoka Uislam kwenda ukristo
Rose Muhando kutoka Uislam kwenda ukristo
Familia ya makamba ile sijui kama ni ys kiislam,wanapenda sana umagharibi magharibi
kuna kipindi aliwahi kutweet kabadiliHuyo bob wangwe alibadili lini dini?????
Sio kweli. Upande wa mama yake ni waislamu ( kuna wabena waislamu ingawa sio wengi) na alipewa jina la Khalfan kwa sababu hiyo.Pfunk lizaliwa kwenye familia ya kikristo alipewa jina la Pau
Mama yake (Rip) ni Mbena wa Njombe, wabena wengi wakristo
P Funk alisilimu mwenyewe
hata kuoa anaoa kiislam
View attachment 2940065
khalfan ni aka aliyopewa na juma nature hajawahi kuwa muislam,yeye mkristo na watoto wote wakristo.P hajawahi kubadili dini, bali mama muislam akamwita Khalfan na baba mkristo ndio akamwita sijui nani,
Bahati nzuri ukiamia huko kwenye uislamu hakuna mtu atakutafuta na upanga kisa umebadili dini.Mimi sio mwislamu ila uislamu una mambo mengi ya ukweli sana. Pia kwenye mambo ya haki ni dini nzuri tofauti na huku kwetu tunaambiwa mtu akikupiga kofi shavu la kulia mgeuzie la kushoto.
Ukiwa mkristo namaanisha mkristo kweli ukachangamana na wasio wakristo (mfano Timu ya mpira) then wakataka kuleta ndumba huwa hazifanyi kazi. Kuna mtu alitolewa kwenye timu unless asilimu ndo apewe namba. Jamaa aligoma alivunja mkataba na leo ni mkulima wa mpunga.Asilimia kubwa ya wanaobadili dini ukubwani unakuta Kuna fuse Fulani kwenye UBONGO imelegea
🔹 Wingi unakuta ni depression za Maisha
🔹 Wengine ni ushawishi kwenye ajira wameshinikizwa hivyo ili kulinda ajira zao hasa zinaziusiana michezo michezo au Makampuni ya Matajiri wenye Imani hizo
🔹 Ushawishi wa wanawake, Kuna baadhi ya dini hutumiwa wanawake kama nyenzo za kueneza dini
🔹Limbwata la pilao
oya hyu wa mwisho mlipokeaje hela za watu ontario alizokula forex amerudisha?1. Mzize - Mchezaji wa Yanga
Ukristo kwenda uislam
View attachment 2940056
2. P Funk - Producer
Ukristo kwenda uislam
View attachment 2940057
3 Shomari Kapombe - Mchezaji wa mpira
Uislam kwenda Ukristo
View attachment 2940099
4. Barnaba - Msanii wa Muziki
Ukristo kwenda uislam
View attachment 2940058
5. Mwijaku - journalist infuencer
Ukristo kwenda uislam
View attachment 2940059
6. Young killer - Msanii wa muziki
Ukristo kwenda uislam
View attachment 2940060
7. Bob Wangwe - mwanaharakati wa haki
Ukristo kwenda uislam
View attachment 2940061
8. Jeff Dennis - Twitter Influencer
Ukristo kwenda uislam
View attachment 2940071