[=Independent Voter;4306909]hivi simba wana shida gani na mashindano ya kimataifa?ni muda mrefu sasa hawajanyakua kombe lolote la kimataifa,kulikoni wanyama wenzangu[/QUOTE]
Simba zao sasa hivi ni ma'kombe ya MBUZI,nasikia DRFA wako mbioni kuandaa Kombe la Piga vita Malaria Dar-es-salaam,na wataialika Simba kushiriki hapana shaka Kaseja ataiwezesha team yake kulinyakua hilo Kombe