wakati umefika kwa wabongo kudhani ni simba na yanga tu ndo zinacheza mpira wa maana Tz na/au zinastahilikushinda kila ziingiapo mashindanoni! hizo zibaki kuwa zama za hekaya!
wakati umefika kwa wabongo kudhani ni simba na yanga tu ndo zinacheza mpira wa maana Tz na/au zinastahilikushinda kila ziingiapo mashindanoni! hizo zibaki kuwa zama za hekaya!
kwa vile usajiri bado unaendelea, ningeshauri Simba ianze zoezi hilo upya; alafu siyo tena kwenda kujificha Zanzibar mazoezi yafanyikie hapa ili tuone makosa yao mapema.