Mkuu Crashwise mbona unaleta maneno ya uchonganishi? Hivi hilo li Rage si li bunge la Tabora ni la chama kipi? Lile li Sarungi lilezi la Simba ni la chama kipi, li Sumaye je silisemei hili, acha niishie hapa huu upande. Mhe. Mbowe ni shabiki wa Yanga ni wa chama kipi?
Acha Simba ipendwe kama Simba na Yanga ipendwe kama Yanga wanachama wa CCM na upinzani wapo kote kote.
Simba inatumia pesa za Rage zinazotokana na malipo ya mshahara na marupurupu ya ubunge alioupata kupitia CCM, sasa wewe unatuambia nini?