CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates


Profesor Maji ya shingo hadi kaamua kumuanzisha "Mindum" leo,sasa game ikimchachia atamwingiza nani? sioni hata mchezaji mmoja wa kubadilisha matokeo kati ya wanaoanzia benchi
 
Kwa kikosi hiki samba lipo lakini magoli mmmmh! sisemi mie.
 
Yaaani yebo yebo mafanikio kidogo kelele nyingi hiki ndio mnachoweza

mafanikio yapi hapo; ya kushika nafasi ya tatu kwenye ligu kuu ya vodacom? au kumchagua Manji a.k.a Fisadi kuwa mwenyekiti wa Club yenu!!!! duh! hapo mnatisha.
 
Dakika 63 bado Atletico 1-1 AS Vita

As Vita wana tatizo kubwa sana la kushindwa kulinda magoli yao,nakumbuka walianza kufunga mechi yao dhidi ya URA wakaishia kufungwa 3-1,wakatangulia kufunga dhidi ya Mnyama,"Mindum" akawasawazishia Mnyama wakaishia kutoka sare,leo tena wametangulia kufunga Jamaa(Attletico) wamerudisha si ajabu wafungwe
 
Hivi ukificha upumbavu wako hutoonekana kuwa umechangia....
 
mafanikio yapi hapo; ya kushika nafasi ya tatu kwenye ligu kuu ya vodacom? au kumchagua Manji a.k.a Fisadi kuwa mwenyekiti wa Club yenu!!!! duh! hapo mnatisha.

Yaani yanga baada ya kumchagua manji kuwa wanyekitio wao basi yanajiona kama ndiyo malaika katua jangwani ndiyo maana mimi naomba tukutane nao halafu tuwatandike...
 
......ina ashiria nini kama Salim Kinje, Kanu Mbiyavanga na Danny Mrwanda wanaanzia benchi wakati wamesajiriwa kwa dau kubwa kwanini stumikie Club ipasavyo????
 
......ina ashiria nini kama Salim Kinje, Kanu Mbiyavanga na Danny Mrwanda wanaanzia benchi wakati wamesajiriwa kwa dau kubwa kwanini stumikie Club ipasavyo????

inaashiria viongozi wanasajiri kwa ushabiki kma mrwanda waliposikia yanga wanamtaka (kutokana na magazeti) wao wakaenda kumsajiri bila ya kufanya uchunguzi kama kweli yanga wana nia hiyo, unajua wachezaji wetu wanacheza sana na media wakati wa usajiri
 
Msuva na Domayo hawajasajiliwa kwenye haya mashindano na Tegete ndo nilishakwambia kama mwarabu wa Dubai anakimbia utafikiri nusu ya utajiri wa Manji wa wake.
 
......ina ashiria nini kama Salim Kinje, Kanu Mbiyavanga na Danny Mrwanda wanaanzia benchi wakati wamesajiriwa kwa dau kubwa kwanini stumikie Club ipasavyo????

Yakhe unauliza TENDE uarabuni? GARASA HIZO!
 

yaana hata wale wanaojiita ni wa ''Technical Bench'' nao kazi imewashinda.!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…