Ndo kandambili hawa, ukihesabu "what a miss" leo ni sawa na zile lal la lallallal dah goal kick wakati mpira upo katikati wa uwanja. Ongezea zile headings za Kocha wa Yanga aja na fomesheni za kutisha, au next year ubingwa wa Africa...ohhh sasa kama Brasil....ndo utagundua bora wangecheza Urafiki cup akawajua vizuri players...! Hata wakati wa Kondric ilikuwa hivi hivi...! Kocha mzuri anataka mechi moja tu tena na Ruvu Stars...? loooooooooooooooooool