Kiraza ww kwahiyo kutokujua Lugha ndo kutufanye na sisi tusifuatilie. Jf kumbe kuna watu Vilaza sana aiseee. Hv we upoje? Au unataka watu wapate Ban? Mod huyu mnamchukuliaje lakin
upo mkuuila bocco bwana kazi ipo migoli kibao kakosa daa haina bora tumepita..
ila bocco bwana kazi ipo migoli kibao kakosa daa haina bora tumepita..
sasa yeye unavyosema kuwa tunaacha kufanya shughuli za msingi na tunaangalia haya mashindano,una maana sisi ni wajinga auHa ha haa! wewe ndiye li kilaza hasaa! Kuwapa pole Wakuu ni utamaduni wa Kitanzania na siyo kuwataka wasifuatilie mechi hizi, lengo la post hii ni kuwajuvya Wakuu jinsi li-luga la kidhungu linavyowatesa Weupe kwa Weusi.
Mod hawezi kukupa ban kwa kutoa mawazo yako halali uwe na amani huku ukirejea signature yangu hapa chini, yaani soma Hosea 4:6.
lol A Juma offside
sasa yeye unavyosema kuwa tunaacha kufanya shughuli za msingi na tunaangalia haya mashindano,una maana sisi ni wajinga au