CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

Nijuzeni wakuu yamefikia 8 kwa sasa au,Yanga Daima
 
Jamani tuweni wakweli kidogo, hivi Nizar ana miaka 24??????!!!!! Wamarekani walistuka
 
Bila shaka Yanga itakutana na Simba, sijui zitakuwa goli ngapi!!
 
Wau Salaam wanapata goli

Wu Salaam 1-7 Yanga
 
hii timu nayo nichovu itamaliza mechi zake nza zaidi ya goli 20
 
Yanga wakikutana na timu nzuri, ni weupe sana. Naona hapa wanaruhusu bao
 
mpira umsesha ua bado? namatokeo ningapi?
 
Mhh wameruhusu bao tena. Inaweza kuwa-cost mbele ya safari...

Nizar alipokuwa Vancouver White caps 3 yrs ago alikuwa 24, sasa hadi leo bado ni 24...!! bongo bana... hata nsajigwa nae anajiita late 20s wakati Okwi alituonyesha jamaa kiumri ni Giggs flan... :A S cry:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…