Mpira umekwisha...
Poleni sana mtani,namtafuta Crashwise,jana katutukana sana Yanga as if yeye atashinda leo....
Naona hiki ndicho mlichojifunza
/mlichofaidi kwenye kombe la Urafiki...
Jana nilimwambia Crashwise kwamba mpira hauchezwi mdomoni,mpira uanchezwa uwanjani...