CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

Mpira umekwisha...

Poleni sana mtani,namtafuta Crashwise,jana katutukana sana Yanga as if yeye atashinda leo....

Naona hiki ndicho mlichojifunza
/mlichofaidi kwenye kombe la Urafiki...

Jana nilimwambia Crashwise kwamba mpira hauchezwi mdomoni,mpira uanchezwa uwanjani...
 
uchovu wa kombe la urafiki lakini simba ndo timu bora kabisa hapa tanzania na eastafrica
 
Duh..naona yanga wamesawazisha magoli yao ya jana! 2-2 ! Wanashangilia kwelikweli !
 

Crashwise inawezekana alisahau ule msemo usemao "Usitukane Mamba kabla hujavuka mto"
 
Ngarna????????????????????????????????????????????
 
Mkuu Masuke adoado barabarani huko unaporudi Home kwako..
 
Mechi zinazofuata jumanne

Yanga na Wau Salaam Saa8
APR na Atletico Saa10
 
Yanga imepigwa mbili jana na leo Simba imepigwa mbili........Tanzania hadi timu za soka dhaifu !
 

Chifu,hakika mpira hauchezwi mdomoni. Ingekuwa hivyo,timu za taifa ya Uingereza na Tanzania,zingekuwa na rekodi ya kuchukuwa makombe yote makubwa duniani!
Bila kusahau klabu za Tanzania (Simba na Yanga) nazo zingekuwa na rekodi ya kuchukuwa hadi kombe la klabu bingwa ya dunia.

Ila leo Simba wamechezea sana mpira bila kuwa na mipango yenye kuzaa magoli. Pia hakika pengo la Okwi limeonekana wazi;timu ilikosa mtu wa kumalizia kazi za viungo.

Sasa,tusubiri mechi za pili.
 
naye kocha wa yanga alikuwepo chamazi..

Huyu Tumbotumbo asituzingue,badala ya kukaa na kufundisha mfumo anakwenda kuangalia team za kundi lingine ambazo hata uhakika wa kukutana nazo bado hana,asituletee ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…