CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

Kama wanavyofanya Clouds,hivyo ni sawa tu.
 
[video=youtube_share;q_-jhVfPlZI]http://youtu.be/q_-jhVfPlZI[/video]
.............................. ..............
 
Vipi Abdallah Juma wakicheza na Sunzu...
Abdallah Juma na Sunzu aina yao ya uchezaji inafanana halafu Abdallah ni mzito, wanaweza kucheza pamoja endapo Mbiyavanga, Haruna Moshi na Edward Christopher hawako fiti, hayo ni maoni yangu kulingana na nilivyowaona wakicheza pamoja siku ya mechi ya Azam sijui kocha atapangaje.
 
ao port wa djibout toka chamazi washapigwa nne bila na vita..
 
Hao wajibuti vipi? CECAFA inatakiwa izipige ban timu za namna hii....
 
Hz timu km ports na wau salaam ndo zngealikwa kule kwenye kombe la urafiki!zngepata na kutoa ushindan stahili!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…